Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewahi kuisikiliza beat ta Ndani ya Club, ama Mi na Mabinti Damdamu ama Girlfriend?Beat zao wanazozitengeneza kali lkn mpaka sasa hamna beat kali itakayo izidi NIKUSAIDIEJE ya Prof jay na MIKASI ya ngwea, majani alikuwa hatari.
ULIOWATAJA WAMEBASE KWENYE UBANAJI PUA TUkama Tuddy Thomas,Man Water na abbydad hawapo sikubaliani na listi yako japo ni mawazo yako
Hapo imma the boy mtoe weka DUKE- M-LAB1. Nahreel
2. Mr. T touch
3. Manecky
4. Imma The Boy
5. Marco Chali
NAH REEL NDO KASOMEA SHAHADA YA COMPUTURE SCIENCE NCHINI INDIAOk wamesomea wapi navojua producer mkali ni yule mwenye elimu ya sound engineering swali kwako mleta mada je hao uliotaja wana hata certificate ya sound engineering?
Well said mkuu[emoji122] [emoji122] mikas ilikuwa kaliBeat zao wanazozitengeneza kali lkn mpaka sasa hamna beat kali itakayo izidi NIKUSAIDIEJE ya Prof jay na MIKASI ya ngwea, majani alikuwa hatari.
Boat[emoji735] beat[emoji736]Kwangu greatest of all time kwenye beat ni ta Mika Mwamba aliyompa Inspector Haroon free boat yaani mtito wa geti kali.
Ike ngona ni shida...
Nina nan kwan hata mm huwa ananikoshaga Sana Kama ile mama ya bellaMtaongea Sana ila yule jamaa anayemwaga maji kwenye nyimbo zake ni noma asee
Umeongea kweli mkuu na ndo mana ikipigwa nyimbo ya zamani na ya sasa lazima utainuka kuicheza ya zamaniAje ni mkono wa Abydady...
Kiukweli ngoma nyingi quality ni mbovu, mi naona angalau miaka ya 2000 enzi za akina Pfunk, Mika, Bizman, Mwamba, Said Comoriely na wengine ubora ulikuwa unaridhisha tofauti na sasa!!
huyo za wabana pua pekee ila NAH REAL ZOTE ANAPIGATudy Thomas
kwanini earphones na sio sound systemwanajitahidi sana wengi wao.. tatizo sugu ni kwality ya music..
inaonesha watu wa mixing hawako makini kidogo.
nyimbo mpya ya roma verse mbili za mwisho hazina kabisa ubora...
ukitaka kujua ni ubora gani fanya haya yafuatayo...
download wimbo 'wrecking ball(acoustic)' wa miley cyrus.. then uusikize kwenye earphones za uhakika.. do utajua ubora upi naouzungumzia
Earphone ni rahisi kusikiza kila kitu.. music system yenye quality nzuri ya kukuwezesha kukupatia kila kitu kama earphones ni ghali,kidogo then si kitu rahisi na cha haraka kukitumia km earphoneskwanini earphones na sio sound system
Kwa hiyo uki-base kwa wabana pua unakuwa sio Producer mzuri au ulitaka kusema kitu gani?!ULIOWATAJA WAMEBASE KWENYE UBANAJI PUA TU