Polisi jamii
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 2,604
- 1,381
anayepga midundo yote ndo anajuaKwa hiyo uki-base kwa wabana pua unakuwa sio Producer mzuri au ulitaka kusema kitu gani?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anayepga midundo yote ndo anajuaKwa hiyo uki-base kwa wabana pua unakuwa sio Producer mzuri au ulitaka kusema kitu gani?!
wapi majani? wapi MJ?1. Nahreel
2. Mr. T touch
3. Manecky
4. Imma The Boy
5. Marco Chali
Dah noma sana hizo biti. ukipiga na bit la jafarai nipo bize,jnature sitaki dem,etcBeat zao wanazozitengeneza kali lkn mpaka sasa hamna beat kali itakayo izidi NIKUSAIDIEJE ya Prof jay na MIKASI ya ngwea, majani alikuwa hatari.
Mkali umetisha sanaKwangu greatest of all time kwenye beat ni ta Mika Mwamba aliyompa Inspector Haroon free boat yaani mtito wa geti kali.
Ike ngona ni shida...
Hyu jamaa ni tabu sana ukisikiliza nana unajua kabisa ufund wake shout out kwakeNAHREEL Namkubali ile mbaya kwa beat zake.
Na s2kizzy utasemaje hyu ndo beat maker mkubwaSijaona producer hapo hao n beat makers