Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,809
- 15,421
Jamani leo nimemkumbuka Daudi Kabaka, enzi hizo ndio nilikuwa namchumbia mama Ngina wangu………………..
Hebu sikiliza huu wimbo basi……………………..LOL
Musichana wa suraa nzuri, ni kitu gani kinakufanya usiolewe
Elimu unayo ya kutosha, hata Ng'ambo ukaenda ukarudi
Tara tata tara tata tarata tarattraaaaaaaaaaa………………. X 2
Musichana wa urembo kama weweee, uonyesheee mapenzi kwa vijana
Ukionyesha majivuno kwa vijanaaa utazeeka ukiwa nyumbani kwenu
Oooh baby
Miaka yaenda mbio sanaaa na sura yako nayo ikichujuka
Oooh baby.............
Miaka yaenda mbio sanaaa na sura yako nayo ikichujuka
Tala talaaa tili li liiiiiiiiii Tala talaaa tili li liiiiiiiiii x 3
Pengine tabia zako ndizo mbaya, awali kweli dada ulijivuna
Kwanza mimi nilitaka nikuoee, ukaringa hadithi na masomo
Oooh baby.............
Onaa watoto wa nyuma yako wameolewa wamekuacha ukihangaika
Oooh baby...........
Onaa watoto wa nyuma yako wameolewa wamekuacha ukihangaika
Tara tat ta ta tat a ta t taaaaaaaaaaa x 4
Musichana wa suraa nzuri, ni kitu gani kinakufanya usiolewe
Elimu unayo ya kutosha hata ng'ambo ukaenda ukarudiiiiiiii
****Nawatakieni weekend njema..............................****
Hebu sikiliza huu wimbo basi……………………..LOL
Musichana wa suraa nzuri, ni kitu gani kinakufanya usiolewe
Elimu unayo ya kutosha, hata Ng'ambo ukaenda ukarudi
Tara tata tara tata tarata tarattraaaaaaaaaaa………………. X 2
Musichana wa urembo kama weweee, uonyesheee mapenzi kwa vijana
Ukionyesha majivuno kwa vijanaaa utazeeka ukiwa nyumbani kwenu
Oooh baby
Miaka yaenda mbio sanaaa na sura yako nayo ikichujuka
Oooh baby.............
Miaka yaenda mbio sanaaa na sura yako nayo ikichujuka
Tala talaaa tili li liiiiiiiiii Tala talaaa tili li liiiiiiiiii x 3
Pengine tabia zako ndizo mbaya, awali kweli dada ulijivuna
Kwanza mimi nilitaka nikuoee, ukaringa hadithi na masomo
Oooh baby.............
Onaa watoto wa nyuma yako wameolewa wamekuacha ukihangaika
Oooh baby...........
Onaa watoto wa nyuma yako wameolewa wamekuacha ukihangaika
Tara tat ta ta tat a ta t taaaaaaaaaaa x 4
Musichana wa suraa nzuri, ni kitu gani kinakufanya usiolewe
Elimu unayo ya kutosha hata ng'ambo ukaenda ukarudiiiiiiii
****Nawatakieni weekend njema..............................****