Huko kwa wagumu iwe mwanaume au mwanamke acha kuleta umbea wako we kama ulitoka huko kwenu ili ukifika use maarufu pole sanaKARIBU MUSOMA MJI WENYE UTAJIRI WA MAJUNGU !!!
Mji Wenye Wivu
Mji Wenye Baraka Ya Uongo
Kijiji Chenye Kiu Ya Umbea
Kijiji Cha Unafiki!
Ukipata Freemason
Ukifulia Wanakucheka
Ukiwaomba Hawakujui,
Ukinenepa Ana Mimba
Ukikonda Ana Ngoma,
Ukiondoka kwenda kujitafutia kakimbia.
Ukikaa tu hana raman
Ukisimama Na mtu Dk 5 mnatongozana Hata Kama Ni Kaka Yako
Ukivaa Vizuri Sharo!
UNABISHA?? HEBU WATUMIE WAKAZI WA mkoa wa mara WAKUTHIBITISHIE !
Yaani karne hii bado tu pana watu wanawaza NEGATIVELY kama hivi .... Don't you have something POSITIVE & PRODUCTIVE to do instead of WASTING YOUR PRECIOUS TIME ....KARIBU MUSOMA MJI WENYE UTAJIRI WA MAJUNGU !!!
Mji Wenye Wivu
Mji Wenye Baraka Ya Uongo
Kijiji Chenye Kiu Ya Umbea
Kijiji Cha Unafiki!
Ukipata Freemason
Ukifulia Wanakucheka
Ukiwaomba Hawakujui,
Ukinenepa Ana Mimba
Ukikonda Ana Ngoma,
Ukiondoka kwenda kujitafutia kakimbia.
Ukikaa tu hana raman
Ukisimama Na mtu Dk 5 mnatongozana Hata Kama Ni Kaka Yako
Ukivaa Vizuri Sharo!
UNABISHA?? HEBU WATUMIE WAKAZI WA mkoa wa mara WAKUTHIBITISHIE !
Ana lake jambo na watu wa musoma huyo ... by the way pana watu husambaza tu msg mradi aione mahali .... the same msg anayo rafiki yangu ... but yenyewe yamaanisha mji wa njombe ...Kweli kabisa yapo kote inawezekana mtoa mada hajawahi ishi mikoa mingine kwa hivyo asilaumiwe sana.
Nami nielekeze njia nitokeje mana naona mwenzetu ushatoka aseeeeYaani we acha tu! Nimebaki na machata mpaka jeshi wanikataa wakihisi rijambazi ila nashkuru life Good kwa watu natamani waje huku na Fuso sijui watabeba kipi waaache kipi? Maana vyote vizuri
Muwe mnaandika vizuri bwana.Nilijaribu kujitetea wakanishushia Rungu la mzee pembe usoni nikazimia nilikuja kujitambua niko Hospital
Wewe sio mtu wa mkoa wa maYaani we acha tu! Nimebaki na machata mpaka jeshi wanikataa wakihisi rijambazi ila nashkuru life Good kwa watu natamani waje huku na Fuso sijui watabeba kipi waaache kipi? Maana vyote vizuri
Kosa mfanyalo ni kuchukua tabia/hurka ya watu fulani kuwa ni ya jamii nzima ....mkuu mi natokea huko na watu mwenye tabia hizo ni wajita, wakwaya na waruli hawa watu kwa umbeya na majungu ni noma
KARIBU MUSOMA MJI WENYE UTAJIRI WA MAJUNGU !!!
Mji Wenye Wivu
Mji Wenye Baraka Ya Uongo
Kijiji Chenye Kiu Ya Umbea
Kijiji Cha Unafiki!
Ukipata Freemason
Ukifulia Wanakucheka
Ukiwaomba Hawakujui,
Ukinenepa Ana Mimba
Ukikonda Ana Ngoma,
Ukiondoka kwenda kujitafutia kakimbia.
Ukikaa tu hana raman
Ukisimama Na mtu Dk 5 mnatongozana Hata Kama Ni Kaka Yako
Ukivaa Vizuri Sharo!
UNABISHA?? HEBU WATUMIE WAKAZI WA mkoa wa mara WAKUTHIBITISHIE !