Musoma hakufai na ndo kunatoka watu wabishi zaidi na wasiopenda kubishishiwa kwa facts, ubishi wa arsenal vs man u ,unaweza kukupotezea viungo vya mwili. Nimesema na hawana la kunifanya kwa sababu ni watan wangu. [HASHTAG]#Adui[/HASHTAG] namba moja wa Mkurya ni mmasai ,hii hufundishwa kabisa