redio
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 5,813
- 12,921
Simba wanavyo tuzo Yao ya Aluminium ata kama ujacheza unapewa, Ata Dilunga Alisha pewa.Hii ya mtoto wa miaka 8 kweli, kabisa hadi Rais wa Club akaacha shughuli zake kuhudhuria? Wachezaji wangekuwa wanaitisha press conference kila wakiandikiwa barua na kupewa zawadi na mashabiki wao, wasingepata hata muda wa kucheza.