Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Hao wenye uwezo mdogo wa kufikiri si wako kwenu kama asemavyo aliekuwa semaji lenu ukiwatoa watu watatu waliobakia wote hamna akiliKinachofanya Wazungu wapige hatua kubwa kwenye kila wanachokifanya ni kwa sababu watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri kama mleta mada ni wachache.
Hapana kacheza simba msimu wa 6 huu. Na hajakosa game hata moja.Ntibanzokiza kacheza mechi ngapi..?? Ina maana ni mgeni NBC League kama Musonda au..??
Hebu tuwekee statistic za aziz key akiwa utopoloni tufunge mdomoHata Mayele the king mlisema hivihivi, akaja Azizi 'master' Key nako mlisema hivihivi, umbumbumbu ni tabia hamuwezi kuacha, iko siku utaikana kauli yako hii wewe kolo wa dunduka.
[emoji850]Hebu tuwekee statistic za aziz key akiwa utopoloni tufunge mdomo
Unyamaze tena sema umelewa chimpumu chura weweTutakuja kufukua huu Uzi siku Moja. Acha ninyamaze Kwa leo
Magoli mawili mpaka sasa[emoji850]View attachment 2483989
Heri ya Kibu na Kiyombo ongezes na hao.Sasa makelele yote ya kuwa nchi itatingishika ndio yule Musonda?
Ntibazonkiza kacheza mechi moja tu kaondoka na mpira na hao mbeya city wajipange kweli kweli j5, otherwise watakufa 8, msiwe mnawapa sifa wachezaji wakati hamna kitu...
Kyombo tumemuona jana kawafunga wazungu haya na wewe tutajie mchezaji wa utopolo aliewafunga wazungu mwaka huu 2023Heri ya Kibu na Kiyombo ongezes na hao.
Umesoma alichoandika mleta mada?Hao wenye uwezo mdogo wa kufikiri si wako kwenu kama asemavyo aliekuwa semaji lenu ukiwatoa watu watatu waliobakia wote hamna akili
Tafakari vizuri quote yangu.Umesoma alichoandika mleta mada?