Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Sasa makelele yote ya kuwa nchi itatingishika ndio yule Musonda?
Ntibazonkiza kacheza mechi moja tu kaondoka na mpira na hao Mbeya City wajipange kweli kweli j5, otherwise watakufa 8, msiwe mnawapa sifa wachezaji wakati hamna kitu.
Ni afadhali ya Makambo au Sogne kuliko Musonda.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Ntibazonkiza kacheza mechi moja tu kaondoka na mpira na hao Mbeya City wajipange kweli kweli j5, otherwise watakufa 8, msiwe mnawapa sifa wachezaji wakati hamna kitu.
Ni afadhali ya Makambo au Sogne kuliko Musonda.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app