Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Asante mkuuThe Bureau
Within the DGSE (General Directorate for External Security), a department called the Office Of Legends (BDL) forms and remote pilot the most important agents of the French intelligence services: Clandestine. Immersion in hostile country, their mission is to identify individuals who may be...moviebox.digital
Tupe site unayotumia kudownload movieYa 2009 au 2015??
Tupe site unayotumia kudownload movie
Asante mkuu
REST IN PEACE FAM 🙏
Scofield alimsumbua sana jamaa pale Fox River. (Kama ingekuwa ni uhalisia nadhani Bellick angekuwa hapati usingizi kabisa akimfikiria Scofield).Ile funguo aliinya[emoji16][emoji16]. Ila mimi walivyokuwa nje ya gereza, bwana Brad Bellick ndio alikuwa ananifurahisha. Kumbe askari muoga muoga tu mtoto wa mama . Nilicheka sana pale walipokuwa wanatoroka gerezani, akawa anamuuliza Agent Mahone "Don't shoot" in Spanish inatamkwaje, incase mambo yakiharibika aweze hata kujitetea asipigwe risasi[emoji23][emoji23]View attachment 2551718
Kellerman ni character nilietokea kumkubali sana anamisimamo mikali sana mwambaScofield alimsumbua sana jamaa pale Fox River. (Kama ingekuwa ni uhalisia nadhani Bellick angekuwa hapati usingizi kabisa akimfikiria Scofield).
Bellick na Kellerman ni character ambao sikuwapenda kabisa Season 1, lakini mbeleni walicheza kama Pele
Paul Scheuring alituliza sana kichwa kwenye hii Series
Kabisa mkuu, kwa jinsi alivyokuwa mnaa hata mimi sikumpenda kabisa, ila huko mbele alikuwa kivutio[emoji16][emoji16]Scofield alimsumbua sana jamaa pale Fox River. (Kama ingekuwa ni uhalisia nadhani Bellick angekuwa hapati usingizi kabisa akimfikiria Scofield).
Bellick na Kellerman ni character ambao sikuwapenda kabisa Season 1, lakini mbeleni walicheza kama Pele
Paul Scheuring alituliza sana kichwa kwenye hii Series
Kwa ufupi tu, mule ndani hakuna character aliyeharibu kazi!Kellerman ni character nilietokea kumkubali sana anamisimamo mikali sana mwamba
Hakika hakuna alieleta mapuuza kila mmoja kakaba nafasi yakeKwa ufupi tu, mule ndani hakuna character aliyeharibu kazi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji119]UmetishaNaomba mnitajie muvi kali ya kuchinjanachinjana, kuuana vibaya, kutoana makoromeo, kuvujishana ubongo, kupasuana makende, kukatana miguu, kutoboana macho, kumwagana utumbo na wanaonesha mauaji yote bila kuficha chochote, yaani damu ziwe zinatapakaa kila dakika ya muvi. Sijali iwe na story mbaya au nzuri, yoyote ile cha msingi mauaji yawe ya ovyo ovyo tu.
Muvi ya namna hii naihitaji sana, iwe kuanzia 2018 kuja juu. Nitawashukuru sana mkinitajia jina.
[emoji23][emoji23][emoji23] Icheki "The Night Comes for Us" ina hayo mambo bossNaomba mnitajie muvi kali ya kuchinjanachinjana, kuuana vibaya, kutoana makoromeo, kuvujishana ubongo, kupasuana makende, kukatana miguu, kutoboana macho, kumwagana utumbo na wanaonesha mauaji yote bila kuficha chochote, yaani damu ziwe zinatapakaa kila dakika ya muvi. Sijali iwe na story mbaya au nzuri, yoyote ile cha msingi mauaji yawe ya ovyo ovyo tu.
Muvi ya namna hii naihitaji sana, iwe kuanzia 2018 kuja juu. Nitawashukuru sana mkinitajia jina.
[emoji16]Sema tu unataka kuangalia SAWNaomba mnitajie muvi kali ya kuchinjanachinjana, kuuana vibaya, kutoana makoromeo, kuvujishana ubongo, kupasuana makende, kukatana miguu, kutoboana macho, kumwagana utumbo na wanaonesha mauaji yote bila kuficha chochote, yaani damu ziwe zinatapakaa kila dakika ya muvi. Sijali iwe na story mbaya au nzuri, yoyote ile cha msingi mauaji yawe ya ovyo ovyo tu.
Muvi ya namna hii naihitaji sana, iwe kuanzia 2018 kuja juu. Nitawashukuru sana mkinitajia jina.
Shukrani mkuu[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] Icheki "The Night Comes for Us" ina hayo mambo boss
SAW niliiona[emoji16]Sema tu unataka kuangalia SAW