Sana mkuuYani hizo zote za moto [emoji91][emoji91]
Mimi ndio niliyopendekeza wakuu nikiwatajia movie ujue ni Kali nafuta na hii Papillon hautajuta kabisaNimemaliza kuiangalia hapa nimeipenda ni muvi nzuri. Alieipendekeza shukrani sana🙏
Inaonekana unajua muvi kali zenye damu nyingi, hebu mwaga listproject wolf hunting ni ya kipuuzi mnoò
Hiyo Carter hamna kituMwaka Jana mwishoni mpaka leo hii ndio kipindi ambacho nimeanza ramsi kufuatilia movies na series mbali mbali, kiukweli hii Ni burudani tosha kabisa ingawa nilikuwa mpenzi wa miziki
Na hii ndio listi yangu mpaka sasa
Black panther 1 and 2
Carter
Death on the nile
All of us are Dead
Mad Max
Red notice
Fifty shades of grey
Jurassic world Dominion
Plane
Bullet train
The man from Toronto
Black widow
The gray man
Old guard
The woman king
21 bridges
Uncharted
Extraction
The last of us
Shang chi and the legend of ten rings
Project wolf hunting
The night agent
Hakika ukizitazama utaburudia sana
mzee mimi ni mtu wa horror genre movies kwa sanaaaInaonekana unajua muvi kali zenye damu nyingi, hebu mwaga list
Humu kuna kifinyo kikali [emoji123][emoji123][emoji106]
Hiyo extraction ni nomaMwaka Jana mwishoni mpaka leo hii ndio kipindi ambacho nimeanza ramsi kufuatilia movies na series mbali mbali, kiukweli hii Ni burudani tosha kabisa ingawa nilikuwa mpenzi wa miziki
Na hii ndio listi yangu mpaka sasa
Black panther 1 and 2
Carter
Death on the nile
All of us are Dead
Mad Max
Red notice
Fifty shades of grey
Jurassic world Dominion
Plane
Bullet train
The man from Toronto
Black widow
The gray man
Old guard
The woman king
21 bridges
Uncharted
Extraction
The last of us
Shang chi and the legend of ten rings
Project wolf hunting
The night agent
Hakika ukizitazama utaburudia sana
Hili cover mbona limekaa kibedui hiv[emoji16][emoji16]
Bedui manake mchinja ngamia ausio??umenikumbusha mbali😂😂Hili cover mbona limekaa kibedui hiv[emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16]mkuu nilikuwa sijui kama ni mchinja ngamia, huku kwetu tunalitumia sanaBedui manake mchinja ngamia ausio??umenikumbusha mbali[emoji23][emoji23]
Maana yake haswa Ni mtu katili[emoji16][emoji16][emoji16]mkuu nilikuwa sijui kama ni mchinja ngamia, huku kwetu tunalitumia sana
Kabisa mkuu, hata hilo cover hao watu wamekaa kikatili mno!Maana yake haswa Ni mtu katili
Mbona kwenye kava wote ni warembo tu. Sijaona sura ya kikatili[emoji23][emoji23]Kabisa mkuu, hata hilo cover hao watu wamekaa kikatili mno!
[emoji16][emoji16]hebu kama kuna movie kali huko single movie share na sisi hapa.Mbona kwenye kava wote ni warembo tu. Sijaona sura ya kikatili[emoji23][emoji23]
Chupa[emoji16][emoji16]hebu kama kuna movie kali huko single movie share na sisi hapa.
Hii umeshaicheki?! Nimekuwa nikiiskip kila siku