Introsagvert
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,459
- 3,020
Kaanze kwanza na Ant-Man and wasp quantumaniaNyinyi wadau wa MCU
Next movie ya Spider-Man ni ipi na inatoka lini, watu tunasubiria Ila hatujui ratiba
Au hamna Spider-Man fans humu View attachment 2592743
ThanksAnimation ya spider man into spider verse ila movie hakuna taarifa yoyote
Asante kwa kunikumbushaKaanze kwanza na Ant-Man and wasp quantumania
Pamojq mkuu... Mimi nimeikuta jana kwenye ile site ulionambia. Leo nitamalizana nayoAsante kwa kunikumbusha
Hii muvi nilikuwa nasubiria ili ifike kwenye sites zetu za mchongo mpaka nikaisahau.
Sasahivi nimeenda Netnaija kuangalia nimeikuta, Naishusha sasahivi
Imeisha hiyoPamojq mkuu... Mimi nimeikuta jana kwenye ile site ulionambia. Leo nitamalizana nayo
Movie akiwepo tu uyo Kira Noir basi jua mikunjo/mipinduano/mishono ipo ya kutosha tu
Niliidharau mwanzo ila itabidi niitafute nayoMovie akiwepo tu uyo Kira Noir basi jua mikunjo/mipinduano/mishono ipo ya kutosha tu
Unazikubali movie za genre hiyo ya kunyooshana?Niliidharau mwanzo ila itabidi niitafute nayo
Kunyooshana unamaanisha kunyanduana au?Unazikubali movie za genre hiyo ya kunyooshana?
😁😁Eeeh mkuu kunyanduana hyoKunyooshana unamaanisha kunyanduana au?
Duh... Sikuelewa[emoji38][emoji38][emoji16][emoji16]Eeeh mkuu kunyanduana hyo
[emoji23][emoji23]ungesearch jina nililoliandika apo juu Kira Noir ungeelewa mapema uyo dada ni mcheza pilau maaruf tu movie zote alizocheza dizain ya hyo ni hatar.Duh... Sikuelewa[emoji38][emoji38]
Nilifikiri kunyooshana ni kupigana mkono wa hatari. Nilifikiri kunyooshana ni Action za maana, zile ninazozipendaga
Ngoja niachane nayo tu[emoji16][emoji16]
Don't breath siyo Kali?Hapo nimeona moja tu ambayo ni kali. RESTLESS
Hii ni homework ya leo usiku[emoji106]Imeisha hiyoView attachment 2592771
Hiyo ni horror au?Don't breath siyo Kali?
Yah...Hiyo ni horror au?
Yani ni kawaida sanaaa! haina mtiririko wa kueleweka, nmeiangalia vile tu sikua na cha kuona. ila Kumejaa uchafu uchafu tu wa kila namnaHamna movie hapo... Ni overrate movie hyo..ni kawaida sana