Introsagvert
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,459
- 3,020
Imagine hata screenshot yangu mwenyewe niliyoituma saiv nayo haifunguki[emoji16][emoji16]. Enewei thanks!The Equalizer
Tumia websiteImagine hata screenshot yangu mwenyewe niliyoituma saiv nayo haifunguki[emoji16][emoji16]. Enewei thanks!
[emoji16][emoji16][emoji16]hali mbaya sana kwa watumiaji wa App hadi nmepoteza mzuka wa kuingia JFInaitwaje hiyo maana leo wengine picha hazifungukiView attachment 2601157
Mimi nishazikataaga hizi movieYani ni kawaida sanaaa! haina mtiririko wa kueleweka, nmeiangalia vile tu sikua na cha kuona. ila Kumejaa uchafu uchafu tu wa kila namna
Hazina maana yoyote
Movie za aina hii za gangster au madawa ya kulevya, naona hazina deal tenaHazina maana yoyote
Hazifundishi kitu chochote ni ujinga tuMovie za aina hii za gangster au madawa ya kulevya, naona hazina deal tena
Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
Mimi kwenye muvi siangalii mafunzo. Ninachotaka ni muvi iwe kali tu basiHazifundishi kitu chochote ni ujinga tu
Sipendi kutumia browser. Kupitia app naperuzi vizuri zaidi na ipo very simple. Napenda navyo scroll up kwenye uzi halafu comments zinapanda tu sina haja ya kuload page mojamoja japo nayo mwanzoni ulikuwa unaload page mojamoja.
aaah au sioMimi kwenye muvi siangalii mafunzo. Ninachotaka ni muvi iwe kali tu basi
Mimi natumia zote app na browserSipendi kutumia browser. Kupitia app naperuzi vizuri zaidi na ipo very simple. Napenda navyo scroll up kwenye uzi halafu comments zinapanda tu sina haja ya kuload page mojamoja japo nayo mwanzoni ulikuwa unaload page mojamoja.
Bonhe la muvi lipi?Bonge la movie
Yeah kwenye browser kuna features nyingi nyingi [emoji106]Mimi natumia zote app na browser
Ile ya browser inaonesha picha zote na kama mtu akireact emoji ya kucheka inakuonesha. Hii app hata mtu akireact emoji ya kucheka inakuonesha kuwa amelike post yako badala ya kucheka.
Ile ya browser inaonesha kama kuna mtu anatype. Mfano "Reuben is typing" kama WhatsApp tu
Ile ya browser ni nzuri kama unajua thread unazoingiaga zinakuwa na picha nyingi. La sivyo utakosa kuona picha nyingi sana
Nahisi itakuwa chuma kikaliGhosted 2023.
Genre: Comedy/action/spy/romance
Cole anakutana na mrembo Sadie wanapata na one night date, baada ya kuona kimya kingi anaamua kusafiri mpaka London kumfanyia suprise , asijue mwenzie ni secret agent yupo kwenye mission.....View attachment 2601121
Yeah iko poaNahisi itakuwa chuma kikali
Ni nzuri na kuna surprise ya mastaa kibao humu ndani [emoji1][emoji1][emoji1] issue ni kwamba ina Comedy za kutoshaNahisi itakuwa chuma kikali
Nmeshachukua season 1. Naitafutia siku ambayo niko bored nianze kuishushaKuhusu bel air season 1 and 2
-Inaburudisha mno
-Kama kijana mpambanaji itakufunza vingi
-kama mzazi au mlezi pia itakupa somo
Kina Mr Q mnaopenda action always hakika mnakosa vitu amazing kwenye hi series