Reuben Challe
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 2,940
- 5,511
Mkuu kama umeangalia trailler za fast X unaionaje?Kaka hatuwazi ushoga ila tunachukua tahadhari. Wazungu wameamua kutusogezea mambo yao sebuleni!
Kaka inaonekana unyama mwingiMkuu kama umeangalia trailler za fast X unaionaje?
Mzee wa visusio[emoji16][emoji16] umecheki na evil dead za nyuma?Terrifier 2
Kama unahitaji kuona muvi ya mauaji mabaya na ya kikatili basi angalia hii itakufaa.
Humu story yake ni ushuzi mtupu, jamaa anaua bila sababu za msingi Ila nimeipenda Sana
Haya ndio mauaji niliyotaka kuyaona kwenye movie [emoji23][emoji23]
Natamani Hollywood waendelee kutoa muvi nyingi za aina hii [emoji16][emoji16]View attachment 2631002
Hizo ndio movies ukiangalia hata hurushi mbeleAisee hii muv ina bloodshed za hatari sana
Nimependa pale jamaa(wolf) anaambiwa amfate juu ya tank amuue,jamaa alijipanga sana asee maaana alijua uyu mzee sio poaHizo ndio movies ukiangalia hata hurushi mbele
Ngoja niipakue chapNdio kwanza niko dk ya 56, lakini nimeona ni pause nije nilete mrejesho, huyu babu salute[emoji16][emoji16][emoji16]kuna action za kibabe humu! Babu anapindapinda kipande cha wire anajishona ka uzi!!!View attachment 2628191
Kaka bando lako haliendi bure hapoNgoja niipakue chap
Ile movie jamaa walijipanga sana. Actions za kibabe, kuna pale amezama kwenye ziwa halafu jamaa wanamfata hukohuko majini anawala kichwa kila anaemfata harudi[emoji16][emoji16]Nimependa pale jamaa(wolf) anaambiwa amfate juu ya tank amuue,jamaa alijipanga sana asee maaana alijua uyu mzee sio poa
Pale walivomnyonga akaamua kuchomeka kidonda kwenye msumari uliopinda ili apate balance asife kwa kukazwa na kamba 😬😰Ile movie jamaa walijipanga sana. Actions za kibabe, kuna pale amezama kwenye ziwa halafu jamaa wanamfata hukohuko majini anawala kichwa kila anaemfata harudi[emoji16][emoji16]
Action and warGenre!!??
Unyama mwingi aisee[emoji16]Pale walivomnyonga akaamua kuchomeka kidonda kwenye msumari uliopinda ili apate balance asife kwa kukazwa na kamba [emoji51][emoji27]
Hii kitu bado sijaiangalia, naitafutia sikuAlooo hii kitu hiiiView attachment 2631115
Ni horror,nafkr huzipendagHii kitu bado sijaiangalia, naitafutia siku
Jina la moviePale walivomnyonga akaamua kuchomeka kidonda kwenye msumari uliopinda ili apate balance asife kwa kukazwa na kamba [emoji51][emoji27]
SISUJina la movie
Naangaliaga sometimes na nimeshaishusha muda tu ila bado sijaiangaliaNi horror,nafkr huzipendag
Mi nikishaonaga tu exorcism alafu inahusu vatican aaaaah lazima niichekiNaangaliaga sometimes na nimeshaishusha muda tu ila bado sijaiangalia
Jion leo naruka nayo.. i hope iko poa maana hata reviews mtandaoni sio mbayaMi nikishaonaga tu exorcism alafu inahusu vatican aaaaah lazima niicheki