boy lanugo
JF-Expert Member
- Jun 9, 2015
- 290
- 272
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna movie ya kitambo sana haina sterling . watu wanatekwa wanapelekwa baharini anagongwa mmoja baada ya mwingine nyundo la kichwa. km unaijua pls nichek bro
Restless ni yenyewe. Kama kuna mtu hajaiwoch? Aitafute sasaHapo movie Kali na mtu unaenjoy na zenye mtiririko mzuri wa story ni Restless,death on the nile,scream na old hizo kama against the ice,adam project na morbius sijaziona sijui ubora wake
Ebu nipe movie na series Kali ulizoangaliaRestless ni yenyewe. Kama kuna mtu hajaiwoch? Aitafute sasa
Zenye muelekeo upi? Wengine wanapenda zenye uchawi na nguvu za asili(dr. Strange favour) huku wengine tukipenda zenye mkong'oto kutumia akili na zilizojaa hila za kijasusi na upelelezi. Wewe unapenda zipiEbu nipe movie na series Kali ulizoangalia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna movie ya kitambo sana haina sterling . watu wanatekwa wanapelekwa baharini anagongwa mmoja baada ya mwingine nyundo la kichwa. km unaijua pls nichek bro
Me napenda zenye story nzuri na zenye akili mfano mzuri hiyo restless au zile zenye actionZenye muelekeo upi? Wengine wanapenda zenye uchawi na nguvu za asili(dr. Strange favour) huku wengine tukipenda zenye mkong'oto kutumia akili na zilizojaa hila za kijasusi na upelelezi. Wewe unapenda zipi
Hii ngoma Kama sikosei unaseme muvi inaitwa SAVIOR ni mercenary wanakwenda kwenye vita vya chechnia halafu jamaa Yuko na partner wake anataka kumshoot mjamzito anayetaka kujifungua,jamaa inabidi amshuti partner wake then aanze kupambana kumuokoa huyo mama na mtoto wake,anafanikiwa ila ndio mama wa mtoto anapigwa nyundo ya kichwa pamoja na mateka wengine alipokamatwa akiwa ammenda kusaka msaada townHii ngoma ni ya kitambo sanaaaa
Binafsi nmeiangalia bado dogo so hata jina silifaham ukiipata nitag mzee[emoji15][emoji15]
SAVIORKuna movie ya kitambo sana haina sterling . watu wanatekwa wanapelekwa baharini anagongwa mmoja baada ya mwingine nyundo la kichwa. km unaijua pls nichek bro
Mi nahitaji movie zenye kutumia akili kuielewa kama ile Players & Race ya kihindiZenye muelekeo upi? Wengine wanapenda zenye uchawi na nguvu za asili(dr. Strange favour) huku wengine tukipenda zenye mkong'oto kutumia akili na zilizojaa hila za kijasusi na upelelezi. Wewe unapenda zipi
TENETMi nahitaji movie zenye kutumia akili kuielewa kama ile Players & Race ya kihindi
Hahaaa nilipoiangalia mara ya kwanza nilipofika mwisho ndio nikajua sijaelewa nilichokuwa naangalia hadi nilipoirudiaTENET
Hii ngoma Kama sikosei unaseme muvi inaitwa SAVIOR ni mercenary wanakwenda kwenye vita vya chechnia halafu jamaa Yuko na partner wake anataka kumshoot mjamzito anayetaka kujifungua,jamaa inabidi amshuti partner wake then aanze kupambana kumuokoa huyo mama na mtoto wake,anafanikiwa ila ndio mama wa mtoto anapigwa nyundo ya kichwa pamoja na mateka wengine alipokamatwa akiwa ammenda kusaka msaada town