Mustafa Ahmad Shahadi Kiongozi wa Kikosi Maalum cha Hezbollah Auliwa na IDF

Mustafa Ahmad Shahadi Kiongozi wa Kikosi Maalum cha Hezbollah Auliwa na IDF

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
7,021
Reaction score
11,475
20241031_164009.jpg


JESHI la Israel limemuua kiongozi mwingine wa kikosi maalum cha kundi la Hezbollah, Mustafa Ahmad Shahadi katika shambulizi lililofanywa eneo la
Nabatieh kusini mwa Lebanon.
Taarifa ya jeshi la Israel imesema katika shambulio hilo lililofanywa na jeshi la anga la Israel limemshambulia kiongozi huyo hadi kumuua.
Awali, kiongozi huyo alikuwa akiendesha operesheni za kikosi cha Radwan chini Syria na kusimamia mashambulizi ya kigaidi kusini mwa Lebanon.
Chanzo: Dw
 
View attachment 3139912

JESHI la Israel limemuua kiongozi mwingine wa kikosi maalum cha kundi la Hezbollah, Mustafa Ahmad Shahadi katika shambulizi lililofanywa eneo la
Nabatieh kusini mwa Lebanon.
Taarifa ya jeshi la Israel imesema katika shambulio hilo lililofanywa na jeshi la anga la Israel limemshambulia kiongozi huyo hadi kumuua.
Awali, kiongozi huyo alikuwa akiendesha operesheni za kikosi cha Radwan chini Syria na kusimamia mashambulizi ya kigaidi kusini mwa Lebanon.
Chanzo: Dw
Wakiuawa magaidi hivi wa hezbollah au hamas husiki wala uoni kobazi wakiposti wala kukiri ila wako haraka kuweka picha za watoto na wanawake kusema israel inaua wanawake na watoto haiwawezi magaidi cha ajabu hawa viongozi hezbollah na hamas nao ni wanawake na watoto?
 
View attachment 3139912

JESHI la Israel limemuua kiongozi mwingine wa kikosi maalum cha kundi la Hezbollah, Mustafa Ahmad Shahadi katika shambulizi lililofanywa eneo la
Nabatieh kusini mwa Lebanon.
Taarifa ya jeshi la Israel imesema katika shambulio hilo lililofanywa na jeshi la anga la Israel limemshambulia kiongozi huyo hadi kumuua.
Awali, kiongozi huyo alikuwa akiendesha operesheni za kikosi cha Radwan chini Syria na kusimamia mashambulizi ya kigaidi kusini mwa Lebanon.
Chanzo: Dw
Ukisikia kuna majitu majinga ndio haya yaani hayana akili nayataisha yote mpaka na baba lao
 
Ni kwamba hata kijana akipata cheo cha mwandamizi, naye atauliwa. IDF inaua waandamizi
Unadhani mwezi huu wa kumi wamepoteza wanajeshi wangapi? Wanapoteza wengi sema huwa hawasemi. Unafahamu Israel kaskazini pia raia wamekimbia makazi yao
 
Back
Top Bottom