Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Yeah, nafahamu, na wamehamishiwa maeneo ya Gaza walikoondolewa wapalestina, maisha yanaendeleaUnafahamu Israel kaskazini pia raia wamekimbia makazi yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah, nafahamu, na wamehamishiwa maeneo ya Gaza walikoondolewa wapalestina, maisha yanaendeleaUnafahamu Israel kaskazini pia raia wamekimbia makazi yao
Top layer yote wamewahishwa kwa mabikra 72 what a supriseView attachment 3139912
JESHI la Israel limemuua kiongozi mwingine wa kikosi maalum cha kundi la Hezbollah, Mustafa Ahmad Shahadi katika shambulizi lililofanywa eneo la
Nabatieh kusini mwa Lebanon.
Taarifa ya jeshi la Israel imesema katika shambulio hilo lililofanywa na jeshi la anga la Israel limemshambulia kiongozi huyo hadi kumuua.
Awali, kiongozi huyo alikuwa akiendesha operesheni za kikosi cha Radwan chini Syria na kusimamia mashambulizi ya kigaidi kusini mwa Lebanon.
Chanzo: Dw
Peponi kuzuri sheikh (In Kipozeo's voice)Ni 72 bwana sio 70 mbona unawapunguzia..!?
Kama unayo orodha ya makamanda wa IDF waliouliwa iweke hapaVita Hii inarepotiwa upande mmoja tu Israel imeua Israel imekamata israel imeshambulia lakini wao wamekufa sana pia ila wanazuia Media zote kusema na wanazoruhusu ni kupewa na kuelekezwa cha kusema basi.
Sijui amequote kwenye Hadith ipi ya wafuasi wa mwamediNi 72 bwana sio 70 mbona unawapunguzia..!?
Na bado .... Itaendelea.....Top layer yote wamewahishwa kwa mabikra 72 what a suprise
Msameheni jamani ..Ile lugha ya kusoma kutoka kulia kwenda kushoto ni ngumu ati.Sijui amequote kwenye Hadith ipi ya wafuasi wa mwamedi
Aitoe wapi? Haipo.Kama unayo orodha ya makamanda wa IDF waliouliwa iweke hapa
Kafiri kafiri hana akiliWanadanganywa sana na kitabu chao. Mtu uache kula bikra hapa eti usubirie wa peponi? Malaria 2