Mustafa Hasanali arudi kwenye ubonge nyanya!

Mustafa Hasanali arudi kwenye ubonge nyanya!

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Umofia kwenu,

Nakumbuka miaka kama mi4 iliyopita watu tulikuwa tunamshangaa mustafa kwa jinsi alivyopungua na kuwa mwembamba hatari,lakini cha kushangaza amerudi tena kwenye ubonge nyanya,vp tena mustafa umeshindwa kujimantain? Au ubonge ni hasili yenu?
 
weka picha banaaa!
AFTER AND BEFORE!
lol!
mwe ila mi niliogopa alivopunguaaaa!kha!
 
muyo mustafa ni nani wakuu?
Mtangazaji wa luninga?
 
kingkong utapichua au upichui?weka foto bana!
 
Umofia kwenu,

Nakumbuka miaka kama mi4 iliyopita watu tulikuwa tunamshangaa mustafa kwa jinsi alivyopungua na kuwa mwembamba hatari,lakini cha kushangaza amerudi tena kwenye ubonge nyanya,vp tena mustafa umeshindwa kujimantain? Au ubonge ni hasili yenu?

yaani utadhani wanachangia jina.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    92.8 KB · Views: 343
  • image.jpg
    image.jpg
    18.4 KB · Views: 334
Umofia kwenu,

Nakumbuka miaka kama mi4 iliyopita watu tulikuwa tunamshangaa mustafa kwa jinsi alivyopungua na kuwa mwembamba hatari,lakini cha kushangaza amerudi tena kwenye ubonge nyanya,vp tena mustafa umeshindwa kujimantain? Au ubonge ni hasili yenu?

We ni Kilaza
 
Back
Top Bottom