Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,422
- 7,350
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwenye mchezo wa kutafuta nyaraka kwenye laptop za wenzie anajulikana...
Hilo nalo neno, bilioni nane zote bila camera ndani? Kama camera zipo si tuna re-wind tu mkanda tunamwona mwizi - SIMPLE KWENDA NATEKNOLOGIA!
Ni aibu kwa wasimamizi wa ulinzi ndani ya bunge, walitakiwa waone hilo tukio kabla ya kutokea (CCTV camera monitoring crew) ambao hawa wana mpaka mtaalamu wa ugunduzi wa sura. Inakuwaje kitendo kama hiki kinatokea ndani ya bunge? kwa hivyo basi kama kuna Mbunge mwenye nia mbaya na taifa anaweza kujitoa mhanga na kujilipua ndani ya bunge na kusimamisha shuguli zote za katiba na mambo muhimu ya kitaifa.
Baada ya tukio kutokea wameshindwa vipi ku trace laptop na hasa kama ilikuwa connected kwa internet ni dakika 3 tu kuijua location yake? Inanikumbusha tukio la kuibwa kwa simu ya balozi ikulu .... da!!!
Wavuta bange wenu hao
Hainiingii akilini kitu kama hicho kutokea kwa watu walioaminiwa na kutumwa kufanya kazi kwa niaba yetu sie zaidi ya milioni arobaini.
Naanza kuona giza linaloisonga katiba yetu huko mbele.
Na mkishindwa kuipata niambieni nina msomi wangu wa it ataitafuta hata kama iko darini ataikuta huko;
Wanajulikana majangili pamoja na kiongozi wao aliyoko Arusha, na mambo swaaafi sembuse nyaraka! Muhimu, tuangalie kwa jicho la tatu hili ni Bunge kweli au genge la aina fulani ya watu kama alivyosema Mch. Mtikila kisha tutafakari la kufanya na kisha tufanye.
Wangemsachi "tall water" , si hata Amos Makalla aliwahi kumlalamikia kuwa alimuibia gari??
hapa tunatafuta laptop lakini....