Wana bodi,
Naamini wengi mnapajua Dumila. Mji huu upo katka wilaya ya Kilosa, jimbo linaloongozwa na Mustapha Mkulo.
Leo hii takriban saa moja lililopita Mhe. Mkulo amelazimika kukimbia kabisaaa (Namaanisha kukimbia) pale wananchi wa mji huu walipoanza kupaza sauti za kumzomea baada ya kutoa majibu mabaya juu ya mradi wa maji ambao yeye aliahiti kutoa Tsh 5,000,000 toka katika Mfuko wa Jimbo tangu mwaka 2011 lakin hadi leo hajatoa na aliwahi kunukuliwa akisema hatatoa kwa madai kwamba alitukanwa na katibu wa CCM wa wilaya.
Majibu yake kwamba "... sitoi hela mpaka katibu aniombe msamaha kwa maandishi..." ndo yakaibua hasira za wananchi ambao mwaka huo wa 2011 walilazimishwa kwa vipigo kutoa kila mtu Sh 3500 tofauti na makubaliano ya kuchangia sh 2000 kwa kaya... pesa ambazo nazo zimeliwa.
Mkulo kadandia gari yake aina ya Range Rover Vogue na kutimka.
Nikiweza ntaleta picha
Wana bodi,
Naamini wengi mnapajua Dumila. Mji huu upo katka wilaya ya Kilosa, jimbo linaloongozwa na Mustapha Mkulo.
Leo hii takriban saa moja lililopita Mhe. Mkulo amelazimika kukimbia kabisaaa (Namaanisha kukimbia) pale wananchi wa mji huu walipoanza kupaza sauti za kumzomea baada ya kutoa majibu mabaya juu ya mradi wa maji ambao yeye aliahiti kutoa Tsh 5,000,000 toka katika Mfuko wa Jimbo tangu mwaka 2011 lakin hadi leo hajatoa na aliwahi kunukuliwa akisema hatatoa kwa madai kwamba alitukanwa na katibu wa CCM wa wilaya.
Majibu yake kwamba "... sitoi hela mpaka katibu aniombe msamaha kwa maandishi..." ndo yakaibua hasira za wananchi ambao mwaka huo wa 2011 walilazimishwa kwa vipigo kutoa kila mtu Sh 3500 tofauti na makubaliano ya kuchangia sh 2000 kwa kaya... pesa ambazo nazo zimeliwa.
Mkulo kadandia gari yake aina ya Range Rover Vogue na kutimka.
Nikiweza ntaleta picha
Wana bodi,
Naamini wengi mnapajua Dumila. Mji huu upo katka wilaya ya Kilosa, jimbo linaloongozwa na Mustapha Mkulo.
Leo hii takriban saa moja lililopita Mhe. Mkulo amelazimika kukimbia kabisaaa (Namaanisha kukimbia) pale wananchi wa mji huu walipoanza kupaza sauti za kumzomea baada ya kutoa majibu mabaya juu ya mradi wa maji ambao yeye aliahiti kutoa Tsh 5,000,000 toka katika Mfuko wa Jimbo tangu mwaka 2011 lakin hadi leo hajatoa na aliwahi kunukuliwa akisema hatatoa kwa madai kwamba alitukanwa na katibu wa CCM wa wilaya.
Majibu yake kwamba "... sitoi hela mpaka katibu aniombe msamaha kwa maandishi..." ndo yakaibua hasira za wananchi ambao mwaka huo wa 2011 walilazimishwa kwa vipigo kutoa kila mtu Sh 3500 tofauti na makubaliano ya kuchangia sh 2000 kwa kaya... pesa ambazo nazo zimeliwa.
Mkulo kadandia gari yake aina ya Range Rover Vogue na kutimka.
Nikiweza ntaleta picha
kwani HAO WAPIGAKURAWAKE hawakuwa na mawe????
wangemsindikiza kwa mawe ingekuwa vizuri zaidi
Hawawanasiasa wanashindwa tambua kwamba jamii ya leo sio ile ya miaka ya 40
Akirudi bora mpige mawe kabisa
Mkuu huyu mheshimiwa, kipindi alipo kuwa waziri wa fedha, je kuna lolote la maana alilofanya kwa taifa na kwetu wananchi, tunalo weza kumkumbuka nalo? Ni aibu kwa former finace minister, kwenye jimbo lake kuwa majanga kiasi hicho.
Yani ma ccm yanafanya maendeleo ya wananchi kama vile ni mambo ya nyumba ndogo!Katibu ccm anauhusiano gani na maji?M4c jimbo hilo lipo wazi
Yaani huo mradi wa maji wanataka kuufisadi kama ule wa Karatu alivyoufisadi Dr. Slaa.
Maji ni UHAI...
Yaani huo mradi wa maji wanataka kuufisadi kama ule wa Karatu alivyoufisadi Dr. Slaa.
Maji ni UHAI...
Yaani huo mradi wa maji wanataka kuufisadi kama ule wa Karatu alivyoufisadi Dr. Slaa.
Maji ni UHAI...
upara bila utekelezaji ni sawa na KOVU.Kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Sijui Ule uwaraza aliutia wigi ? maana ni aibu sana mwenye upara kutoka nduki .
Hapo ndo Dumila tu... Jamaa ana daiwa kila kona...
Wewe una nini wewe?