Mustafa Mkulo atoka mbio kukwepa ghadhabu ya wananchi Dumila

Mustafa Mkulo atoka mbio kukwepa ghadhabu ya wananchi Dumila

Mkuu huyu mheshimiwa, kipindi alipo kuwa waziri wa fedha, je kuna lolote la maana alilofanya kwa taifa na kwetu wananchi, tunalo weza kumkumbuka nalo? Ni aibu kwa former finace minister, kwenye jimbo lake kuwa majanga kiasi hicho.
 
Wana bodi,

Naamini wengi mnapajua Dumila. Mji huu upo katka wilaya ya Kilosa, jimbo linaloongozwa na Mustapha Mkulo.
Leo hii takriban saa moja lililopita Mhe. Mkulo amelazimika kukimbia kabisaaa (Namaanisha kukimbia) pale wananchi wa mji huu walipoanza kupaza sauti za kumzomea baada ya kutoa majibu mabaya juu ya mradi wa maji ambao yeye aliahiti kutoa Tsh 5,000,000 toka katika Mfuko wa Jimbo tangu mwaka 2011 lakin hadi leo hajatoa na aliwahi kunukuliwa akisema hatatoa kwa madai kwamba alitukanwa na katibu wa CCM wa wilaya.

Majibu yake kwamba "... sitoi hela mpaka katibu aniombe msamaha kwa maandishi..." ndo yakaibua hasira za wananchi ambao mwaka huo wa 2011 walilazimishwa kwa vipigo kutoa kila mtu Sh 3500 tofauti na makubaliano ya kuchangia sh 2000 kwa kaya... pesa ambazo nazo zimeliwa.

Mkulo kadandia gari yake aina ya Range Rover Vogue na kutimka.

Nikiweza ntaleta picha

na itakapokuja sheria ile ya kuwapindua wabunge hali itakaa sawa,,,,,,,kama ,mbunge hawajabiki aondolewe,huyu jamaa ananata kwakua hakuna wa kumuwajibisha
 
Wana bodi,

Naamini wengi mnapajua Dumila. Mji huu upo katka wilaya ya Kilosa, jimbo linaloongozwa na Mustapha Mkulo.
Leo hii takriban saa moja lililopita Mhe. Mkulo amelazimika kukimbia kabisaaa (Namaanisha kukimbia) pale wananchi wa mji huu walipoanza kupaza sauti za kumzomea baada ya kutoa majibu mabaya juu ya mradi wa maji ambao yeye aliahiti kutoa Tsh 5,000,000 toka katika Mfuko wa Jimbo tangu mwaka 2011 lakin hadi leo hajatoa na aliwahi kunukuliwa akisema hatatoa kwa madai kwamba alitukanwa na katibu wa CCM wa wilaya.

Majibu yake kwamba "... sitoi hela mpaka katibu aniombe msamaha kwa maandishi..." ndo yakaibua hasira za wananchi ambao mwaka huo wa 2011 walilazimishwa kwa vipigo kutoa kila mtu Sh 3500 tofauti na makubaliano ya kuchangia sh 2000 kwa kaya... pesa ambazo nazo zimeliwa.

Mkulo kadandia gari yake aina ya Range Rover Vogue na kutimka.

Nikiweza ntaleta picha

Haafu huyu si tulishaambiwa ni MNYASA, eti? Kama ndivyo, hana la kupoteza aisee!!
 
wawakilishi wa aina ya mkulo ni majanga kuwarudisha bungeni! binafsi sioni kazi anayofanya huyu zaidi ya kuona kipara kiking'aa tu mle ndani!
 
Sipati Picha Uchaguzi wa 2015 utakavyokuwa kwa maana CCM watataka kuendeleza Sera yao ya Wizi wa Kura na Wananchi hawatataka kuibiwa kura.Hapo ndipo Nyasi zitakapowaka Moto.
 
Wana bodi,

Naamini wengi mnapajua Dumila. Mji huu upo katka wilaya ya Kilosa, jimbo linaloongozwa na Mustapha Mkulo.
Leo hii takriban saa moja lililopita Mhe. Mkulo amelazimika kukimbia kabisaaa (Namaanisha kukimbia) pale wananchi wa mji huu walipoanza kupaza sauti za kumzomea baada ya kutoa majibu mabaya juu ya mradi wa maji ambao yeye aliahiti kutoa Tsh 5,000,000 toka katika Mfuko wa Jimbo tangu mwaka 2011 lakin hadi leo hajatoa na aliwahi kunukuliwa akisema hatatoa kwa madai kwamba alitukanwa na katibu wa CCM wa wilaya.

Majibu yake kwamba "... sitoi hela mpaka katibu aniombe msamaha kwa maandishi..." ndo yakaibua hasira za wananchi ambao mwaka huo wa 2011 walilazimishwa kwa vipigo kutoa kila mtu Sh 3500 tofauti na makubaliano ya kuchangia sh 2000 kwa kaya... pesa ambazo nazo zimeliwa.

Mkulo kadandia gari yake aina ya Range Rover Vogue na kutimka.

Nikiweza ntaleta picha

Hivi hilo eneo lilikuwa halina mawe....? Wangemtusua kidogo....Anyway sasa wananchi wameamka...
 
kwani HAO WAPIGAKURAWAKE hawakuwa na mawe????
wangemsindikiza kwa mawe ingekuwa vizuri zaidi
Hawawanasiasa wanashindwa tambua kwamba jamii ya leo sio ile ya miaka ya 40
Akirudi bora mpige mawe kabisa

Kama ulikuwa akilini mwangu vile....Yani wangemshushia mangasto kidogo akome..
 
Mwizi tokea lini akalipa madeni ya ahadi zake!
 
Mkuu huyu mheshimiwa, kipindi alipo kuwa waziri wa fedha, je kuna lolote la maana alilofanya kwa taifa na kwetu wananchi, tunalo weza kumkumbuka nalo? Ni aibu kwa former finace minister, kwenye jimbo lake kuwa majanga kiasi hicho.


Sijakuelewa unamaanisha nini.Yaani Mtu akiwa Waziri ndio Jimbo lake liendelee kuliko Mengine?Funguka Tafadhali naona network imeshindwa kukunasa vizuri.
 
Yani ma ccm yanafanya maendeleo ya wananchi kama vile ni mambo ya nyumba ndogo!Katibu ccm anauhusiano gani na maji?M4c jimbo hilo lipo wazi

Mkuu unajua Wabunge wengi wa ccm walizoea kuchaguliwa kwa kutumia mgongo wa chama...Kwasasa mambo yamebadilika 2015 kuna kazi ya ziada.....Hiki kizazi cha M4C ni hatari....
 
Back
Top Bottom