Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena vema sana mh kibajaji[emoji122][emoji122]Namkubali sana Dr Slaa ana uwezo mkubwa wa kufikiri na kuwakilisha hoja zake akaeleweka. Sidhani kama upinzani utakuja kupata mtu special kama yule hivi karibuni.
Anyways wale washikiwa akili watakuja na walichosetiwa kukisema sijui msaliti sijui kashawishiwa na mkewe ila ukweli utasimama daima.
Nikishaona mtu kaweka kipicha cha Mbowe kwenye avatar... Uwa naishia kumkubali Mbowe kwa kuweza kushika akili za misukule wa kutosha yule mchaga kweli katumwa hela mjini.Kwa hiyo Slaa sio kiwanda cha UONGO tena. MaCCM akili zenu hazina akili kabisa kabisa.
Kwa hiyo ni mkutano wa "mafools"!!???Msisahau april fool ni mkutano wa ccm
Anajua kusoma ?Inaelekea Dr Msukuma anasoma sana michango yangu hapa jukwaani!
Yeah. Anasema chadema yenu, ya sasa hivi, ni mdebwedo, hakuna hoja ni porojo tu na matusi.Anajua kusoma ?
Huyu msukuma hata neno utafiti anaelewa maana yak
Yaani ukiona unasifiwa na maccm lazima ujichunguze kwa makini.Sasa kwanini asipewe ukatibu mkuu wa CCM ? maana sasa yuko huko
Kifupi tu DKT SLAA akiwa CHADEMA alkuwa amezungukwa na mazwazwaNamkubali sana Dr Slaa ana uwezo mkubwa wa kufikiri na kuwakilisha hoja zake akaeleweka. Sidhani kama upinzani utakuja kupata mtu special kama yule hivi karibuni.
Anyways wale washikiwa akili watakuja na walichosetiwa kukisema sijui msaliti sijui kashawishiwa na mkewe ila ukweli utasimama daima.
Mazwazwa ambao Kwa hali iliyofikia bila wizi wa kura huenda msiione ikulu🤔Kifupi tu DKT SLAA akiwa CHADEMA alkuwa amezungukwa na mazwazwa
Inawezekanakweli kuna nyakati hata saa mbovu husema ukweli.
Msukuma hateui karibu mkuu wa CCM.Sasa kwanini asipewe ukatibu mkuu wa CCM ? maana sasa yuko huko
Mbunge wa Geita vijijini Dr Msukuma amesema kabla ya kuingia kwenye siasa alikuwa ni mfuatiliaji mzuri wa mijadala ya Chadema bungeni.
Mijadala ya Chadema bungeni ilikuwa imeshiba na iliyofanyiwa tafiti za kutosha.
Source: TBC
Ni kweli wanaosemaga ukweli siku zooote huwa ni wafuasi wa Mbowe.kweli kuna nyakati hata saa mbovu husema ukweli.
Sasa mtu kama Jiwe, Bashite na Saambaya waliweza kuwa viongozi wako, unachoshangaa ni nini?Kuna Chadema ya Dr Slaa unaona kabisa awa watu unaweza hata kuwapa nchi ikawa salama.
Alafu kuna Chadema ya kina mdude, lema, sugu, msigwa, martin na utopolo wengine wao wanachojua ni matusi na kufedheesha wengine ukitazama hauoni kiongozi.
Kama hilo ni kweli mnaangaikia nin kutaka kuifuta hiyo Chadema?Yeah. Anasema chadema yenu, ya sasa hivi, ni mdebwedo, hakuna hoja ni porojo tu na matusi.
Vipi anashindwaje kuijenga hoja za kukaa na wake zake???Namkubali sana Dr Slaa ana uwezo mkubwa wa kufikiri na kuwakilisha hoja zake akaeleweka. Sidhani kama upinzani utakuja kupata mtu special kama yule hivi karibuni.
Anyways wale washikiwa akili watakuja na walichosetiwa kukisema sijui msaliti sijui kashawishiwa na mkewe ila ukweli utasimama daima.