Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mpuuzi tu, kipindi Dr Slaa yupo CHADEMA walikuwa wana mtuhumu kusaliti kanisa leo wapo naye CCM wanapongezaMbunge wa Geita vijijini Dr Msukuma amesema kabla ya kuingia kwenye siasa alikuwa ni mfuatiliaji mzuri wa mijadala ya Chadema bungeni.
Mijadala ya Chadema bungeni ilikuwa imeshiba na iliyofanyiwa tafiti za kutosha.
Source: TBC
Tena wapo naye CCMKwa hiyo Slaa sio kiwanda cha UONGO tena. MaCCM akili zenu hazina akili kabisa kabisa.
Matokeo yake wao ndiyo wanafutikaDokta mihogo na Dokta mchawi bado wanaamini katika kuabudu maiti ya Magufuli, HAYAWANI alieshindwa kuifuta CHADEMA.
CHADEMA ipo, ilikuepo na itaendelea kuwepo.
Namkubali sana Dr Slaa ana uwezo mkubwa wa kufikiri na kuwakilisha hoja zake akaeleweka. Sidhani kama upinzani utakuja kupata mtu special kama yule hivi karibuni.
Anyways wale washikiwa akili watakuja na walichosetiwa kukisema sijui msaliti sijui kashawishiwa na mkewe ila ukweli utasimama daima.
MPENI UBUNGE WAKO KAMA ULIMPENDAMbunge wa Geita vijijini Dr Msukuma amesema kabla ya kuingia kwenye siasa alikuwa ni mfuatiliaji mzuri wa mijadala ya Chadema bungeni.
Mijadala ya Chadema bungeni ilikuwa imeshiba na iliyofanyiwa tafiti za kutosha.
Source: TBC
Apewe Uenyekiti wa CCM TAIFA kama ana Hoja nzuriNamkubali sana Dr Slaa ana uwezo mkubwa wa kufikiri na kuwakilisha hoja zake akaeleweka. Sidhani kama upinzani utakuja kupata mtu special kama yule hivi karibuni.
Anyways wale washikiwa akili watakuja na walichosetiwa kukisema sijui msaliti sijui kashawishiwa na mkewe ila ukweli utasimama daima.
Halmashauri ya kichwa chako mbovu sanaKuna Chadema ya Dr Slaa unaona kabisa awa watu unaweza hata kuwapa nchi ikawa salama.
Alafu kuna Chadema ya kina mdude, lema, sugu, msigwa, martin na utopolo wengine wao wanachojua ni matusi na kufedheesha wengine ukitazama hauoni kiongozi.
Asante sana kwa kuwapa makavu live. CCM ni wapumbavu wa kuwango cha PhDMgeipenda mgekuwa mnaifanyia figisu za ki mafia wakati huo hadi mlikuwa mnakaa vikao mnasema mtahakikisha vyama vya siasa hasa chadema mnaifuta kwenye uso wa dunia? Mgekuwa mnaipenda mgekuwa mnawasingizia kesi viongozi wake? mgekuwa mnaipenda mgekuwa mnawateka na kuwapoteza kabisa viongozi wake? Mgekuwa mnaipenda mgemhadaa huyo mzee wa kushindia tumihogo ili aje kwenu na aikache chadema?
Kipindi hicho nakumbuka chadema ndo ilikuwa haipendwi hata kuonekana mbele za viongozi wa chama chenu na ndo maana hata mwenyekiti wenu alifanya kila hila kuhakikisha kwamba wabunge wa upinzani hasa chadema hawaonekani kwenye vyombo vya habari(akalifungia bunge kabatini ili lisirushe shuguli zake kwa kuogopa kivuli cha chadema)......
Yeah. Anasema chadema yenu, ya sasa hivi, ni mdebwedo, hakuna hoja ni porojo tu na matusi.
Dkt Slaa akitoka CCM atachukua Pro Magufuli wengi.
Ccm wanafungua uzi asubuh wakimtukana padri mzinivu na jion wanafungua mwingine wakimsifia mzinifu huyo huyo.Sasa kwanini asipewe ukatibu mkuu wa CCM ? maana sasa yuko huko
Namkumbuka yule Mama akitiririka damu zilizomwagwa na policcmSasa kwa nini Slaa na Mushumbusi walipigwa mabomu.
la saba nalo jamani....hiiiiiiiiii ππππMbunge wa Geita vijijini Dr Msukuma amesema kabla ya kuingia kwenye siasa alikuwa ni mfuatiliaji mzuri wa mijadala ya Chadema bungeni.
Mijadala ya Chadema bungeni ilikuwa imeshiba na iliyofanyiwa tafiti za kutosha.
Source: TBC
Muhuni tu huyu. Alikuwa mfuatiaji wa wapi kama siyo uongo tu.Mbunge wa Geita vijijini Dr Msukuma amesema kabla ya kuingia kwenye siasa alikuwa ni mfuatiliaji mzuri wa mijadala ya Chadema bungeni.
Mijadala ya Chadema bungeni ilikuwa imeshiba na iliyofanyiwa tafiti za kutosha.
Source: TBC