Muswada huu ukipita na kuwa Sheria Magufuli Day itakuwa Machi 29 kila mwaka na itakuwa siku ya mapumziko

Itaongeza pesa katika mnyororo wa thamani, wengine hulipwa per diem, wengine watapata tenda za kupamba uwanja n.k.
Ficha ujinga wako , unajoa hasara ya kupeleka bajeti kwenye useless issue, wakati huo hudjma ya maji safi haijafikia wananchi wote miaka 60 ya uhuru ??
 
Hii inahusu Marais waliofia Madarakani TU.
Ukifa kama Mstaafu siku ulokufa watu wanapiga kazi kama kawaida
Huu ni ujinga usiopatikana duniani isipokuwa Tanzania,hivi ni akili au matope? Rais aliekufa madarakan na aliekufa nje ya madaraka wote si marehemu? Kwann tuazimishe kwa wale waliokufa wakiwa madarakani tu? Yaan hili taifa lina viongoz wa hovyo sana,nchi maskini bdo maazimisho kibao hata yasio na tija, nonsense
 
Kama niivo, basi hii itakua sheria ya pili kupitishwa yenye lengo la Kurejesha na kulinda Legacy ya Hayati JPM.


By the way am Pro-magufulinism
Njia pekee ya kumuenzi magufuli hiyo tarehe ni kufanya kazi kwa bidii ili kuenzi kaulimbiu ya hapa kazi tu.

Sio siku ya kulala na kupumzika nyumbani eti tunasherekea mwanzilishi wa hapa kazi tu
 
Yaani baada ya kuuza nchi wanataka kujifichia kwa Magufuli.

Wanataka kujibeba kwenye mbeleko ya Magufuli.

Magufuli alisema yeyote mwenye kukubali masharti mabovu ya bandari labda ni kichaa!

Kama mgekuwa mnamuenzi Magufuli mgeheshimu sheria ya Rasilimali ya mwaka 2017 yenye signature yake inayotaka kesi za uwekezaji kwenye rasilimali za Taifa ziamuliwe kwa sheria zetu siyo za Uingereza kama mlivyofanya kwenye kuuza bandari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…