Muswada wa mabadiliko ya katiba watupwa nje, Kikwete adanganya umma

Muswada wa mabadiliko ya katiba watupwa nje, Kikwete adanganya umma

why

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
203
Reaction score
82
Ratiba ya kamati ya bunge ya katiba na sheria haijabainisha ni lini muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba utajadiliwa na kamati hivyo mjadala wa muswada wa sheria hiyo kufa na kutorudishwa bungeni.

Tafsiri yake ni Rais Kikwete kadanganya umma katika hotuba yake ya mwisho wa mwezi kwamba swala hilo linajadilika, huku akitambua mjadala wa marekebisho hayo lazima ufanyike bungeni na ratiba ya kamati haijaweka muswada huo katika mjadala wa wadau na kamati.

Ni kwa mujibu wa mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh Tundu Lissu mara baada ya kupokea ratiba ya shughuli za kamati ambayo imejaa zafari.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisin kwake katika ofisi ndogo za bunge punde amesema msimamo wa vyama vya upinzani upo pale pale kuanzia tar 10 hadi kuelekea bungeni Dodoma ndio kitaeleweka hadi watanzania wapate katiba wanayoitaka.

 
Kikwete kadanganya nini hapo? au umelewa?
 
LISSU amekwenda kukutana na wandishi wa habari au kwenye kamati?
 
Lisu naye aache bifu na JK. Kama kuna kitu anakitafuta atakipata tu
 
Mhn mnasemaga hivi hivi afu tunaona kucha zinabanduka...mshindweeeee

kucha za nini? au unafikiri humu kuna mtu anayeendesha michezo michafu kama ya bavicha na red brigade yao
 
JK ni mwenda wazimu kwa kweli hajui maaudhui ya kucheza na jambo zito kama hili yaani yeye anadhani watanzania ni kagame kwamba atawapeleke majeshi kuwanyamazisha wasipate katiba yenye uwezo wa kuendeleza nchi yetu kiuchumi na mshikamano
mmh huu sasa sijui tuite uhuru wa kuongea au uhuru wa kuropoka. Ni rais lakini nae ni binadam jaman sijui kama neno MWENDAWAZIMU limetumika mahala pake ustarabu ni kitu cha bure.
 
JK ni mwenda wazimu kwa kweli hajui maaudhui ya kucheza na jambo zito kama hili yaani yeye anadhani watanzania ni kagame kwamba atawapeleke majeshi kuwanyamazisha wasipate katiba yenye uwezo wa kuendeleza nchi yetu kiuchumi na mshikamano

Umekosa malezi mazuri. Siwezi kukulaumu wa kulaumiwa ni wazazi wako.
 
Mkuu, una uhuru kwa kunifananisha na chochote.kama unaipenda sana, unaweza kuikalia tu

Na wasiwasi na makalio yako kama yako salama ama break zilisha jam, wadada au waliberali ndo wanapendelea vitu kama hivyo
 
Hii ni delay tactic ili wapate muda wa kupanga hujuma zao au kuchelewesha uchaguzi.

Kwa kifupi hatasaini huo muswada ila anavuta muda kwa maslahi ya CCM!
 
kwani kikwete lini alisema kuwa mswada urudi bungeni ulikuwa unasikiliziwa au ulikuwa unasikiliza mwenyewe yeye alisema baadhi ya mambo yanazungumzika hajasema kurudisha bungeni kuzungumzika hata bar mnaweza kukaa na kuzungumza.
 
Na wasiwasi na makalio yako kama yako salama ama break zilisha jam, wadada au waliberali ndo wanapendelea vitu kama hivyo

cheki unavyojitekenya na kucheka mwenyewe unadhani matusi yanatija basi kwanza jk keshasaini anawasubiri mfanye ujinga awachape.
 
Na wasiwasi na makalio yako kama yako salama ama break zilisha jam, wadada au waliberali ndo wanapendelea vitu kama hivyo

Mkuu, yaelekea hizo ndo tabia zako na ndo maana muda wote umeitamani tu Avator yangu
 
kwa tarifa yako hata mkifanya fujo vipi watanzania hawako na nyie hata hayo mandamano mtaandamana na wake zenu pekee.
 
lisu ni mbea,mnafiki,mzandiki na mzushi anahangaika bure tu mswada hauna makosa umepita kwa kufuata taratibu zote.
 
Back
Top Bottom