Chabruma
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 5,660
- 1,780
Wachina wako wapi kuja kuwasaidia Ccm?
wachina ni marafiki zetu na hawataacha kushirikiana na ccm eti kwa vile tu chadema wanashirikiana na nchi za kiliberali kama vile ujeruman na demnark
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachina wako wapi kuja kuwasaidia Ccm?
kucha za nini? au unafikiri humu kuna mtu anayeendesha michezo michafu kama ya bavicha na red brigade yao
chama makini hakifi ila chama cha walafi lazime kifilie mbali
wachina ni marafiki zetu na hawataacha kushirikiana na ccm eti kwa vile tu chadema wanashirikiana na nchi za kiliberali kama vile ujeruman na demnark
Ila yeye akiwaita wafanyakazi mbayuwayu,mara sijui mnafiki,mzandiki mfitini ni sawa tu sio?mmh huu sasa sijui tuite uhuru wa kuongea au uhuru wa kuropoka. Ni rais lakini nae ni binadam jaman sijui kama neno MWENDAWAZIMU limetumika mahala pake ustarabu ni kitu cha bure.
Lisu naye aache bifu na JK. Kama kuna kitu anakitafuta atakipata tu
Kwani wewe ni nani hadi utishie watu maisha?mi nakuona kama kenge furani tu wa nchi kavu kama mjusi kafiri vile.
Kisingizio cha ujinga huo maccm nchi sio yenu peke yenu hii
Ratiba ya kamati ya bunge ya katiba na sheria haijabainisha ni lini muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba utajadiliwa na kamati hivyo mjadala wa muswada wa sheria hiyo kufa na kutorudishwa bungeni.
Tafsiri yake ni Rais Kikwete kadanganya umma katika hotuba yake ya mwisho wa mwezi kwamba swala hilo linajadilika, huku akitambua mjadala wa marekebisho hayo lazima ufanyike bungeni na ratiba ya kamati haijaweka muswada huo katika mjadala wa wadau na kamati.
Ni kwa mujibu wa mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh Tundu Lissu mara baada ya kupokesa ratiba ya shughuli za kamati ambayo imejaa zafari.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisin kwake katika ofisi ndogo za bunge punde amesema msimamo wa vyama vya upinzani upo pale pale kuanzia tar 10 hadi kuelekea bungeni Dodoma ndio kitaeleweka hadi watanzania wapate katiba wanayoitaka.
kucha za nini? au unafikiri humu kuna mtu anayeendesha michezo michafu kama ya bavicha na red brigade yao
Mbumbavu wewe. huwezi kumwita Rais wa nchi kwa jina hilo
Is this a direct threat?Lisu naye aache bifu na JK. Kama kuna kitu anakitafuta atakipata tu
Lisu naye aache bifu na JK. Kama kuna kitu anakitafuta atakipata tu