Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lisu naye aache bifu na JK. Kama kuna kitu anakitafuta atakipata tu
Kisingizio cha ujinga huo maccm nchi sio yenu peke yenu hii
kucha za nini? au unafikiri humu kuna mtu anayeendesha michezo michafu kama ya bavicha na red brigade yao
na safari hii hao viongozi ni lokapu tu hadi 2017,kwa tarifa yako hata mkifanya fujo vipi watanzania hawako na nyie hata hayo mandamano mtaandamana na wake zenu pekee.
uzuri waliomteka dr ulimboka na kibanda wanajulikana na hivyo unatokwa povu bure,ni mtanzania wa kijiji gani asiyejua uhusika wa ccm ktk kutesa na kuua raia ikishirikiana na vyombo vyake?
kwa tarifa yako hata mkifanya fujo vipi watanzania hawako na nyie hata hayo mandamano mtaandamana na wake zenu pekee.
na safari hii hao viongozi ni lokapu tu hadi 2017,
mie namshangaa sana huyu jk,hajui kuwa ukicheka na nyani unavuna mabua,
Lisu naye aache bifu na JK. Kama kuna kitu anakitafuta atakipata tu
Duh, jk ni kigeugeu tu, anapelekeshwa na maccm wenzake tu!
Maccm ya Lumumba yamealikana yaje kuchangia hii thread maana yameamua...
Nawaomba tu yasije kutung'oa kucha na meno manake wao hawanaga hoja yakiona yanapinga wao wanapanga kutesa na kuua watu wasio kuwa na hatia.
Hahahaha...
Subiri muone Kifo chenu Ccm kimefika!