Mutale akiachwa Simba SC ili Mpanzu aingie nitakuwa ni mwenye Furaha kubwa ila kwa aliyemsajili Mutale Simba SC atuombe Radhi upesi

Mutale akiachwa Simba SC ili Mpanzu aingie nitakuwa ni mwenye Furaha kubwa ila kwa aliyemsajili Mutale Simba SC atuombe Radhi upesi

FB_IMG_17271727388004632.jpg
 
Mimi naona Steven Mukwala ndiyo angetolewa kwenye kikosi. Maana impact yake kwenye timu ni ndogo sana ukimlinganishana Joshua Mutale. Aliaminiwa na mwalimu kwenye zile mechi za awali, ila mwisho wa siku alimuangusha! Na hivyo Atteba akasajiliwa. Na mpaka muda huu amekuwa akisugua tu benchi.

NB: hapa nimeandika kama mdau wa michezo. Kwa hiyo naomba mtani wangu GENTAMYCINE tuwe pamoja katika hili. 🤝
 
Usajili wa Makolo kimataifa huwa ni wa kuungaunga sababu ya ubahili wa Mudi kuchukua free agent au wachezaji wa bei ndogo, kuanzia kina Sawadogo, Babacar Sarr, Pa Omary Jobe na sasa Mutale na Mukwala
 
Tatizo la simba mmemuamini sana yule mpiga mapambio wenu anaewajaza ujinga kwa kuwapa sifa wachezaji ambazo hawana kisha mambo yakienda sivyo mnalalamika,pia shida nyingine ni kujilinganisha na yanga hapondo mnapofeli
 
Hata huyo Mpanzu umewahi kumuona wapi?
Ulimuona kwny mechi ipi, au ni kwasabu Viongozi wameonesha interest nae

Maana ligi ya DRC haioneshwi kokote..
As Vita yenyewe anakotokea huyo Mpanzu imejichokea.
 
Mimi naona Steven Mukwala ndiyo angetolewa kwenye kikosi. Maana impact yake kwenye timu ni ndogo sana ukimlinganishana Joshua Mutale. Aliaminiwa na mwalimu kwenye zile mechi za awali, ila mwisho wa siku alimuangusha! Na hivyo Atteba akasajiliwa. Na mpaka muda huu amekuwa akisugua tu benchi.

NB: hapa nimeandika kama mdau wa michezo. Kwa hiyo naomba mtani wangu GENTAMYCINE tuwe pamoja katika hili. 🤝
Mimi nasema asitoke yoyote kati ya hao...😊😊😊😊
 
Mimi nasema asitoke yoyote kati ya hao...😊😊😊😊
Hakuna namna. Mchezaji mmoja lazima atolewe sadaka ili Eli Mpanzu aingie kundini. Au unataka atoke Ngoma mliyemteka uwanja wa ndege!!
 
Mchezaji huwezi kuwa Mfupi kama Mutale halafu hapo hapo Umenenepa hovyo na una Kichwa Kikubwa ukawa mzuri.
Una nikumbusha Yanga walikuwa na wachezaji mapande ya watu

Sapong huyu kipaji chake nadhani kama sio bondia basi mchezo kama huo wrestling

Pia kuna huyu Mh. Mwape kutoka Zambia
 
Una nikumbusha Yanga walikuwa na wachezaji mapande ya watu

Sapong huyu kipaji chake nadhani kama sio bondia basi mchezo kama huo wrestling

Pia kuna huyu Mh. Mwape kutoka Zambia
Ongezea YIKPE
Ongezea Ukrob
Ongezea Zulu mkata Umeme nk
 
Back
Top Bottom