nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Ateba - FredNafasi ya Lakred imesachukuliwa na mshambuliaji wenu Atteba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ateba - FredNafasi ya Lakred imesachukuliwa na mshambuliaji wenu Atteba.
Umemsau papa Moringa.Una nikumbusha Yanga walikuwa na wachezaji mapande ya watu
Sapong huyu kipaji chake nadhani kama sio bondia basi mchezo kama huo wrestling
Pia kuna huyu Mh. Mwape kutoka Zambia
Hata kama hampendi ,siyovizuri kumdhihaki mwacheni kwa amani hata huyo mpanzu anaweza akawa kituko kama mutale na kuanza kupiga ramli la kuwasingizia yanga wamemloga.Mchezaji huwezi kuwa Mfupi kama Mutale halafu hapo hapo Umenenepa hovyo na una Kichwa Kikubwa ukawa mzuri.
Apewe muda unajua labda ukubwa wa Simba umempa pressure Ila akipewa muda anaweza fanya makubwa.Mchezaji huwezi kuwa Mfupi kama Mutale halafu hapo hapo Umenenepa hovyo na una Kichwa Kikubwa ukawa mzuri.
Juma balinyaUsajili wa Makolo kimataifa huwa ni wa kuungaunga sababu ya ubahili wa Mudi kuchukua free agent au wachezaji wa bei ndogo, kuanzia kina Sawadogo, Babacar Sarr, Pa Omary Jobe na sasa Mutale na Mukwala
Wewe ni mvurugaji wa club. Umezidi lawama zisizo na kichwa wala miguu. Hufai kuwa shabiki wa timu yoyote bongo. Ushauri wa bure. Anzisha club yako, kisha usajili malaika wachezaji, hao ndio hawana mapungufu.Mchezaji huwezi kuwa Mfupi kama Mutale halafu hapo hapo Umenenepa hovyo na una Kichwa Kikubwa ukawa mzuri.
Uzii ufungwee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hao hawawezi kutoka kwa sasa muwavumilie sana tuu...atatoka Lakred...
Yani Simba ndo wajilinganishe na Yanga na wakati Simba ndo role model wenu?Tatizo la simba mmemuamini sana yule mpiga mapambio wenu anaewajaza ujinga kwa kuwapa sifa wachezaji ambazo hawana kisha mambo yakienda sivyo mnalalamika,pia shida nyingine ni kujilinganisha na yanga hapondo mnapofeli
Nyuma mwiko umesahau kuhusu Chiko Ushindi wenu unakuja kuongelea ya msimbaziUsajili wa Makolo kimataifa huwa ni wa kuungaunga sababu ya ubahili wa Mudi kuchukua free agent au wachezaji wa bei ndogo, kuanzia kina Sawadogo, Babacar Sarr, Pa Omary Jobe na sasa Mutale na Mukwala
Chiko Ushindi vp mkuuJuma balinya
Gramien yikpe
Carlonhos Fernández
We ni mshenzi sana.Ninyi ndio wachawi wanaoiroga Simba.Mchezaji huwezi kuwa Mfupi kama Mutale halafu hapo hapo Umenenepa hovyo na una Kichwa Kikubwa ukawa mzuri.
Ataondolewa AyoubHakuna namna. Mchezaji mmoja lazima atolewe sadaka ili Eli Mpanzu aingie kundini. Au unataka atoke Ngoma mliyemteka uwanja wa ndege!!
Nilishasau Kama huyo mchezaji alikuwa yangaChiko Ushindi vp mkuu
😂😂😂Alikuwepo mkuuNilishasau Kama huyo mchezaji alikuwa yanga
Hivi na wewe uliwahi kuamini pale kuna mchezaji?Mchezaji huwezi kuwa Mfupi kama Mutale halafu hapo hapo Umenenepa hovyo na una Kichwa Kikubwa ukawa mzuri.
Unaukana UTOPOLO? Nafahamu kuwa wewe ni TOPOLO ANDAMIZI!Nafasi ya Lakred imesachukuliwa na mshambuliaji wenu Atteba.