Tetesi: MutliChoice yamteua Mwangaza Mollel kuwa Mkurugenzi mpya Maisha Magic Bongo, DSTV

Tetesi: MutliChoice yamteua Mwangaza Mollel kuwa Mkurugenzi mpya Maisha Magic Bongo, DSTV

Kama mnakumbuka vyema, Novemba ya mwaka jana niliwaletea hapa taarifa kuhusiana na aliyekuwa Mkurugenzi wa vipindi Maisha Magic Bongo, Barbara Kambogi kusimamishwa kazi kwa tuhuma zilizowasilishwa makao makuu ya DSTV Afrika ya Kusini na mtayarishaji wa tamthilia za Kiswahili Bwana Isike Samwel.

Baada ya tuhuma hizo zenye ushahidi usio na shaka, DSTV walimsimamisha kazi Barbara Kambogi na msaidizi wake kupisha uchunguzi na hivi sasa umefanyika uteuzi wa Mkurugenzi mpya, Bibie Mwangaza Mollel.

CV yake huko DSTV imeshiba kwelikweli!
Kwa taarifa za kiutendaji imefahamika kwamba uteuzi huu ni makini. Mwangaza amefanya kazi DSTV kwa kipindi kisichopungua miaka 10!

Alianza kufanya kazi kitengo cha huduma kwa wateja kuanzia mwaka 2014 alikohudumu kwa miaka 7, kisha akahamishiwa kitengo cha masoko na baadaye akawa mwendeshaji wa ofisi ya DSTV hadi alipoukwaa Ukurugenzi wa kitengo cha tamthilia za Kiswahili hivi karibuni.

Ni mchapakazi hodari!
Mwangaza anafahamika kwa uchapaji kazi wake usio na mashaka. Hilo linadhihirika kwa tuzo aliyopokea mwaka juzi kwenye kitengo hichohicho cha tamthilia za Kiswahili.

View attachment 3020108

Hongera Mwangaza, matumaini yetu tulio wengi ni juu yako kuona ukifanya tofauti na wenzio Barbara pamoja na msaidizi wake waliogeuka Miungu watu katika kitengo hichohicho ulichoteuliwa.
Kila la kheri

Mwangaza Evarest Mollel pichani…
View attachment 3020112

Hii ni taarifa mpya, DSTV watatangaza kuhusu uteuzi huo hivi karibuni.

Chanzo changu nyeti, nami ndiye Nifah.
Haujawahi leta pumba na hata kama uliwahi basi zilikuwa kidogo sana!
 
Ila Mjukuu Kwa habari exclusive, nimekuvulia kofia umeweza kupata hadi certificate ya uteuzi wake 🙌

Pia, hongera nyingi kwa bibie Kwa uteuzi, ila mwambie wakati mwingine asiikaribie Camera kiasi hicho akiwa anapiga selfie.
Babu, mimi mjukuu wako napenda sana habari, sana.
Mungu ni mwema akanibariki kwa chanzo matata basi moyo wangu kwatu.

Babu uchokozi wako mie simo, Mkurugenzi huyo ujue?
 
Nakumbuka ulileta kisa cha huyo Mkurugenzi aliyepita na sarakasi alizokuwa anafanya kwenye hizo Tamthilia,
ila naimani huyu wa sasaivi ameshajua kichwa cha nyoka kikwapi kwahiyo kazi kwake tu.
Mkurugenzi aliyepita alikuwa na madudu mengi sana, baada ya mimi kuanika hapa machache akawa anamtuhumu Isike kuwa ndiye anayenipa taarifa. Yeye na shoga yake Lamata.
 
Babu, mimi mjukuu wako napenda sana habari, sana.
Mungu ni mwema akanibariki kwa chanzo matata basi moyo wangu kwatu.

Babu uchokozi wako mie simo, Mkurugenzi huyo ujue?
Hongera sana Mjukuu, kusema kweli unanikosha sana nafsi Kwa hizo habari zako exclusively 🙌

Kusema kweli huyo Mkurugenzi aombee awe na shape shape walau kufanya Wazee wawe wanageuka akipita, but Mapokezi naona bado sana
 
Hongera sana Mjukuu, kusema kweli unanikosha sana nafsi Kwa hizo habari zako exclusively 🙌

Kusema kweli huyo Mkurugenzi aombee awe na shape shape walau kufanya Wazee wawe wanageuka akipita, but Mapokezi naona bado sana
Mwangaza ni kichwa, hayo mengine sio shida zake Babu.
 
Mwangaza ni kichwa, hayo mengine sio shida zake Babu.
Hivi ndiyo ulisema bado hajapata Mume eeh?

Nina rafiki yangu Mzee Juma tulistaafu naye Utumishi Mwaka 1992, alisema anataka kuongeza Mke wa pili akipata pension yake Mwezi Ujao🤗
 
Hivi ndiyo ulisema bado hajapata Mume eeh?

Nina rafiki yangu Mzee Juma tulistaafu naye Utumishi Mwaka 1992, alisema anataka kuongeza Mke wa pili akipata pension yake Mwezi Ujao🤗
Babu jamani, mstaafu wa mwaka 92 si kesi hiyo?
 
Babu jamani, mstaafu wa mwaka 92 si kesi hiyo?
Hataki kujifunza Kwa Mzee mwenzie hapa, Mimi tangu nimestaafu nilichagua kuoga Maji ya moto tu wakati wa baridi badala ya kwenda kutafuta dogodogo 😜

Mambo ya kufia kwenye nanii unadhani ni mazuri 🤗
 
Hataki kujifunza Kwa Mzee mwenzie hapa, Mimi tangu nimestaafu nilichagua kuoga Maji ya moto tu wakati wa baridi badala ya kwenda kutafuta dogodogo 😜

Mambo ya kufia kwenye nanii unadhani ni mazuri 🤗
Umri huo ni wa kurudi kwa Mungu Babu. Muislam ni kutafuta mswala ulipo na Mkristo ni kujirudi kanisani. 😀
 
Umri huo ni wa kurudi kwa Mungu Babu. Muislam ni kutafuta mswala ulipo na Mkristo ni kujirudi kanisani. 😀
Hakika Mjukuu, ndiyo maana Wazee wenzie tuliamua kutulia tu 🤗
 
Kama mnakumbuka vyema, Novemba ya mwaka jana niliwaletea hapa taarifa kuhusiana na aliyekuwa Mkurugenzi wa vipindi Maisha Magic Bongo, Barbara Kambogi kusimamishwa kazi kwa tuhuma zilizowasilishwa makao makuu ya DSTV Afrika ya Kusini na mtayarishaji wa tamthilia za Kiswahili Bwana Isike Samwel.

Baada ya tuhuma hizo zenye ushahidi usio na shaka, DSTV walimsimamisha kazi Barbara Kambogi na msaidizi wake kupisha uchunguzi na hivi sasa umefanyika uteuzi wa Mkurugenzi mpya, Bibie Mwangaza Mollel.

CV yake huko DSTV imeshiba kwelikweli!
Kwa taarifa za kiutendaji imefahamika kwamba uteuzi huu ni makini. Mwangaza amefanya kazi DSTV kwa kipindi kisichopungua miaka 10!

Alianza kufanya kazi kitengo cha huduma kwa wateja kuanzia mwaka 2014 alikohudumu kwa miaka 7, kisha akahamishiwa kitengo cha masoko na baadaye akawa mwendeshaji wa ofisi ya DSTV hadi alipoukwaa Ukurugenzi wa kitengo cha tamthilia za Kiswahili hivi karibuni.

Ni mchapakazi hodari!
Mwangaza anafahamika kwa uchapaji kazi wake usio na mashaka. Hilo linadhihirika kwa tuzo aliyopokea mwaka juzi kwenye kitengo hichohicho cha tamthilia za Kiswahili.

View attachment 3020108

Hongera Mwangaza, matumaini yetu tulio wengi ni juu yako kuona ukifanya tofauti na wenzio Barbara pamoja na msaidizi wake waliogeuka Miungu watu katika kitengo hichohicho ulichoteuliwa.
Kila la kheri

Mwangaza Evarest Mollel pichani…
View attachment 3020112

Hii ni taarifa mpya, DSTV watatangaza kuhusu uteuzi huo hivi karibuni.

Chanzo changu nyeti, nami ndiye Nifah.
Amefanana na Mbilia Bel
 
Kama mnakumbuka vyema, Novemba ya mwaka jana niliwaletea hapa taarifa kuhusiana na aliyekuwa Mkurugenzi wa vipindi Maisha Magic Bongo, Barbara Kambogi kusimamishwa kazi kwa tuhuma zilizowasilishwa makao makuu ya DSTV Afrika ya Kusini na mtayarishaji wa tamthilia za Kiswahili Bwana Isike Samwel.

Baada ya tuhuma hizo zenye ushahidi usio na shaka, DSTV walimsimamisha kazi Barbara Kambogi na msaidizi wake kupisha uchunguzi na hivi sasa umefanyika uteuzi wa Mkurugenzi mpya, Bibie Mwangaza Mollel.

CV yake huko DSTV imeshiba kwelikweli!
Kwa taarifa za kiutendaji imefahamika kwamba uteuzi huu ni makini. Mwangaza amefanya kazi DSTV kwa kipindi kisichopungua miaka 10!

Alianza kufanya kazi kitengo cha huduma kwa wateja kuanzia mwaka 2014 alikohudumu kwa miaka 7, kisha akahamishiwa kitengo cha masoko na baadaye akawa mwendeshaji wa ofisi ya DSTV hadi alipoukwaa Ukurugenzi wa kitengo cha tamthilia za Kiswahili hivi karibuni.

Ni mchapakazi hodari!
Mwangaza anafahamika kwa uchapaji kazi wake usio na mashaka. Hilo linadhihirika kwa tuzo aliyopokea mwaka juzi kwenye kitengo hichohicho cha tamthilia za Kiswahili.

View attachment 3020108

Hongera Mwangaza, matumaini yetu tulio wengi ni juu yako kuona ukifanya tofauti na wenzio Barbara pamoja na msaidizi wake waliogeuka Miungu watu katika kitengo hichohicho ulichoteuliwa.
Kila la kheri

Mwangaza Evarest Mollel pichani…
View attachment 3020112

Hii ni taarifa mpya, DSTV watatangaza kuhusu uteuzi huo hivi karibuni.

Chanzo changu nyeti, nami ndiye Nifah.
Mwangaza amekuwa na bahati na mkono wako au CV yake imeshiba tu? Maana amepokea sifa lukuki kwenye thread hii.

Anyways, asante kwa taarifa pamoja na kutupa nafasi ya kumjua kiundani boss mpya. Uandishi wako ni wa viwango. Keep it up b...

Ova
 
Mwangaza amekuwa na bahati na mkono wako au CV yake imeshiba tu? Maana amepokea sifa lukuki kwenye thread hii.

Anyways, asante kwa taarifa pamoja na kutupa nafasi ya kumjua kiundani boss mpya. Uandishi wako ni wa viwango. Keep it up b...

Ova
Ila wewe mchokozi? Bahati gani jamani b…? CV yake inajieleza, anastahili.

Thank you b…
 
Back
Top Bottom