Muuaji wa afisa wa TANAPA Arusha akamatwa

Aliuwawa nyumbani akiwa anakunywa uji na kuwekwa kwenye buti.

Mwili ulikutwa kwenye buti akiwa na simu mbili Sony na Panasonic,laptop aina ya Asus na kadi za bank tofauti.

Hawa mabosi wa polisi kutoa maelezo yasiyoacha maswali mengi zaidi ya majibu walishashindwa kabisa.
 


Kwa macho ya ziada utaona kwamba hii kazi siyo ya mtu mmoja. ...
 
Storie ya kubuni kama ya kova na jushua mulundi alidaiwa kumteka ulimboka
 

Maswali Ni Mengi Mno Ktk MAUAJI Hayo!!! Polisi Badala Ya Kulifanyia Ukaguzi Na Uchunguzi Wa Kina Walilikokota Hadi Kituoni Na Kuliacha, Hadi ALIPOKUJA Mke Wa MAREHEMU Kutoa Taarifa Za Kutoonekana Kwa Mume Na Hapatikani Hewani!! Na Polisi KUMUONYESHA Gari Husika, AKAENDA Kuleta Funguo Za Akiba, Ndipo Likafunguliwa, Je Laiti Marehemu Angekuwa Amewekwa Akiwa Hai!! Si Angekufa Tayari!!!?? Swali Jingine Kama CHANZO Cha MAUAJI Ya "Kachero " Huyo Ni Tamaa Ya Pesa Ya Muuaji!! Mbona Pesa Nyingine Na Simu Aliziacha Kwa Marehemu!!!?? Au Yeye ALITAKA Hizo Mil 5 Tu Na Simu Na Vocha Hizo Tu Basi, Si Zaidi!!?? Na KWANINI Aliendelea KUBAKI Hapo Nyumbani Kwa MAREHEMU!!!! Why Hakutoroka!!!!!!??? Na Pesa Alizozihitaji Alishafanikiwa!!!!?? Polisi Wazame Deep Zaidi! Hapo Mke Wa MAREHEMU, Huyo Mwanamke MWINGINE (DEREVA) Na Huyo KIJANA Kuna SIRI KUBWA MNO Wanayoijua!!!! Mchezo Mchafu, Maslahi BINAFSI Yanahusika!!!!
 
RIP MAREHEMU.
Wote walihusika na mauaji haya ya kikatili wachukuliwe hatua kali za kisheria.
POLE NYINGI KWA WAFIWA WOTE HASA WATOTO NA WAZAZI WA MAREHEMU.
 
Hivi Hili Sakata La Mauaji Ya Huyo Mh. Limefikia Wapi Wadau!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…