The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Ukristo ufutwe tu ibaki dini moja ya haki Uislamu tu
Baba wengine tushakua watu wazima tuanze kujifunza Alifata aaa?…Tuache kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukristo ufutwe tu ibaki dini moja ya haki Uislamu tu
Mimi nitabakia kuwa Mkatoliki milele. Maana kwenye Kanisa letu hakuna longolongo nyingi! Yaani ni full burudani.
Naomba kuipangua hoja yako ivii... kwanza hao waumini wataulizwa kama walilazimishwa kufunga pili jukumu la kulinda au kuwa karibu na mtoto siyo lake bali ni la mzazi pale ni sehem ya kutoa huduma ya kiroho na walengwa hasa ni wazaziHuyo mchungaji atafungwa kwa sababu mbili.
1. Kuna waumini Kama kumi wamepona kwenye sakata hilo watatumika kutoa ushahidi.
2. Amewahi kuwa na kesi Kama hiyo huko nyuma ya mauaji ya watoto wawili wa waumini wake kwenye scenario Kama hiyo sema polisi waliwawahi na kumkamata na hiyo kesi bado ipo mahakamani.
Hizo ni tuhuma tu, tusubiri Mahakama itasemaje.kwan walipokubali kufunga mpk kifo hawakutoa taarifa kwa ndugu zao ? kuwa wanajiandaa na umauti wa kiimani , huyo mchungaj tutamlaumu ila hana baya , uzezeta wako ndo umauti wako kama wale wa bikra 72
NB ; USHAHIDI SINA ILA KAMA ANAO USHAHIDI BASI HANA BAYA ILA KAMA NA YEYE NDO KAMA MIMI BASI AFUNGWE MPK KUNYONGWA