Muuaji wa Mwangosi afukuzwa kazi,IGP Mwema atua Iringa leo kwa Chopa

Muuaji wa Mwangosi afukuzwa kazi,IGP Mwema atua Iringa leo kwa Chopa

7 days later!

Nini majibu ya IGP kuhusu tamko la Mwigulu Nchemba kwamba Jeshi la polisi limeahidi kukilinda CCM hadi kufa?

Mkuu IGP hatakuwa na tamko lolote,maana CCM ndo bwana wao.Hebu kumbuka lile tukio la OCD wa huko Shinyanga aliyetwangwa makofi na mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2010
 
Kama huyo askari kafukuzwa kazi basi atakwenda kuwa jambazi.

na mimi naona hivyo!!atakuwa tu jambazi,salama yake ahukumiwe kifungo cha maisha vinginevyo atarudi kutusumbua raia kwa ujambazi!
 
Hapa wasifanye utani, hawa wanatania nani alitoa amri? Si kamuhanda?????

CHAGONJA na KAMUHANDA ndo kwanza wa kufukuza kazi halafu huyo mjinga aliepewa bangi akauwa awafuate kizuizini.
 
Saidi Mwema anakosea, angempandisha cheo huyo askari.
 
Na mahakamani atafikishwa lini?

Afikishwe mahakamani kwa kosa gani? huyu askari alikuwa kazini wakati tukio hilo likitokea, akimfikishwa mahakamani ina maana wote waliokuwa kazini lilipotokea tukio hilo la mauaji wanahusika kila mmoja kwa nafasi yake akiwemo RPC Kamuhanga. Kinyume na hapo nataka nimfahamishe IGP Mwema kwamba utawala wa sheria hautekelezwi kwa vitendo.
 
Yule mpuuzi aliesema karushiwa bomu na watu wa cdm na polisi walikuwa wanamsaidia tu kafukuzwa?

tena huyu anakesi 2 ya kwanza ni kuwaruhusu makamanda wake wapige mabomu ovyo na kesi ya pili ni kutaka kuwadanganja watanzania
 
Habari zilizotufikia punde ni kwamba yule polisi aliyemlipua kwa bomu Daudi Mwangosi,amefukuzwa kazi.IGP Said Mwema ameingia leo mkoani Iringa kwa Helcopta.Kuna kikao cha siri kati yake na RPC Kamuhanda na maafisa wengine wa polisi,Manumba hajaondoka tangu ameingia Iringa jumatatu sikumoja baada ya kuuawa mwangosi.Kwaujumla hali ni tete.

Ahsante Mkuu.kwanza kumfukuza tu hakutoshi,anatakiwa afikishwe mahakamani ashitakiwe na auawe kama alivyomuua Mwangosi,Pili IGP anasubiri nini Kumfukuza na RPC wake Kamuhanda?kwa sababu huyu jamaa amesemwa sana!!!!
 
Tunashukuru kwa taarifa kama kafukuzwa kazi basi safari ya kwenda mahamakani imewadia.
Asante Ritz!!tuombe Mungu haki itendeke,naamini kuwa RPC naye ana chochote cha kuisaidia polisi kama si kuwajibika moja kwa moja.
 
Hii sheria walitunga lini mtu akiua afukuzwe bila kumkufikisha mahakamani.Au ndio wanaenda kumpa ukamanda wa lile kundi lililoingiza silaha kinyamela?
 
Baada ya kuwatumia jk kama kawaida yake atawatosa wote kuanzia IGP,RPC na wengine wote.Hii issue imewashika pabaya.Ni swala la muda tu.

Tumshukuru aliepiga zile picha maana zimewaweka uchi kabisa.Vinginevyo hii issue ingezimwa.

Hao ndio magamba bwana.
 
Kwa hilo mimi siamini hiyo ni danganya toto tu hawa jamaa wanalindana sana mifano ipo mingi tu.

yes...mbona kuna utitiri wa matukio ya polisi kuua raia mengi tu ingekua vema zaidi akaanzia huko na kufikia hapa,hii ni danganya toto anyway yatapita kama ilivyozoeleka
 
Unadhani angeuawa ndugu yako wa damu ungesema hivyo,acha ushabiki kwenye haki.
 
Baada ya kuwatumia jk kama kawaida yake atawatosa wote kuanzia IGP,RPC na wengine wote.Hii issue imewashika pabaya.Ni swala la muda tu.

Tumshukuru aliepiga zile picha maana zimewaweka uchi kabisa.Vinginevyo hii issue ingezimwa.

Hao ndio magamba bwana.

Mkuu ushahidi wa picha ni kiboko cha akina Nape, shigela na chagonja, walizoea kutudanganya na kupindisha ukweli.

Chadema wahakikishe kila mkutano wao wanaandamana na wapiga picha wa kutosha, ilikuondao magumashi na upotoshaji wa ccm.

hata tume wanaharibu kodi zetu tu, kila kitu kipo kweuuuupeeeeeee!!!!! Mungu hamfichi MNAFIKI ..........
 
Habari zilizotufikia punde ni kwamba yule polisi aliyemlipua kwa bomu Daudi Mwangosi,amefukuzwa kazi.IGP Said Mwema ameingia leo mkoani Iringa kwa Helcopta.Kuna kikao cha siri kati yake na RPC kamuhanda na maafisa wengine wa polisi,Manumba hajaondoka tangu ameingia Iringa jumatatu sikumoja baada ya kuuawa mwangosi.Kwaujumla hali ni tete.
afadhali mkuu

tulijiua weye ndio Mwangosi

endelea kula vinono mkuu
 
Kaunga umenena, ila mimi nalia na watu hawa wa3 1.IGP, 2.RPC, 3. Waziri Nchimbi (kwa kauli zake tata)wote walitakiwa wawe nje saa hii, pamoja na Kufunguliwa mashitaka ya mauaji.
 
Back
Top Bottom