Muuaji wa Mwangosi afukuzwa kazi,IGP Mwema atua Iringa leo kwa Chopa

Muuaji wa Mwangosi afukuzwa kazi,IGP Mwema atua Iringa leo kwa Chopa

Hiyo haiwezi kutokea kwani wakifanya hivyo watafanya maaskari kuwa waoga na wakiogopa tu basi M4C itaingia mpaka Ikulu, ndio tatizo la kuwa na askari wasio na kisomo

Issue ya shule ni muhimu sana hata kama ni form four angalau awe amepata Divion 3 ambae atakuwa na wazo hata la kujiendeleza lakini linapokuja suala la mtu amepiga Division four ya 32 points nearly zero hapa ni utata akiingia police ni rushwa na kuonea raia ili aogopewe watu wazidi kutoa mlungula kwa kuwa kwa cheti chake hana wazo hata siku moja kama atajiendeleza kielimu na kupata vyeo vya juu.
 
kumfukuza kazi pekee ni kumwonea nadhani kuna mnyororo mrefu sana ambao unatakiwa kuondolewa
 
Duh!shukran kwa taarifa mkuu,unajuwa member walikuwa na wasiwasi na hii id yako kutokana na kukaa kwako kimya baada ya kuleta ile thread iliyotabiri mauwaji.

Btw huo "utete" wa hali ni wa aina gani?hivi Mwema atamfukuza kazi RPC?ama ni kitu gani amefata huko ambacho asingeweza kukisikia akiwa Dar?ama ni mbwembwe tu kujionyesha wanawajibika?

Nilkuwa nasoma upepo kuhusu hali ya usalama inavyokwenda,nitaendelea kuwataarifu kitakachojiri baada ya kikao kati ya IGP mwena na maofisa wake.
 
Habari zilizotufikia punde ni kwamba yule polisi aliyemlipua kwa bomu Daudi Mwangosi,amefukuzwa kazi.IGP Said Mwema ameingia leo mkoani Iringa kwa Helcopta.Kuna kikao cha siri kati yake na RPC Kamuhanda na maafisa wengine wa polisi,Manumba hajaondoka tangu ameingia Iringa jumatatu sikumoja baada ya kuuawa mwangosi.Kwaujumla hali ni tete.

noted with thanks mkuu!
 
Habari zilizotufikia punde ni kwamba yule polisi aliyemlipua kwa bomu Daudi Mwangosi,amefukuzwa kazi.IGP Said Mwema ameingia leo mkoani Iringa kwa Helcopta.Kuna kikao cha siri kati yake na RPC Kamuhanda na maafisa wengine wa polisi,Manumba hajaondoka tangu ameingia Iringa jumatatu sikumoja baada ya kuuawa mwangosi.Kwaujumla hali ni tete.

Hivi kumfukuza inafanana na kifo cha Mwangosi ???(RIP)
 
kwanza nimefurahi km Mlyafinono yupo hai maana thread yake ya mwisho ilionyesha taarifa alizozipata kuwa POLISI wanajiandaa kuua aliandika kwa hofu na ilitufikia nusu kimashaka
Afikishwe mahakamani kwa kosa gani? huyu askari alikuwa kazini wakati tukio hilo likitokea, akimfikishwa mahakamani ina maana wote waliokuwa kazini lilipotokea tukio hilo la mauaji wanahusika kila mmoja kwa nafasi yake akiwemo RPC Kamuhanga. Kinyume na hapo nataka nimfahamishe IGP Mwema kwamba utawala wa sheria hautekelezwi kwa vitendo.
Mlyafinono hao FFU ni wa Iringa au waliletwa toka nje ya Mkoa?
IGP, RPC wote wanahusika mpaka mtunza Silaha wa siku hiyo kwani walimpa akaue ndege? kumwachisha kazi ni kwenda kumficha km Balali
 
Last edited by a moderator:
Wanatuhadaa hawa unatakiwa kuanzia waziri wa mambo ya ndani na rpc, ocd na wato wanaohusika na usalama wa raia wajiuzulu na si kumwonea huyu walimtuma afunike kikombe wao wanaharamu wapite
 
Haitasaidia lolote, hii ni kujaribu kujikosha tu hawa wauwaji wakubwa!!!!
 
Nilkuwa nasoma upepo kuhusu hali ya usalama inavyokwenda,nitaendelea kuwataarifu kitakachojiri baada ya kikao kati ya IGP mwena na maofisa wake.
Tunashukuru sana mkuu kwa kujitolea kututaarifu.Pamoja.
 
i agree with with you... but first, was the shooter ordered?

If he wasn't, he still should be promoted for protecting his Senior Officer colleague at instinct. When you think your colleague is in danger, you shoot first you ask and answer questions later.

"if you have to shoot, shoot, don't talk" - The Good The Bad and The Ugly.
 
zomba, I read a book about what happened between Hitler and catholics. That pope did not have a courage to say some things that he should have said because of protecting the church in Germany. Hitler was dangerous to all believers including catholics...but he hated Jews above all.

So many books about Hitler. There are those who think he was the best ever leader of Germany. Read and read and read.
 
"if you have to shoot, shoot, don't talk" - The Good The Bad and The Ugly.

irrelevant context

kumbuka yule askari nimaskini wa kutupwa, hana upeo wala nini... na si ajabu katika kabati lake, ukiondoa ile yunifomu, hana hata nguo moja iliyo nzuri kama zile yunifomu wanazotoa china
 
Back
Top Bottom