Muuguzi Mloganzila adaiwa kujinyonga kisa kunyimwa mshahara

Huyo dogo namfahamu sana. Ila kaanza kupigika kitambo sana. Ana sura moja ya upole sana, nlikuwa napiga nae mazaga pale Panama Bar na Pink bar
Hebu tuelezee vizuri mkuu maana hii imekaa juu juu sana
 
Kazi bila mshahara au mshahara wake ulikuwa unatumiwa na HR??

Dah! Hivi mtu unazuiaje mshahara wa mtu na kumtaka aendelee kufanya kazi!?

Utaratibu Ni kwamba hata mtu akisimamishwa kazi inapaswa mshahara wake wote apate na sio nusu mshahara Kama zamani....

HR atakuwa na walakini, maana haiwezekani mtu asimamishiwe mshahara na aendelee kwenda kazini...

Mshahara unasimamishwa kwa mfanyakazi ambae Ni mtoro sugu...
 
pole kwa familia.
 
Ushahidi alioutoa Fatma unatofautiana na kilichoandikwa kwenye gazeti, uchunguzi wa polisi sijui utaweza kutuletea majibu ya uhakika?
 
Keywords...."alipolewa ,walimdhuru,hali hiyo ilimkwaza akaamua kujinyonga."


Wahuni walitifua samadi nini? Maana Dar sasa hv kumejaa mamende.

Tuachane na hilo

"Marehemu inaonekana alikuwa na depression /msongo wa mawazo kutokana na hali yake ya kiuchumi ilivyokuwa. Hakuna kitu kinatia msongo wa mawazo kama kuwa bankrupt ghafla mara baada ya kuwa ulizoea kushika pesa"

Hao waliozuia mshahara wake ilitakiwa wachukuliwe hatua kali sana. Sheria za utumishi wa uma haziruhusu dhuluma hiyo juu ya mfanyakazi wa taasisi ya uma. Waeleze huo mshahara waliouzuia upo wapi?
 
Waliosababisha hayo wasimamishwe kazi nao kwa uchunguzi
Haya ya police kutoa press wangekuwa wanasubiri kwanza mbona huwa wana kiherehere sana kwa majibu mepesi ?

Wanapenda kuwa na waandishi mapema bila majibu ya maana kwanini wasiwe wanasubiri

kuuza mkuu kuuza nyago.
 
Hii habari (ya kifo) ina vyanzo vingi sana kama ukiamua kuichimba

Madaktari (watumishi wenzake)
Serikali (uongozi wa hospitali)
Mke (hawara wa marehemu)
Ndugu wa marehemu
Wahuni waliomdhuru


Gari la wagonjwa
Kipigo
Kunyimwa (kufungiwa) mshahara
Maneno ya mwisho
 
Aliyetow naamuzi ya kusimamisha mshahara nae afanye kazi bila ya mshahara kwa miezi mi3 tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…