Muuguzi Mloganzila adaiwa kujinyonga kisa kunyimwa mshahara

Muuguzi Mloganzila adaiwa kujinyonga kisa kunyimwa mshahara

“Kabla ya kufariki kwa mume wangu nilipigiwa simu na ndugu yake mmoja akaniambia nimwambie mume wangu aniambie maneno ya mwisho, sikuelewa mpaka tukio hili lilipotokea,” alidai Fatma.
☝Hiki kifo cha ndugu yetu ni mshahara tu kweli????
 
Sarwat ni jina la ki Iraq kama sijakosea. N a wa Iraq wana uchawi wao wa kumroga mtu anakuwa mlevi kupindukia ila kazini unakuwa unaenda fresh kama kawaida.
 
B
Waliosababisha hayo wasimamishwe kazi nao kwa uchunguzi
Haya ya police kutoa press wangekuwa wanasubiri kwanza mbona huwa wana kiherehere sana kwa majibu mepesi ?

Wanapenda kuwa na waandishi mapema bila majibu ya maana kwanini wasiwe wanasubiri
Bongo hadi police wanasaka umaarufu boss😀😀😀na kuwaweka washukiwa wa uharifu mbele ya camera za waandishi wa habari uwa sio sawa sema ndo tz yetu hii
 
Ni kosa kubwa wabunge wamelifanya kuicha university Teaching hospital Mloganzila mikononi mwa Muhimbili.Tujiulize zumuni la kujenga Mloganzila ilikuwa nini?
 
Miungu watu daaaah basi wafurahi sasa kijana wa watu kafa, waendelee kula mshahara wake.
Wizara ya Afya wamezidi madhambi km haya.... hasa yuleee Mama Dr. SYLVIA MAMKWEE ivooo! ivoo! Yule Mama katili sana, hana utu tena sana! ndo zake hizo!..sijui yuko wapi siku hizi?? huenda ndo kahamishiwa hapo!.....

yule Mama hajali una watoto/familia, unakula au huli, una nauri au huna! anachojua umekuja kazini tu kwa mbinyo km huu! uombe pesa usiombeombe! hajui hayo! halafu anajifanya hakujui vile! .....

Majabu/kichekesho ya yule Mama ukimfuata ofisini anajificha! utasikia mara ana kikao!...basi utakaa kwenye corridor weeee! mpaka miguu iingie ndani! mara aingie huku mara kule!

ukimbana sana mkaonana, atajifanya kuandika andika kidogo ki-file uchwara ivi! halafu huyoo!...au atafanya hivi anajifanya kuagiza file lako Masjala hukooo! basi file litatafutwaaaa weee! siku nzima hawalioni!

jibu ni njoo kesho! kesho ukienda, DR Mama wana mbiyo za Mwenge! basi tu ili mradi uteseke halafu anafurahiii yule Mama sijui wamama/wadada wenye Mtindi wana shida gani!

Wizara ya Afya/na zingine km hii! muwe mnajitahidi baasi! kuajili watu wenye akili timamu!! wengine mnaajili wagonjwa wa akili/vichaa!...haina maana, eti kumtesa mtu bila sababu ya msingi

Halafu maajabu ya Musa anafurahiii huyoooo! heee!! bora umfukuze kazi mtumishi basi ajue moja!...lkn sababu ya kufanya hivo hana,...kujifurahisha tu, huyo huyo tena ukikutana naye amekwama utamfanyaje?
 
Haya sasa wamemtia stress, wamemnyima mshahara..kawaachia mshahara wote..watu roho mbaya sana
Km huna njia mbadala serikalini au mtu wa kukusimamia yaani utakunya tu!! sometimes siyo ulevi wameamua tu kumpachika hilo jina la ulevi.ili kuficha ubaya wao! watu serikalini huko bana ??? hee!

utakuta labda dogo ana bidii kazini, sifa km zote, alikuwa anapata mazali kazini km yote! nafasi za shule nje!! nje!! Ulaya.USA.JAPANnk zinakuja nafasi km zote!... sasa kumkomesha wanafanyaga km hivo!

wanambania mshahara mfanya kazi husika ! ili akome kuendelea na mambo zake!.......yaani kuna mengi humo wee acha tu!...ukijibana ukapata kajimradi kakusukuma kimaisha, Maboss wana nuna!

usiulize habari wanapataje!!.......BOSS Waafrica kuwapatia wale wanataka uwe maskiniiiiiii! milele!..ila ukionekana Bora
kiutendaji tu unalo!..

Mnene kiasi afya bora

unakili sana! kazini unalo, ndo maana wafanya kazi serikalini wamejichoshaa! maksudi!

Msafiii kimavazi na kimuonekano! unalo,

Unavaa vizuri nguo zinakukaa, shape km yote unalo!

unaheshimika na viongozi wakubwa unalo,

una mchumba/dem Mzurii ana kazi nzuri, utahangaishwa na ke! ma boss! mpaka ulie poo! yaani wako ivo km nyau tu!

unaongea kiingereza kizuri cha ki-USA/British kuliko Boss wako, wakti wewe siyo mtoto wa Lowasa Mawee! unalo, huchukui round! unashonewa zengwe! Mzembe kazini, mara huwajibiki vyema, mara umesababisha kifo cha kizembe!

Mama Samia ikitokea akakujua/taja tu mahali popote! utasumbuliwa weye mpaka ukome! hata kuhamishiwa mbaali huko! ....labda ukawasemee!
]
Baba yako sasa km ana hela na wakajua babako tajiri maweeee!! hakuna rangi utaacha kuiona..... utawaona live haoooo! wachawi weusi!

Ukiona una haya yooote lkn wasikuguse basi jua utendaji wako ni wa kawaida sana, huonekani tishio kwao! kuna wafanya kazi Ma boss huko serikalini km wachawi/watabiri!

hata wakikuangalia hivi tu, utausoma Mwili wao! unavoongea hawajifichagi na hawajirudi kamwe wanakuanyia tu ubaya maksudi,ulie usononeke wao haliwahusu!

Ukipata Nafasi labda ya kusoma tu! weee! hutaamini macho yako...........weeengi wamelizwa sana! yamkini na wengine kupotelea huko Duniani kusiko julikana! baadaye wanakufuta kazi wanavojua wao!

Serikalini kumejaa na vichaa wengi sana!
 
UTamuonea tu Hr, Kazi yake ni kubonyeza switch tu
Ma-HR wengine wana suka zengwe maksudi tu! ajili ya kuwafurahisha ma boss wao, au wao wenyewe! dawa yao kuwaroga tu watembee kinyume nyume milele!!

au kwanza kuwakata makali waroge ili wapige show hadharani kichawi! ...dawa hizi ziko singida... wao wataona wako ndani usiku! lkn kuumbe wako paleee Msimbazi centr! mchana kweupee!......

km wakijinyonga wataokolewa tu!
 
Keywords...."alipolewa ,walimdhuru,hali hiyo ilimkwaza akaamua kujinyonga."


Wahuni walitifua samadi nini? Maana Dar sasa hv kumejaa mamende.

Tuachane na hilo

"Marehemu inaonekana alikuwa na depression /msongo wa mawazo kutokana na hali yake ya kiuchumi ilivyokuwa. Hakuna kitu kinatia msongo wa mawazo kama kuwa bankrupt ghafla mara baada ya kuwa ulizoea kushika pesa"

Hao waliozuia mshahara wake ilitakiwa wachukuliwe hatua kali sana. Sheria za utumishi wa uma haziruhusu dhuluma hiyo juu ya mfanyakazi wa taasisi ya uma. Waeleze huo mshahara waliouzuia upo wapi?
WAHUNI SI WATU KUTIFUA SAMADI?????????? DOOOO!
 
.......Fatma Juma, mwanamke aliyekuwa akiishi na Sarwat alisema jambo pekee alilomshirikisha ni la ndugu zake kutaka kumhamisha kituo cha kazi.

Hata hivyo, alisema sababu za ndugu hao kutaka kumhamisha hakumueleza, lakini amekuwa akipokea simu za vitisho kutoka kwa ndugu wa mwanaume huyo.

“Kabla ya kufariki kwa mume wangu nilipigiwa simu na ndugu yake mmoja akaniambia nimwambie mume wangu aniambie maneno ya mwisho, sikuelewa mpaka tukio hili lilipotokea,” alidai Fatma.

Akizungumzia tukio sakata la mumewe kubebwa na gari la wagonjwa, alikiri tukio hilo kuwepo na bado hajafahamu mambo yaliyoendelea mpaka kilipotokea kifo.

MWANANCHI
ukisoma kwa kina maelezo haya utagundua kuna sababu ya kifo nje ya hizi sababu za kujinyonga.
Kiufupi kuna mauaji hapo
 
Back
Top Bottom