Haya sasa wamemtia stress, wamemnyima mshahara..kawaachia mshahara wote..watu roho mbaya sana
Km huna njia mbadala serikalini au mtu wa kukusimamia yaani utakunya tu!! sometimes siyo ulevi wameamua tu kumpachika hilo jina la ulevi.ili kuficha ubaya wao! watu serikalini huko bana ??? hee!
utakuta labda dogo ana bidii kazini, sifa km zote, alikuwa anapata mazali kazini km yote! nafasi za shule nje!! nje!! Ulaya.USA.JAPANnk zinakuja nafasi km zote!... sasa kumkomesha wanafanyaga km hivo!
wanambania mshahara mfanya kazi husika ! ili akome kuendelea na mambo zake!.......yaani kuna mengi humo wee acha tu!...ukijibana ukapata kajimradi kakusukuma kimaisha, Maboss wana nuna!
usiulize habari wanapataje!!.......BOSS Waafrica kuwapatia wale wanataka uwe maskiniiiiiii! milele!..ila ukionekana Bora
kiutendaji tu unalo!..
Mnene kiasi afya bora
unakili sana! kazini unalo, ndo maana wafanya kazi serikalini wamejichoshaa! maksudi!
Msafiii kimavazi na kimuonekano! unalo,
Unavaa vizuri nguo zinakukaa, shape km yote unalo!
unaheshimika na viongozi wakubwa unalo,
una mchumba/dem Mzurii ana kazi nzuri, utahangaishwa na ke! ma boss! mpaka ulie poo! yaani wako ivo km nyau tu!
unaongea kiingereza kizuri cha ki-USA/British kuliko Boss wako, wakti wewe siyo mtoto wa Lowasa Mawee! unalo, huchukui round! unashonewa zengwe! Mzembe kazini, mara huwajibiki vyema, mara umesababisha kifo cha kizembe!
Mama Samia ikitokea akakujua/taja tu mahali popote! utasumbuliwa weye mpaka ukome! hata kuhamishiwa mbaali huko! ....labda ukawasemee!
]
Baba yako sasa km ana hela na wakajua babako tajiri maweeee!! hakuna rangi utaacha kuiona..... utawaona live haoooo! wachawi weusi!
Ukiona una haya yooote lkn wasikuguse basi jua utendaji wako ni wa kawaida sana, huonekani tishio kwao! kuna wafanya kazi Ma boss huko serikalini km wachawi/watabiri!
hata wakikuangalia hivi tu, utausoma Mwili wao! unavoongea hawajifichagi na hawajirudi kamwe wanakuanyia tu ubaya maksudi,ulie usononeke wao haliwahusu!
Ukipata Nafasi labda ya kusoma tu! weee! hutaamini macho yako...........weeengi wamelizwa sana! yamkini na wengine kupotelea huko Duniani kusiko julikana! baadaye wanakufuta kazi wanavojua wao!
Serikalini kumejaa na vichaa wengi sana!