TANZIA Muuguzi wa Hospitali ya Mirembe auawa kikatili na Mumewe kwa kukatwa mapanga

TANZIA Muuguzi wa Hospitali ya Mirembe auawa kikatili na Mumewe kwa kukatwa mapanga

Sasa ole wenu wasinsi na sharati. Ukisinzia na msinsi mwenzio vikamchemka ghafla: Utaota unalambwa mapanga yashingoni!!
 
Mkuu ipo haja ukatoa maelezo kituo cha polisi kilicho karibu na wewe.

Unajua sana inabidi tukufanyie mahojiano.

Una haki ya kubaki kimya chochote utakachosema kinaweza kutumika against you 😯😯😯☹☹☹☹
Ni kweli, itabidi akaonyeshe hayo mapepo yanaishi wapi ili yadhibitiwe!
 
Kuna pepo linapita la kuuana. Wenye wenza tuwe makini kama mwenzio hasomeki bora ukimbie faster
Wengine wana hasira kali na dukuduku, akidhamiria kitu mpaka akifanye.

Nikiwa na mwanamke wangu wa Kihehe, kuna siku tukazinguana tukapigana. Nikajua yameisha. Wakati tumelala usiku, ghafla nikakurupuka kutoka usingizini, nikamkuta kashika kisu kashikilia dungu langu. Nikamtimua
 
Hapo mkuu haujatoa elimu umeharibu fani za watu, nadhani hauna uzoefu, maji ya moto tena!

Hiko kitu huwa kinapingana na mazingira.

Ukitaka kiwe cha moto na tight, piga maji baridi(ya friji ama mtungini).

Na ukitaka kiwe cha baridi na loose, kipige maji moto!

Haya maneno siyasemi mimi, ni kwa mujibu wa makungwi.
[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Wanawake punguzeni mdomo mdomo na dharau kwa waume zenu.
Yaani dada zetu siku hizi wanaweza kufanya makosa halafu unaongea nae kistaarabu anakuletea ufidhuli mixer dharau na mdomo mchafu.
Hio 50/50 mkiiendekeza itawaponza.
Hivi mwanaume mwenye akili timamu anaanzaje anzaje kumshikia panga mwanamke mnyenyekevu na mtiifu?
 
Wengine wana hasira kali na dukuduku, akidhamiria kitu mpaka akifanye.

Nikiwa na mwanamke wangu wa Kihehe, kuna siku tukazinguana tukapigana. Nikajua yameisha. Wakati tumelala usiku, ghafla nikakurupuka kutoka usingizini, nikamkuta kashika kisu kashikilia dungu langu. Nikamtimua
Mungu wangu[emoji15][emoji15][emoji15] kuna watu wana ujasiri. Kwanza mtu mnayepigana wa kumuogopa. Bora mwanamke domo kaya ataongea kutwa nzima ila wa kupigana ni rahisi kukuchenchia
 
Wanawake punguzeni mdomo mdomo na dharau kwa waume zenu.
Yaani dada zetu siku hizi wanaweza kufanya makosa halafu unaongea nae kistaarabu anakuletea ufidhuli mixer dharau na mdomo mchafu.
Hio 50/50 mkiiendekeza itawaponza. Hivi mwanaume mwenye akili timamu anaanzaje anzaje kumshikia panga mwanamke mnyenyekevu na mtiifu?


Wanaume sijui mnakwama wapi? Nyie ndio waamuzi wa nani anafaa kuwa mke na nyie ndio mnawatafuta wenyewe hao wanawake wenye midomodomo na dharau.

Chagua mwanamke ambaye anakuheshimu na anayekutii na umpende na kumuongoza vile unavyotaka.

Hakunaga 50/50 mwanaume ni mwanaume tuu na mwanamke ni mwanamke tuu. Kila mmoja ana majukumu yake na miongozo kiimani na kwa desturi; na haikanushiki kwamba mwanaume ndio kichwa na kiongozi wa kwa mke

Issue ya kushikiana mapanga na kuuana haihusiani na uanaume au uanamke ila ni roho mbaya ya mtu, ndio maana wapo wanaume wanaoshika mapanga na wapo wanawake wanaoshika hayo mapanga pia

Kaa kwenye nafasi yako kama mwanaume fanya majukumu yako kama mwanaume huku ukimwomba Mungu uone kama utakuja kumshikia binadamu mwenzio panga
 
Wengine wana hasira kali na dukuduku, akidhamiria kitu mpaka akifanye.

Nikiwa na mwanamke wangu wa Kihehe, kuna siku tukazinguana tukapigana. Nikajua yameisha. Wakati tumelala usiku, ghafla nikakurupuka kutoka usingizini, nikamkuta kashika kisu kashikilia dungu langu. Nikamtimua
[emoji15][emoji3]
 
Wanaume sijui mnakwama wapi? Nyie ndio waamuzi wa nani anafaa kuwa mke na nyie ndio mnawatafuta wenyewe hao wanawake wenye midomodomo na dharau.

Chagua mwanamke ambaye anakuheshimu na anayekutii na umpende na kumuongoza vile unavyotaka.

Hakunaga 50/50 mwanaume ni mwanaume tuu na mwanamke ni mwanamke tuu. Kila mmoja ana majukumu yake na miongozo kiimani na kwa desturi; na haikanushiki kwamba mwanaume ndio kichwa na kiongozi wa kwa mke

Issue ya kushikiana mapanga na kuuana haihusiani na uanaume au uanamke ila ni roho mbaya ya mtu, ndio maana wapo wanaume wanaoshika mapanga na wapo wanawake wanaoshika hayo mapanga pia

Kaa kwenye nafasi yako kama mwanaume fanya majukumu yako kama mwanaume huku ukimwomba Mungu uone kama utakuja kumshikia binadamu mwenzio panga
Kama uko hivyo,mumeo anafaidi.
Wanawake kinachowaponza ni mdomo&usaliti.
 
Wanaume sijui mnakwama wapi? Nyie ndio waamuzi wa nani anafaa kuwa mke na nyie ndio mnawatafuta wenyewe hao wanawake wenye midomodomo na dharau.

Chagua mwanamke ambaye anakuheshimu na anayekutii na umpende na kumuongoza vile unavyotaka.

Hakunaga 50/50 mwanaume ni mwanaume tuu na mwanamke ni mwanamke tuu. Kila mmoja ana majukumu yake na miongozo kiimani na kwa desturi; na haikanushiki kwamba mwanaume ndio kichwa na kiongozi wa kwa mke

Issue ya kushikiana mapanga na kuuana haihusiani na uanaume au uanamke ila ni roho mbaya ya mtu, ndio maana wapo wanaume wanaoshika mapanga na wapo wanawake wanaoshika hayo mapanga pia

Kaa kwenye nafasi yako kama mwanaume fanya majukumu yako kama mwanaume huku ukimwomba Mungu uone kama utakuja kumshikia binadamu mwenzio panga
Siku zote kuongea ni rahisi kuliko kutenda. Kwanza,wewe umeolewa? kama unasadiki unayoyaongea,basi mshukuru Mungu.
 
R.I.P marehemu dah ungejua ungekuwa unamtibu mmeo taratibu ulijua yupo timamu kumbe kichwani hamnazo kaamua kukufanyia ukatiri huu Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi Rufina, malipo ni hapa hapa duniani.
Adhabu ya kaburi Tena wakati kakatwa mapanga na kuchomwa moto.
 
Ko sa ivi ndoa ni vita siyo paradiso ndogo.kila uchwao mauaji kwenye nini kifanyike ili kuepukana na hili naona inatisha sana
 
Mkuu ipo haja ukatoa maelezo kituo cha polisi kilicho karibu na wewe.

Unajua sana inabidi tukufanyie mahojiano.

Una haki ya kubaki kimya chochote utakachosema kinaweza kutumika against you [emoji54][emoji54][emoji54][emoji852][emoji852][emoji852][emoji852]
Hii coment ya ajabu sana .kosa lake nini la kusema mapepo au pepo ndo wewe
 
Back
Top Bottom