Jamaa wanaamini sana kwenye ushirikina, ukienda maeneo ya Ilala ambako wameweka ngome kwa kujaa sana utashangaa karibu kila nyumba ina mtoto zezeta! Hawa watu ni nouma. Utajiri wao wengi unatokana na NGUVU ZA MAJINI... Wazenji ni nouma
Unajua unafurahisha sana, unaandika kama vile kuna Ugomvi kati ya watu wawili walio sawa, kumbuka Zanzibar ambayo unapoteza muda kuiongelea hapa ina watau chini ya milioni na km za Mraba 2500, wakati sisi tuna watu milioni 40 na km za Mraba karibu milioni moja, hivi huoni kama watu wengine wanaweza kukushangaa kushindisha hivyo vitu viwili?
Zanzibar wanakunyima nini? kuwepo kwao au kutokuwepo kwao?
ZNZ ni kweli wanamtegemea Tz Bara kwani bila Bara kwao ni full njaa na fujo kwani ni walalamishi kupindukia hata wapewe nini hawaachi kulaamika hata wakijitenga Watagombana wenyewe kwa wenyewe Na hao waarabu wanaotaka kuludisha koloni watagombana tu kwani hawatavumilia ulalamishi toka kwa watu ambao wanawasaidia Na Ndoto ya Mafuta Pemba wakumbuke ipo na Bara Pia kwani Bara kuna Bahari kubwa sana Tokea Tanga hada Mtwara imejaa mafuta tele ZNZ watambue Kuwa wao watakuwa Raia wa Kigeni Bara pindi wakijitenga na itakula kwao kulipia viza na vibali vya kuishi na kufanya kazi Bara kinyume na hapo waishi Kama wakimbizi TZ Bara ni Nchi tajiri sana na wananchi wake si walalamishi sana Ndio Maana wana endelea kuwahudumia pasipo ubaguzi
Kwa kuanzia hawawezi kua kama Dubai au singapore lkn baada ya kuchimba mafuta yao who knows?
Kwa kuanzia hawawezi kua kama Dubai au singapore lkn baada ya kuchimba mafuta yao who knows?
Wazanzibar karibu wote walikuwa wanahudumiwa kiuchumi na serikali ya Tanzania ambayo inakusanya kodi kubwa kutoka kwenye biashara ya pombe, Sigara, Kitimoto, madini, Pamba, nk kutoka upande wa Tanganyika.
Duuh!umeua mkuu!huku kwetu tanganyika. mijitu ni mbumbumbu vichwa tasa kila kitu wanareffer kwa nyerere angetokea kusema yy ni mungu wangemfuata. mijitu ya huku inaujinga aisee. vichwa maji ma emaneno tele hatujui hata kudharauliwa tumejikumbatisha kwa wazenji japo hawatutaki hatustaarabiki. tunatembea uchi. hatuwajali wanawake zetu. na hata mama zetu. hatithaminiani. vya pombe sisi. tena vilabuni tunaenda na wake zetu. ushenzi huu tulonao washatuchoka tuwaacheni tunajidai lakini hatuwapi chao? inashangaza . tunakasirikaje na mtu kudai chake. aisee watanganyika dhulmaa
Unaandika usichokielewa!
Kwa taarifa yako tu zaidi ya asilimia 60% ya Watalii wanaokuja TZ, wanakwenda Zanzibar, kwa maana nyingine hao watalii wanakuja TZ kwa sababu kuna Zanzibar, na Utalii ktk Nchi yetu ni namba moja au mbili kwa kuingiza mapato Serikalini!
Leo hii tembea Duniani kote uliza watu kuhusu Tanzania watakwambia hawaijui na wala hawajawahi kuisikia, lakini uliza Zanzibar utasikia mara moja wanakwambia its my Dream place!
Usiandike usichokijua!
Ni kweli wanaamini ushikirina ukienda zenj na albino lazima umlinde sana, other wise watamkata viungo au kumuua ili kufanikisha watalii kuingia kwa wingi zenj. Hadi sasa zaidi ya albino 70 wameuliwa huko kwa sababu za ushirikina!
Kumbe siku hizi kuna program ya kuomuonyesha mwana JF dini yake, kabila lake na utaifa wake?Mkatoliki Mtanganyika Mchaga tangia lini akamuonea huruma Mzanzibari Muislamu!!!!!'?
Kwa Taarifa tu Leo Maalim Seif alikuwa na mkutano Zanzibar kasema hivi-
Lazima kwa maana ya lazima mamlaka kamili ya Zanzibar yapatikane.
Madai ya Waislam wa Tanganyika/
Kujiunga na OIC
Kupumzika Ijumaa
Mgawanyo sawa madaraka ya Serikali
MoU ifutwe.
Mahkama ya Qadhi.
..... mengine utajaza mwenyewe!!!!
Zanzibar ilikuwepo zaidi ya miaka 1000 na hakujawahi kutokea historia ya watu wa unguja na pemba kupigana sisi ni ndugu damu na mila na desturi zetu ni moja na hata siku moja haitatokea sisi kuuwana kama nyie watanganyika:israel:Chama cha magamba ndicho kinachowang'ang'ania na sio Watanganyika wanaoelewa uthamani wa utanganyika wao! Subiri tu maana bado kitambo kidogo mtaachwa muwe mataifa mawili huru yaani Unguja na Pemba. Kama hamuamini, ombeni tu maisha marefu ili mshuhudie wenyewe. Zanzibar ni lazima iwe mataifa mawili lakini Tanganyika tutabaki taifa moja maana sisi sote ni ndugu na maana ya udugu tunaijua.
Unaandika usichokielewa!
Kwa taarifa yako tu zaidi ya asilimia 60% ya Watalii wanaokuja TZ, wanakwenda Zanzibar, kwa maana nyingine hao watalii wanakuja TZ kwa sababu kuna Zanzibar, na Utalii ktk Nchi yetu ni namba moja au mbili kwa kuingiza mapato Serikalini!
Leo hii tembea Duniani kote uliza watu kuhusu Tanzania watakwambia hawaijui na wala hawajawahi kuisikia, lakini uliza Zanzibar utasikia mara moja wanakwambia its my Dream place!
Usiandike usichokijua!
Yaani wee uliyemwambia mwenzio haelewi wewe ndio zero kabisa umeandika kwa ushabiki au kile kiitwacho 'maji ya kifuu chungu kaona bahari'. Nadhani kuna mambo hujui na huelewi, watalii wanapenda mambo mawili NYIKA na MAJI hususan ya Bahari. Hivyo watalii wengi focus yao na. 1 kwa Tanzania ni Serengeti na bonde la Ngorongoro ili kuona migrating animals na wanyama ndani ya shimo la Ngorongoro, kabla ya kurudi kwao huwa wanataka kwenda ufukweni mwa bahari ili kujiachia utupu na kuota jua ili wawe na ngozi tofauti kidogo ya kwenda kuhadithia kwao wanporudi ndio maana safari zao pia zinapitia Zanzibar. Uelewe tu Mazingira ya Tanganyika kwa watalii ni 'unique' kwa maana hakuna sehemu nyingine duniani ambayo utaona wanyama wanavyohama kama Serengeti au wanyama wamejazana pamoja kama Ngorongoro, lakini mazingira ya Zanzibar sio unique kwa vile kuna beach nyingi sana duniani tena zilizoboreshwa san kwa mfano Mexico, Indonesia, Fuji na Visiwa vingine vingi tu. Na hili la kusema "dunia kote" watu hawaijui Tanzania ila wanaijua Zanzibar ni upuuzi uliopitiliza, sijui nchi gani ulizoenda ukakuta watu wa namna hii. Ungelisema unapotaja Tanzania watasisitiza kwa 'Serengeti, Ngorongoro au Zanzibar" hapo sawa kwani ndiyo maeneo yanayowavutia, lakini kusema haijulikani, ni ujinga mnaoongopeana maskani zenu za mtendeni hapo. Kimsingi huwezi kuijua zanzibar bila kuijua Tanzania kitalii. Kwa hiyo hizi habari za kujifariji kwa kujiongopea kaongopee chumbuni na mtendeniUnaandika usichokielewa!
Kwa taarifa yako tu zaidi ya asilimia 60% ya Watalii wanaokuja TZ, wanakwenda Zanzibar, kwa maana nyingine hao watalii wanakuja TZ kwa sababu kuna Zanzibar, na Utalii ktk Nchi yetu ni namba moja au mbili kwa kuingiza mapato Serikalini!
Leo hii tembea Duniani kote uliza watu kuhusu Tanzania watakwambia hawaijui na wala hawajawahi kuisikia, lakini uliza Zanzibar utasikia mara moja wanakwambia its my Dream place!
Usiandike usichokijua!
Chama cha magamba ndicho kinachowang'ang'ania na sio Watanganyika wanaoelewa uthamani wa utanganyika wao! Subiri tu maana bado kitambo kidogo mtaachwa muwe mataifa mawili huru yaani Unguja na Pemba. Kama hamuamini, ombeni tu maisha marefu ili mshuhudie wenyewe. Zanzibar ni lazima iwe mataifa mawili lakini Tanganyika tutabaki taifa moja maana sisi sote ni ndugu na maana ya udugu tunaijua.
Maana wakenya watafaidi kutoka kwetu na sisi tutafaidi kutoka kwao, hivyo utakuwa ni muungano wenye tija pande zote Mbili.
haya tumeyakubali yote wacheni yatukute, jst tupeni mwanya w kuchomoka tu. dah mijamaa inaboa cjui imeambowa zanzibar ndo moyo wao. mtwana haachi asilie, kila siku mnatupga kampeni izo kwa izo
na hatufaham basi, tuacheni tupumue