Muungano gani huu wa KIBAGUZI?

Muungano gani huu wa KIBAGUZI?

Hivi majuzi nimetoka kununua viwanja vya biashara kwenye mikoa 3 ya Tanzania bara na zoezi limekwenda vizuri sana, mamlaka zimetoa ushirikiano wakutosha, zoezi la kutransfer majina ya wamiliki limekwenda vyema sana.

Baada ya hapo nikaja Zanzibar kupata eneo ili kukamilisha zoezi na kuanza hatua inayofuata. Kwakifupi wameniambia SINA SIFA ya kumiliki ardhi maana mimi sio Mzanzibari wala sio mkaazi wa kudumu wa Zanzibar.

Nimeshangaa sana, huu ni muungano gani? Nawafahamu WAPEMBA wengi wanamiliki viwanja, mashamba na nyumba Tanzania bara na wamemilikishwa kwa kufuata utaratibu uleule tunaofuata watu wa bara.

Mh. Rais hapa mnatunyonya, hakuna haja ya muungano kama mambo yenyewe ni haya. Pia eneo letu la MAKURUNGE lirudishwe toka kwenye mikono ya serikali ya Zanzibar wauziwe watanganyika.
Tuwakatae wazanzibar ni watu wa hovyo sn hawatufai hata kidogo
 
Huu Muungano ni kwa ajili ya Wzanzibari! Na siyo Watanganyika. Kwa jina lingine unafahamika kama Muungano wa changu changu, chako changu.

Hakika huu ni Muungano wa hovyo sana! Na sijui imekuwaje Watanganyika tumeendelea kuuvumilia huu ujinga! Sijui tumerogwa na hawa wala urojo wasio na vichogo!
Tuwabague wazanzibar wasiishi huku kwetu ni watu wa hovyo sn
 
Mimi sio Mzanzibari lakini linapokuja suala la ardhi, naona tunawaonea bure wale jamaa
Tatizo sio wazanzibari, tatizo ni sisi wabara na viongozi wetu
Hivi majuzi nimetoka kununua viwanja vya biashara kwenye mikoa 3 ya Tanzania bara na zoezi limekwenda vizuri sana, mamlaka zimetoa ushirikiano wakutosha, zoezi la kutransfer majina ya wamiliki limekwenda vyema sana.

Baada ya hapo nikaja Zanzibar kupata eneo ili kukamilisha zoezi na kuanza hatua inayofuata. Kwakifupi wameniambia SINA SIFA ya kumiliki ardhi maana mimi sio Mzanzibari wala sio mkaazi wa kudumu wa Zanzibar.

Nimeshangaa sana, huu ni muungano gani? Nawafahamu WAPEMBA wengi wanamiliki viwanja, mashamba na nyumba Tanzania bara na wamemilikishwa kwa kufuata utaratibu uleule tunaofuata watu wa bara.

Mh. Rais hapa mnatunyonya, hakuna haja ya muungano kama mambo yenyewe ni haya. Pia eneo letu la MAKURUNGE lirudishwe toka kwenye mikono ya serikali ya Zanzibar wauziwe watanganyika.
mi
 
Hivi majuzi nimetoka kununua viwanja vya biashara kwenye mikoa 3 ya Tanzania bara na zoezi limekwenda vizuri sana, mamlaka zimetoa ushirikiano wakutosha, zoezi la kutransfer majina ya wamiliki limekwenda vyema sana.

Baada ya hapo nikaja Zanzibar kupata eneo ili kukamilisha zoezi na kuanza hatua inayofuata. Kwakifupi wameniambia SINA SIFA ya kumiliki ardhi maana mimi sio Mzanzibari wala sio mkaazi wa kudumu wa Zanzibar.

Nimeshangaa sana, huu ni muungano gani? Nawafahamu WAPEMBA wengi wanamiliki viwanja, mashamba na nyumba Tanzania bara na wamemilikishwa kwa kufuata utaratibu uleule tunaofuata watu wa bara.

Mh. Rais hapa mnatunyonya, hakuna haja ya muungano kama mambo yenyewe ni haya. Pia eneo letu la MAKURUNGE lirudishwe toka kwenye mikono ya serikali ya Zanzibar wauziwe watanganyika.
Sio mara moja, mbili au tatu Wazanzibari wamesema hawatutaki sisi VICHOGO kwenye Ardhi yao.

Na ukiwa Mkristo ndio unaitwa KAFIRI kabisa.

Wao wakiwa Tanganyika wanaishi kama Wafalme
 
Kwakifupi wameniambia SINA SIFA ya kumiliki ardhi maana mimi sio Mzanzibari wala sio mkaazi wa kudumu wa Zanzibar.
Jaribu kufuata maelekezo mbona rahisi tu, tafuta hizo sifa halafu uone kama utanyimwa. Watu kibao kutoka bara wanamiliki ardhi kwa kufuata sheria, taratibu na kanuni zilizowekwa.

Halafu jaribu kutumia akili ya kawaida, Zanzibar na bara unataka ziwe sawa kwenye mgawanyo wa ardhi??
Halafu unatakiwa ufahamu kuwa " Kila mzanzibar ni mtanzania, ila siyo kila mtanzania ni mzanzibar".

Jaribu kupunguza:

mhemko

hali ya kupandwa na hasira au hamu kubwa

Kwani huondoa:

akili

1.
uwezo wa kuelewa na kujifunza mambo

2.uwezo wa kufikiri na kuamua kwa busara

 
Mtoa mada ni muongo mkubwa hana cha kufanya kaamua kuja kuleta uzushi kwenye jamii

Watu kibao wa Tanzania bara wanamiliki viwanja unguja kwa hiyo Acha kuleta stories za kijinga mana kuna WAPUMBAVU KIBAO HUMU KWENYE JAMII WATAKUAMINI NA KUTENGENEZA CHUKI KWA WAZANZIBAR
 
Back
Top Bottom