Muungano mpya kati ya Burundi na Tanzania?

Muungano mpya kati ya Burundi na Tanzania?

Naunga mkono hoja tuungane nao..tuwe federal state hapo vipi?

Chamsingi katiba mpya iweke wazi tu.

Huko mkoani zenji nao wakae kutulia.

#MaendeleoHayanaChama
 
Luna umuhimu wa kulazimisha muungano na Rwanda & Burundi ili tuweze kujinufaisha na mali za bure za DRC
 
Source BBC: Kuwa ilikua ni ndoto ya Muasisi wa Taifa la BURUNDI Hayati Rwagaore kuunganisha Tanzania na Burundi kuwa nchi Moja.

Siri hiyo aliitoa Mwa Nyerere katika Moja ya vikao vya usuluhishi wa migogoro ya Burundi.

Kwa mujibu wa BBC, majadiliano yanaendelea ili kutimiza ndoto ya Rwagasore na Nyerere kuunganisha mataifa hayo na kuwa nchi Moja.

Jambo la kujiuliza ni juu ya faida au hasara ya kufanya hivyo.
Ni jambo zuri kuungana lakini lazima tutathmini kwa kina na kujiuliza kwanza kabla ya kuungana nao kwa maana kuungana maana yake ni kufungua mipaka

kama warundi wenyewe kwa uchache wao kuna msuguano mkubwa na mauaji ya kikabila japokuwa wana Makabila makubwa mawili je?

Itakuwaje wakija na kuchanganyika kwenye jamii yetu watanzania wenye makabila zaidi ya 120?

Wataenea masokoni, Vyuoni, kwenye Ajira, Masokoni nk...

Je wanaweza kustaarabika na kujizuia kwa upole na uvumilivu kama watanzania...?

Je kukitokea uchaguzi na akapita kiongozi asiyekubalika kwao watakubali kutulia na kuendelea na shughuli zao za kawaida bila vurugu kama watanzania?

Muungano ni jambo jema lakini linahitaji umakini wa hali ya juu sana....
 
Ni jambo zuri kuungana lakini lazima tutathmini kwa kina na kujiuliza kwanza kabla ya kuungana nao kwa maana kuungana maana yake ni kufungua mipaka

kama warundi wenyewe kwa uchache wao kuna msuguano mkubwa na mauaji ya kikabila japokuwa wana Makabila makubwa mawili je?

Itakuwaje wakija na kuchanganyika kwenye jamii yetu watanzania wenye makabila zaidi ya 120?

Wataenea masokoni, Vyuoni, kwenye Ajira, Masokoni nk...

Je wanaweza kustaarabika na kujizuia kwa upole na uvumilivu kama watanzania...?

Je kukitokea uchaguzi na akapita kiongozi asiyekubalika kwao watakubali kutulia na kuendelea na shughuli zao za kawaida bila vurugu kama watanzania?

Muungano ni jambo jema lakini linahitaji umakini wa hali ya juu sana....
Muungano ni jambo jema?

Basi rudi na wadogo zako na wake zenu mkakae kwa baba yenu ili mrahisishe maisha.

Na majirani waambie muunganishe mabanda ya kuku!
 
Nimpango mzuri ila we must be open eyes usiwe mlango wa shetani kutuangamiza na kututesa. Mgeni aweza kuwa mzuri ktk siku yakwanza ila mgeni akibadilika na kuanza kutembea na mke wako nakufanya mambo ya ajabu basi bila shaka mgeni huyo huwa shubiri. We are Tanganyika. Nadhani kabla ya Burundi tuanze na Zanzibar maana tunasema hatudanganyiki. Yes
Hili lá Zanzibar ndio la maana,inatakiwa tuwe na Rais mmoja na nchi moja tu itakayoitwa Jamhuri ya Tanzania, ikiwa tuna Marais wawili wa bara na visiwani bado kuna tatizo,huo muungano wa Burundi unakaribishwa kwa nguvu zote ila kwanza tulimalize hili tatizo na Zanzibar
Nalog off Z
 
Ni jambo zuri kuungana lakini lazima tutathmini kwa kina na kujiuliza kwanza kabla ya kuungana nao kwa maana kuungana maana yake ni kufungua mipaka

kama warundi wenyewe kwa uchache wao kuna msuguano mkubwa na mauaji ya kikabila japokuwa wana Makabila makubwa mawili je?

Itakuwaje wakija na kuchanganyika kwenye jamii yetu watanzania wenye makabila zaidi ya 120?

Wataenea masokoni, Vyuoni, kwenye Ajira, Masokoni nk...

Je wanaweza kustaarabika na kujizuia kwa upole na uvumilivu kama watanzania...?

Je kukitokea uchaguzi na akapita kiongozi asiyekubalika kwao watakubali kutulia na kuendelea na shughuli zao za kawaida bila vurugu kama watanzania?

Muungano ni jambo jema lakini linahitaji umakini wa hali ya juu sana....
Burundi awana Umeme wa uhakika na hii inawafanya wawe masikini japo wana madini ya kutosha kuinua uchumi wao. Pia awana viwanda vya kutosha na awana matajiri weneye uwezo wa kuivest na kuketa ajira za kutosha ! Wakiungana na TZ wanaweza inuka kiuchumi na raia wao wakapata nafuu ya maisha
 
Burundi ni nchi masikini sana. Labda itaisaidia kama ikiungana Tanzania halafu ipewe aina ya utawala wa ndani kama Zanzibar au China na Macau/Hong Kong
 
Source BBC: Kuwa ilikua ni ndoto ya Muasisi wa Taifa la BURUNDI Hayati Rwagaore kuunganisha Tanzania na Burundi kuwa nchi Moja.

Siri hiyo aliitoa Mwa Nyerere katika Moja ya vikao vya usuluhishi wa migogoro ya Burundi.

Kwa mujibu wa BBC, majadiliano yanaendelea ili kutimiza ndoto ya Rwagasore na Nyerere kuunganisha mataifa hayo na kuwa nchi Moja.

Jambo la kujiuliza ni juu ya faida au hasara ya kufanya hivyo.
Wajuvi wa siasa wa Burundi si watulivu kabisa Wallah watatupanda vichwani sisi watz hatujazoea shali, Wakishaanza kuingiwa na tamaa tu watataka wacomtrol state nzima. Tutapangishwa na wapangaji nyumba yetu wenyewe.
 
Muafrika ndo maana alichuliwa utumwani

Kichwa chake bado ni cha Homo Erectus

Hatujajifunza Zanzibar

Hivi unaweza kumtamkia Mmarekani aungane na Haiti ?
Mipaka ya wakoloni isitutenganishe..burundi ni ndugu zetu wa damu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kama Miungano Haitoshi,Tuvunje wilaya tuweke Rais wao kisha tujiunge nao...Tunataka nini huko!!
 
Back
Top Bottom