Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Raisi mmoja na serikali moja au muungano uvunjweHili lá Zanzibar ndio la maana,inatakiwa tuwe na Rais mmoja na nchi moja tu itakayoitwa Jamhuri ya Tanzania, ikiwa tuna Marais wawili wa bara na visiwani bado kuna tatizo,huo muungano wa Burundi unakaribishwa kwa nguvu zote ila kwanza tulimalize hili tatizo na Zanzibar
Nalog off Z