Muungano unatutafuna! Iweje bara Umeme uwe shilingi 350 kwa unit wakati Zanzibar ni shilingi 130?

Muungano unatutafuna! Iweje bara Umeme uwe shilingi 350 kwa unit wakati Zanzibar ni shilingi 130?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Yaani Zanzibar wauziwe unit moja ya umeme kwa tsh.130 kama alivyoeleza Waziri wa Nishati na Madini Zanziber wakati sisi huku bara tunauziwa shilingi 350 na senti kadhaa.

Na wale wataosema Zanzibar ni wanyonyaji wanakosea, Tukumbuke kwamba Bara ndio inang'ang'ania sana huu muungano matokeo yake ndio haya sasa inabidi waipe Zanzibar kipaumbele kuzidi Bara iwe ni kwenye ajira, vyeo, huduma, n.k.

Bara tumebaki kuubeba mzigo mkubwa sana kwenye muungano huu
 
Kwa iyo unasema zenji unit ni 130. Risiti yako iko wapi ?
 
Naona ni kama vile tunawasaidia kufidia gharama kwasababu ya uchache wao, kulazimisha huu muungano uendelee kuwepo, ni sawa na kulazimisha tuzidi kujiumiza.

Wao ni nchi inayojitegemea, lakini ajabu tunawalea kama watoto wadogo wakati wenyewe wanajiona wameshakomaa wana mamlaka yao kamili, tunawadekeza watu wasiotaka kudekezwa, sijui lini tutapata akili tuondokane na huu utumwa wa kujitakia.
 
Issue sio kwanini wao Zanzibar wauziwe bei rafiki bali kwanini sisi watu wa bara tusiuziwe bei rafiki ?

Na wale wataosema Zanzibar ni wanyonyaji wanakosea, Tukumbuke kwamba Bara ndio inang'ang'ania sana huu muungano matokeo yake ndio haya sasa inabidi waipe Zanzibar kipaumbele kuzidi Bara iwe ni kwenye ajira, vyeo, huduma, n.k.
Tatizo hata huko bara hamnunui umeme kwa market price inayo cover production cost.

Umeme, kwa watumiaji wengi wa kawaida, unauzwa kwa bei ya chini sana Tanzania, hata bara.

Bei hii hai reflect gharama za uzalishaji, ugavi na uendeshaji.

Serikali imefanya umeme kuwa ni "public good".

Na hili si jambo baya necessarily, hususan likifanywa kwa mkakati unaotekelezeka kiuchumi na kupanga kuwaondoa watu katika umasikini, kisha walipe bei halisi.

Ila, kwa sasa, bado gharama za uzalishaji, ugavi na uendeshaji zinahitaji kuwa covered.

Na hili ni moja ya matatizo ya umeme Tanzania.

Tanzania watu hawalipii gharama halisi za umeme. Bara na visiwani. Inawezekana Zanzibar wakawa wanalipia chini zaidi, lakini hata bara hawalipii inavyotakiwa.

Kwa mujibu wa Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, alipokuwa akiongea na mtandao wa "Kumekucha", watumiaji wengi wa umeme Tanzania wanalipia kuanzia 33% mpaka 50% ya gharama halisi za umeme.

So, tunapoongelea Zanzibar, hili nalo tuliangalie.

Kula na kulipa, ndiyo mtindo wa kisasa.
 
Tatizo hata huko bara hamnunui umeme kwa market price inayo cover production cost.

Umeme, kwa watumiaji wengi wa kawaida, unauzwa kwa bei ya chini sana Tanzania, hata bara.

Bei hii hai reflect gharama za uzalishaji, ugavi na uendeshaji.

Serikali imefanya umeme kuwa ni "public good".

Na hili si jambo baya necessarily, hususan likifanywa kwa mkakati unaotekelezeka kiuchumi na kupanga kuwaondoa watu katika umasikini, kisha walipe bei halisi.

Ila, kwa sasa, bado gharama za uzalishaji, ugavi na uendeshaji zinahitaji kuwa covered.

Na hili ni moja ya matatizo ya umeme Tanzania.

Tanzania watu hawalipii gharama halisi za umeme. Bara na visiwani. Inawezekana Zanzibar wakawa wanalipia chini zaidi, lakini hata bara hawalipii inavyotakiwa.

Kwa mujibu wa Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, alipokuwa akiongea na mtandao wa "Kumekucha", watumiaji wengi wa umeme Tanzania wanalipia kuanzia 33% mpaka 50% ya gharama halisi za umeme.

So, tunapoongelea Zanzibar, hili nalo tuliangalie.

Kula na kulipa, ndiyo mtindo wa kisasa.
muungano unatu cost sana huu
 
Yaani Zanzibar wauziwe unit moja ya umeme kwa tsh.130 kama alivyoeleza Waziri wa Nishati na Madini Zanziber wakati sisi huku bara tunauziwa shilingi 350 na senti kadhaa.

Na wale wataosema Zanzibar ni wanyonyaji wanakosea, Tukumbuke kwamba Bara ndio inang'ang'ania sana huu muungano matokeo yake ndio haya sasa inabidi waipe Zanzibar kipaumbele kuzidi Bara iwe ni kwenye ajira, vyeo, huduma, n.k.

Bara tumebaki kuubeba mzigo mkubwa sana kwenye muungano huu
Hili dude linaloitwa muungano yafaa tulibomoe, ssh yeye yuko madarakani kwa ajili ya kutengeneza kwao kwa gharama zetu, tuamke
 
Inawezekana pia umeme wa Tanzania unazalishwa na kusambazwa kwa gharama kubwa kuliko inavyopasa kwa sababu ya "inefficiencies"
Tatizo hata huko bara hamnunui umeme kwa market price inayo cover production cost.

Umeme, kwa watumiaji wengi wa kawaida, unauzwa kwa bei ya chini sana Tanzania, hata bara.

Bei hii hai reflect gharama za uzalishaji, ugavi na uendeshaji.

Serikali imefanya umeme kuwa ni "public good".

Na hili si jambo baya necessarily, hususan likifanywa kwa mkakati unaotekelezeka kiuchumi na kupanga kuwaondoa watu katika umasikini, kisha walipe bei halisi.

Ila, kwa sasa, bado gharama za uzalishaji, ugavi na uendeshaji zinahitaji kuwa covered.

Na hili ni moja ya matatizo ya umeme Tanzania.

Tanzania watu hawalipii gharama halisi za umeme. Bara na visiwani. Inawezekana Zanzibar wakawa wanalipia chini zaidi, lakini hata bara hawalipii inavyotakiwa.

Kwa mujibu wa Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, alipokuwa akiongea na mtandao wa "Kumekucha", watumiaji wengi wa umeme Tanzania wanalipia kuanzia 33% mpaka 50% ya gharama halisi za umeme.

So, tunapoongelea Zanzibar, hili nalo tuliangalie.

Kula na kulipa, ndiyo mtindo wa kisasa.
 
Zanzibar mkiwauzia 350 wale wanakunywa kahawa tu kazi zenyewe hawafanyi ni kusali na kunywa kahawa

Wanaomba lift kuliko watoto wa kike wanavyoomba pesa.
 
Yaani Zanzibar wauziwe unit moja ya umeme kwa tsh.130 kama alivyoeleza Waziri wa Nishati na Madini Zanziber wakati sisi huku bara tunauziwa shilingi 350 na senti kadhaa.

Na wale wataosema Zanzibar ni wanyonyaji wanakosea, Tukumbuke kwamba Bara ndio inang'ang'ania sana huu muungano matokeo yake ndio haya sasa inabidi waipe Zanzibar kipaumbele kuzidi Bara iwe ni kwenye ajira, vyeo, huduma, n.k.

Bara tumebaki kuubeba mzigo mkubwa sana kwenye muungano huu
Usishangae ni taratibu ziliopo toka siku nyingi. Unasema bila utafiti wala ushahidi ? Je wajua Bara kuna umeme wa Rea? Haupo Dar ila upo mikoani. Tena umeme wa Rea unalipa chini ya unit 1 kwa 120 au karibia 130. Je hujui kua bara kwa Zanzibar inatizamiwa kama miongoni ya mikoa midogo ya Tanganyika? Kama unataka upate umeme wa bei rahsi njoo uenshi huku vijijini. Utajua umeme wa bei ya chini upo.
 
Usishangae ni taratibu ziliopo toka siku nyingi. Unasema bila utafiti wala ushahidi ? Je wajua Bara kuna umeme wa Rea? Haupo Dar ila upo mikoani. Tena umeme wa Rea unalipa chini ya unit 1 kwa 120 au karibia 130. Je hujui kua bara kwa Zanzibar inatizamiwa kama miongoni ya mikoa midogo ya Tanganyika? Kama unataka upate umeme wa bei rahsi njoo uenshi huku vijijini. Utajua umeme wa bei ya chini upo.
1) Mwenye hoja hii hujajua vizuri kinachobishaniwa.
2) REA hawazalishi ila hujenga miundombinu ya kusambazia umeme unaozalishwa na kuuzwa na TANESCO
 
Naona ni kama vile tunawasaidia kufidia gharama kwasababu ya uchache wao, kulazimisha huu muungano uendelee kuwepo, ni sawa na kulazimisha tuzidi kujiumiza.

Wao ni nchi inayojitegemea, lakini ajabu tunawalea kama watoto wadogo wakati wenyewe wanajiona wameshakomaa wana mamlaka yao kamili, tunawadekeza watu wasiotaka kudekezwa, sijui lini tutapata akili tuondokane na huu utumwa wa kujitakia.
Mkuu kiufupi bara tunajichelewesha wenyewe maendeleo piga chini huu muungano feki unaonufaisha zaidi upande mmoja wa zanzibar
 
Wakikopa mikopo yao eti wanagawana 50/50

yaanibtaifa lenye watu milioni 60 ligawane na kataifa kenye watu milioni 1 sawa kwa sawa

Yaani zikija milionni 100 eti wagawane 50/50.

Halafu Sasa kwenye kulipa Taifa lenye watu milioni 60 ljnalioa karibia asilimia 99 ya mkopo sababu hako kataifa kenye watu milioni kwanza hakazalishi Hela Wala Kodi na hata kama wanazalisha haiwezi hata kuwalisha wenyewe.

Huu muungano ni unyonyaji nashauri uvunjwe au urekebishwe kwa staili ya kwamba Kila mtu afaidike kwa urefu wa kamba yake kama mama yao anavyosemaga.

Muungano wa kinyongaji kwa TANGANYIKA.

Mi Wala Sina hamu nao.
 
Zanzibaris wenyewe wameuchoka huu muungano wa kipuuzi....
Wana uwezo wa kuendelea sana wenyewe bila huu muungano wa ccm, na serikali inajua hivyo ndio maana hawawaachii watoke kwenye muungano....Karume was eliminated for this reason.....
 
Tatizo hata huko bara hamnunui umeme kwa market price inayo cover production cost.

Umeme, kwa watumiaji wengi wa kawaida, unauzwa kwa bei ya chini sana Tanzania, hata bara.

Bei hii hai reflect gharama za uzalishaji, ugavi na uendeshaji.

Serikali imefanya umeme kuwa ni "public good".

Na hili si jambo baya necessarily, hususan likifanywa kwa mkakati unaotekelezeka kiuchumi na kupanga kuwaondoa watu katika umasikini, kisha walipe bei halisi.

Ila, kwa sasa, bado gharama za uzalishaji, ugavi na uendeshaji zinahitaji kuwa covered.

Na hili ni moja ya matatizo ya umeme Tanzania.

Tanzania watu hawalipii gharama halisi za umeme. Bara na visiwani. Inawezekana Zanzibar wakawa wanalipia chini zaidi, lakini hata bara hawalipii inavyotakiwa.

Kwa mujibu wa Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, alipokuwa akiongea na mtandao wa "Kumekucha", watumiaji wengi wa umeme Tanzania wanalipia kuanzia 33% mpaka 50% ya gharama halisi za umeme.

So, tunapoongelea Zanzibar, hili nalo tuliangalie.

Kula na kulipa, ndiyo mtindo wa kisasa.
Chande anaposema watumiaji wengi wa umeme wanalipia kuanzia 33% mpaka 50% ya matumizi ya umeme anataka kusema nini?

Kama anamaanisha wanalipia gharama za chini, basi kwanini gharama hizo zisiwe sawa na zile wanazolipia wazanzibari?

Mimi naona hapa kuna tatizo, na huu muungano una tatizo, kwa kuzingatia tofauti ya ulipaji wa gharama za umeme bara na visiwani.
 
Back
Top Bottom