NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Yaani Zanzibar wauziwe unit moja ya umeme kwa tsh.130 kama alivyoeleza Waziri wa Nishati na Madini Zanziber wakati sisi huku bara tunauziwa shilingi 350 na senti kadhaa.
Na wale wataosema Zanzibar ni wanyonyaji wanakosea, Tukumbuke kwamba Bara ndio inang'ang'ania sana huu muungano matokeo yake ndio haya sasa inabidi waipe Zanzibar kipaumbele kuzidi Bara iwe ni kwenye ajira, vyeo, huduma, n.k.
Bara tumebaki kuubeba mzigo mkubwa sana kwenye muungano huu
Na wale wataosema Zanzibar ni wanyonyaji wanakosea, Tukumbuke kwamba Bara ndio inang'ang'ania sana huu muungano matokeo yake ndio haya sasa inabidi waipe Zanzibar kipaumbele kuzidi Bara iwe ni kwenye ajira, vyeo, huduma, n.k.
Bara tumebaki kuubeba mzigo mkubwa sana kwenye muungano huu