Muungano uwe wa serikali moja tu, kama sio hivyo ufe tu

Muungano uwe wa serikali moja tu, kama sio hivyo ufe tu

Na siku nikiwa rais, Zanzibar inabaki kuwa mkoa tu na utaitwa mkoa wa Zanzibar au tutaangalia namna ya kufanya kama itafaa tuwe na mkoa wa unguja na mkoa wa pemba

Hakutakuwa na rais bali mkuu wa mkoa, wana bunge sijui linaitwaje ntaliondoa SMZ sijui ni nini tutakuwa na police Tanzania

Raia wa Tanzania pamoja na haki zake kama mtanzania ataendelea kuwa na hizo haki eneo lolote la Zanzibar
bila kuongea sana nadhani naeleweka nikisema Zanzibar itakuwa mkoa ni kuondosha namna zote zinazoweka kwamba sisi ni sisi na nyie ni nyie ni ujinga sana huu

Kama unajiona wewe ni muarabu ni ruhusa kutafuta asili ya kwenu na urudi kwa ndugu zako kwa kuwa enzi ya utumwa ilipita

Zanzibar ni ya kwetu bara na sisi huwa hatuna asili ya ubaguzi hii roho mbaya ya kibaguzi ni roho ya hawa waarabu walioacha damu zao hapa tulikubali kuwafanya ndugu kwakuwa kuna mchanganyiko wa damu zetu lakini hizi tabia chafu hatupendezwi nazo


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Naomba unichague kuwa waziri mkuu wako siku ukiwa Rais ili nikusaidie kuitengeneza Tan/zan/ia ya kweli ambayo mtanzania ni mtanzania TU mwenye haki na fursa sawa ndani ya muungano. Huo ndio muungano aliokuwa ameikusudia Nyerere. Nadhani Mzee Jumbe ulimtesa sana kwa kuukataa muungano wa aina hii.

Hakuna mtu Yuko tayari kuwaambia wajukuu wetu sababu halisi za ugomvi wa aboud Jumbe na serikali/CCM.
 
Muungano utavunjika pale Zanzibar itakapokuwa na uchumi bora zaidi kuliko TZ. Hilo linakuja, maana kama nahisi Mibantu haina akili hivi. Wazenj wengi si Wabantu ni mchanganyiko. Unaona hata hivi nisemavyo ukichukua ndege kutoka Franfurt kwenda Zanzibar ni cheaper zaidi na hakuna masharti mengi kuliko vipingamizi vya kipuuzi vya bara. Matokeo Zanzibar inapokea Watalii wengi na wanaotumia pesa zaidi kwa kukaa huko, kuliko bara!
Ndugu bara Gdp inasoma 79bilion vs zenji2bilion +1.5population.
 
Muungano utavunjika pale Zanzibar itakapokuwa na uchumi bora zaidi kuliko TZ. Hilo linakuja, maana kama nahisi Mibantu haina akili hivi. Wazenj wengi si Wabantu ni mchanganyiko. Unaona hata hivi nisemavyo ukichukua ndege kutoka Franfurt kwenda Zanzibar ni cheaper zaidi na hakuna masharti mengi kuliko vipingamizi vya kipuuzi vya bara. Matokeo Zanzibar inapokea Watalii wengi na wanaotumia pesa zaidi kwa kukaa huko, kuliko bara!
Kaka hakuna kitu kibaya kwa akili na fikira kama kula ugali wa Mahindi.
 
Kipindi hiko Zanzibar ilikua mbele ya muda kuliko Tanganyika.
Na kuunga mkono, exposure ya Karume na wazanzbar ilikuwa kubwa kuliko ya Nyerere na watanganyika, wazanzibar wengi walikuwa na elimu japo ya kusoma na kuandika kuliko watanganyika. Hata Leo hii wazanzibar wanafikiria vizuri kuliko watanganyika. Kuna tofauti kubwa kati ya Marais wetu watanganyika na Marais wazanzibar katika kuiongoza Tanzania.
 
Ingekuwa ni uwezo wangu, tungekuwa na serikali moja halafu Zanzibar ingekuwa mkoa wa Tanzania.

Nimemaliza 😎
Kwani wakati wa Nyerere SI ilikuwa hivyo? Wakati wa mwalimu Rais wa Zanzibar hakuwa na sauti popote kokote. Leo hii anapigiwa na kupiga mizinga 21.
 
Manufaa ya muungano tumeyaona, ni matamu sana kwa watanzania walio wengi. Kila kijana mzanzibar anatamani kwenda kuishi Tanzania bara, na wako watanzania bara ambao wanatamani kwenda Zanzibar kwasababu moja au nyingine. manufaa ya muungano kila mtu anaweza kuyasimulia bila kuambiwa wala kusoma pahala popote.

Mwalimu Nyerere na Karume nina uhakika wote au mmojawapo alitaka muungano wa serikali moja, na wako wazee ambao wanajua dhamira ya muungano na aina ya muungano ambayo waasisi waliukusudia lakini kwa unafiki na woga wao wamenyamaza kimya na hatimaye kufa na siri hiyo.

Wazee wa hivi hawafai kupewa heshima tunayowapa, maana ni wanafiki, waoga na wasioona mbele. Nyerere sio mjinga kuifuta serikali ya Tanganyika na asiifute ya Zanzabar, lazima kuna jambo ambalo tunafichwa na kupewa sababu za kijinga na uongo juu ya muungano wa serikali mbili. G55 hawakuwa wajinga kudai kuirudisha serikali ya Tanganyika; bila shaka ilikuwa kujibu mkwamo wa kupata serikali moja.

Wakati tunaelekea kuadhimisha sikukuu ya Muungano ni aibu nchi moja kuwa na serikali kamili mbili bila kuwepo ya Tanganyika. Wazee kama Pius Msekwa, Warioba, Butiku, Mongella, Msuya, Sumaye, Kikwete, na wengine ambao wanafahamu sababu za kweli na halisi juu ya kwanini serikali ya tanganyika ilifutwa na ya zanzibar akabakizwa waitoe siri hiyo kabla hawajaiaga dunia na kuondoka nayo hata kama kwakufanya hivyo kutaleta shida kwao. maana watoto wajao hawataujua ukweli halisi juu ya kwanini kuna serikali 2 badala ya 1 au 3.

Ni muhimu sana badala ya hivi ilivyo sasa ambavyo muungano wa aina hii utahojiwa na kila kijana wa leo na wa kesho mwenye akili timamu. Hii haitaleta afya ya muungano siku zijazo wakati wazee wote wanaoijua siri ya muungano watakapokuwa wameondoka duniani.
Naunga mkono hoja
P
 
Nimewahi kukaa na wazanzibar, Hawa jamaa na watu wa Bara ni watu wawili tofauti kabisa
 
Muungano usivunjike...


Cc: Mahondaw
Miaka 60 ya muungano kuvunjika sio kazi rahisi sana, lakini tunaweza kuufanya uwe imara zaidi kwa kuwa na serikali moja TU. Tuondoe dhana ya kufikirika kuwa Kuna upande utamezwa na upande mwingine. Wanaosema watuambie umezwaji huo utakakuwa kwenye nini, hewa, jua, maji, ardhi, maendeleo, watalii, kilimo, matibabu, uongozi au nini? Hata kwenye serikali moja Zanzibar itabakia kuwa Zanzibar na wakazi wake ma mitaa yake na Dodoma itaendelea kuwa Dodoma na wakazi wake na mitaa yake
 
Manufaa ya muungano tumeyaona, ni matamu sana kwa watanzania walio wengi. Kila kijana mzanzibar anatamani kwenda kuishi Tanzania bara, na wako watanzania bara ambao wanatamani kwenda Zanzibar kwasababu moja au nyingine. manufaa ya muungano kila mtu anaweza kuyasimulia bila kuambiwa wala kusoma pahala popote.

Mwalimu Nyerere na Karume nina uhakika wote au mmojawapo alitaka muungano wa serikali moja, na wako wazee ambao wanajua dhamira ya muungano na aina ya muungano ambayo waasisi waliukusudia lakini kwa unafiki na woga wao wamenyamaza kimya na hatimaye kufa na siri hiyo.

Wazee wa hivi hawafai kupewa heshima tunayowapa, maana ni wanafiki, waoga na wasioona mbele. Nyerere sio mjinga kuifuta serikali ya Tanganyika na asiifute ya Zanzabar, lazima kuna jambo ambalo tunafichwa na kupewa sababu za kijinga na uongo juu ya muungano wa serikali mbili. G55 hawakuwa wajinga kudai kuirudisha serikali ya Tanganyika; bila shaka ilikuwa kujibu mkwamo wa kupata serikali moja.

Wakati tunaelekea kuadhimisha sikukuu ya Muungano ni aibu nchi moja kuwa na serikali kamili mbili bila kuwepo ya Tanganyika. Wazee kama Pius Msekwa, Warioba, Butiku, Mongella, Malecella, Msuya, Sumaye, Kikwete, na wengine ambao wanafahamu sababu za kweli na halisi juu ya kwanini serikali ya tanganyika ilifutwa na ya zanzibar akabakizwa hadi Sasa waitoe siri hiyo kabla hawajaiaga dunia na kuondoka nayo hata kama kwakufanya hivyo kutaleta shida kwao. maana watoto wajao hawataujua ukweli halisi juu ya kwanini kuna serikali 2 badala ya 1 au 3.

Muungano wa aina hii utahojiwa na kila kijana wa leo na wa kesho mwenye akili timamu. Hii haitaleta afya ya muungano siku zijazo wakati wazee wote wanaoijua siri ya muungano watakapokuwa wameondoka duniani. Vijana watatafuta njia zao za kusawazisha ujinga, uzembe na woga wa mababu zao.
Huo hautakuwa muugano tena, kuungana lazima kuwa na walioungana zaidi ya moja. Kama ndio hivyo litafutwe jina lengine sio muungano.
 
Huo hautakuwa muugano tena, kuungana lazima kuwa na walioungana zaidi ya moja. Kama ndio hivyo litafutwe jina lengine sio muungano.
kuungana ni kuunganika na kuunganika ni kuchanganyika. Watu wetu wameunganika na kuchanganyika, na mchanyiko huu unaonekana zaidi Bara kuliko visiwani. Leo hii muungano ukivunjika paap!! ni rahisi mno kuwarudisha watanganyika walioko Zanzibar kurudi nyumbani kuliko kuwarudisha wazanzibar kutoka Bara kurudi kwao Zanzibar. Kilio cha wazanzibar kitasikika dunia nzima kuliko kilio cha watanganyika kurudishwa kwao. Wacheni mchezo wenu.

Muungano wetu ni zaidi ya muungano na article ya muungano, umefika mbali sana hasa kwa maisha ya visiwani. Mzanzibar kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano ni faraja na muujiza kwake kuliko Mzanzibar kuwa Rais wa Zanzibar. Muungano huu umewapa haki wazanzibar kuwa sehemu ya pande kuuuubwa la ardhi (Tanganyika). Nchi kama Rwanda na Burundi wanaililia fursa hii lakini hawaipati.
 
Back
Top Bottom