Unaogopa nini? Mbona kwetu bado, au unaona upepo?Sasa kwa nini unaleta Jukwaa la Siasa? Peleka kwa Wakenya huko!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaogopa nini? Mbona kwetu bado, au unaona upepo?Sasa kwa nini unaleta Jukwaa la Siasa? Peleka kwa Wakenya huko!
Mawazo yale ya Kitanzania...Kenya ni mziki mwingineJubilee ipo state house Mpaka 2030
Musala Mudavadi Chief MinisterVipi moses watangula,Isaac Ruto,Musalia Mdavadi,mana hao ndo wanaunda ile big five ya NASA,wao wamepewa nyadhifa gani mkuu???
Raila Odinga - Mgombea urais
Kalonzo Musyoka - Mgombea mwenza
Musalia Mudavadi - Waziri Mkuu
Moses Wetangula - Naibu Waziri Mkuu
Isaac Ruto - Naibu Waziri Mkuu
Halafu huyu wanasema ni rafiki wa JUMA PONDA MALI maana kuna sikukuu fulani alialikwa jiji la CHATTLE akakaa huko akila raha karibu wiki nzima. Sasa nashangaa wafuasi wa bwana YULE wanaanza kumpiga mawe, why!! Kwa nini?Unaogopa nini? Mbona kwetu bado, au unaona upepo?