Muungano Wa NASA wamtangaza Raila Odinga kugombea Urais na Musyoka Makamu wa Rais

Wakenya msije mkajilaumu. Nasa imewaletea jembe lenye NIA, SABABU NA UWEZO WA KUWA RAIS. The ball is on your court. Msije baadaye mkaanza kulia lia eti mafisadi hayashughulikiwi... The guy who know nonsense is around the corner. It's your turn to grub opportunity. Wenzenu tunafurahia matokeo mazuri sasa.
 
Wasiwasi wangu ni hawa behind the scenes backers ambao wamekua na Raila tangu 2007 wakimpa pesa za maana ili kuedesha campaign zake...sasa hawa akifanikiwa kupata huo Uraisi watahakikisha pesa zote zinarudi...kwa mfano S.K Macharia wa Citizen TV ni mmoja wa hawa watu...siasa za Kenya zinaedeshwa na ma kitchen cabinet wenye maslahi binafsi na ndio maana pesa itatumika kwa mabilioni kutoka kwao wakitegemea kuja kuvuna baada ya ushindi...cartel are realy development parasite na watakua kila wizara kuvuna tenders...kwangu naona Uhuru angemaliza tena miaka hii mitano ila ajiongeze tena sana kutatua kero za rushwa kwenye idara za serikali na kuangamiza hizi cartels kabisa...
 
Raila Born Loser Uchaguzi Umeshaisha Jubilee wanajipatia Miaka Mingine Kalonzo ndo alikua Perfect fit.
 
Kwahiyo Magufuli ataenda kumpigia kampeni kipenzi chake toka moyoni
 
Huyu Laila odinga hana tofauti na wakina Maalim Seif Sharif au Lipumba , kila uchaguzi lazima wa contest wao utafikiri hakuna binadamu wengine zaidi yao.
 
Kwahiyo Magufuli ataenda kumpigia kampeni kipenzi chake toka moyoni
jumuiya ya africa mashariki inawekwa rehani kwa huu urafiki wa Magu na Raila, hizi chokochoko za kuzuia gesi ya tz kuingizwa kenya zinachombezwa na huu uchaguzi.

sielewi UKAWA watakuwa upande gani kama magu atasupport upinzani wa NASA na wao wataendea kuunga mkono mabadiliko kama ilivyo agenda ya upinzani kenya
 
Today
Uhuruto


Vs NASA


It takes the whole opposition to unite to bring down Uhuru, still it will not be easy, i know what lies ahead, proper campaigns like never seen before,

Otherwise i love those costumes, very patriotic
 
Hivi vyeo vimeanza kupingwa na Baadhi ya watu kuwa havipo kwenye Katiba
 
Today
Uhuruto


Vs NASA


It takes the whole opposition to unite to bring down Uhuru, still it will not be easy, i know what lies ahead, proper campaigns like never seen before,

Otherwise i love those costumes, very patriotic

Kazi ngumu sana
na mkiwa na imani hii mtaelekea kubaya,
Nikazi kubwa kumuondoa Uhuru
 
kutangazwa kwa raila flag bearer is the beginning of their defeat ,raila can't beat Uhuru
 
kutangazwa kwa raila flag bearer is the beginning of their defeat ,raila can't beat Uhuru
its a 50 50 thing right now...it is ifficult to tell who will win...but it is very hard for a Luo to win a presidency....u will see how Kikuyus will turn out to vote in large numbers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…