Muungano Wa NASA wamtangaza Raila Odinga kugombea Urais na Musyoka Makamu wa Rais

its a 50 50 thing right now...it is ifficult to tell who will win...but it is very hard for a Luo to win a presidency....u will see how Kikuyus will turn out to vote in large numbers

Hapa wakenya ndio mnaniachaga hoi Du!!
mnaingiza habari za Luo au kikuyu ili iweje!!
 
mimi pia...mambo gani haya ya premier CS?
hahahaha
it seems ilikuwa ndio njia pekee wata toka na maelewano

lakini watu wata wahammer kuwa there will be cration of new offices and what or whatever!! sijajua wata answer vipi hapo
 
hahahaha
it seems ilikuwa ndio njia pekee wata toka na maelewano

lakini watu wata wahammer kuwa there will be cration of new offices and what or whatever!! sijajua wata answer vipi hapo
hawa watu wa NASA sijui mambo yao yako aje...mambo ya kuleta sijui premier CS...kiti amabacho hakiko kwenye Constitution ya nchi...yaani tuseme siasa za Kenya sio siasa...sisi huwa tunavumilia tu...
 
Nimemsikia Waziri mkuu mstaafu wa Tz Mh Lowasa amewaasa wale wabunge kutoka Kenya walipomtembelea Monduli kuwa "Safari hii msifanye makosa tena"
Tafsiri ni kuwa Lowasa anaukubali umoja wa NASA.
Maana yake ni kuwa Raila anakubalika kwa Magu na kwa Lowasa.
 
hawa watu wa NASA sijui mambo yao yako aje...mambo ya kuleta sijui premier CS...kiti amabacho hakiko kwenye Constitution ya nchi...yaani tuseme siasa za Kenya sio siasa...sisi huwa tunavumilia tu...
If you went to school I thought uhuru au raila akisema kitu unatadhimi kaka. katiba inasema 22 ministries. Majina ya hawa makatibu it's your business! No 2 do you know why presidents have executive powers to issue executive orders. Mfano NAMATA was created by president uhuru last month through an executive order. Is it kwa katiba. No but it doesn't require Constitutional pathway. Chief minister is no different from a normal CS in Kenya just added responsibility by an executive order!!!
 
hawa watu wa NASA sijui mambo yao yako aje...mambo ya kuleta sijui premier CS...kiti amabacho hakiko kwenye Constitution ya nchi...yaani tuseme siasa za Kenya sio siasa...sisi huwa tunavumilia tu...
inawezekana ikawa haisumbui katiba
lazima wali consult legal officers kabla ya kutangazana hivo
sema tu inawaonesha kama they are there for vyeo kiaina
 
Nimeskia Mzee wa safari ya matumaini yeye yuko bega kwa bega na Uhuru sasa naona Maneno yako yatatimia mkuu
 
ni kweli unayoyasema ila hakuna kitu ambacho hawa watu wa opposition wako nayo ya kuletea wananchi...hawana sera...they are just power hungry...mabo ya kuleta sijui premier CS..i even thought itakua speaker for Wetangula...anyway, they have nt even won the thing yet..kwa hiyo tusubiri tuone matokeo...maybe they will lose
 
Siyo kweli
Hujui Serikali ya Uhuru inamashaka na Tanzania kuhusu Raila !!
Tunatoa Maoni tu hapa ni maoni Binafsi na mtazamo,
Uhuru alisha jiwekea mizizi
jambo la kushangaza ni kuwa mnajua sana kuhusu Kenyan politics...I am surprised...personally, I dont know anything abt Tanznia...just the wildlife..ikija kwa siasa..namjua tu Magufuli kwa vile alikuja Nairobi hivi majuzi...apart from that I dont know anything...nadhani ni ujamaa uliopo nchini mwenu...mtu anataka kujua kuhusu mwenzake...hapa kenya hasa nairobi utapitwa na watu ukisubiri salamu....hakuna anayejihusisha na mambo ya jirani....sasa tutayajua ya TZ aje?
 
Hivi Africa tulirogwa na nani, hawa viongozi wote wakuu wa NASA wanabanana wote wapate madaraka ya juu ndani ya serikali...india yenye raia 1.2+ bilioni ina Raisi, Makamu wake, waziri mkuu mmoja, sasa hawa duu hawataki kuachana kila mmoja wao anahitaji nafasi yenye ushawishi,..wakuu Raila akifanikiwa ataitupa hii Memoradum hukooo kama Kibaki baada ya uchaguzi 2002...its pathetic guys sijui wote pia wataishi Ikulu..wagebill ya NASA itafanya maisha ya wakenya wa kawaida kua really hard...
 
sasa nani ange mdefeat?, bas he is undefeated

sema mi mwenyewe sijaelewa elewa mambo ya premier CS
Kete angepewa Mudavadi na mgombea mwenza Kalonzo hao wangeuzika kiasi fulani...Raila bana haaminiki huyu..naona the Armenia ninjas wakirudi Kenya
 
Shida ya Kenya ni makabila. Raila ana nafasi kwa sababu mwaka uliopita mudavadi hakuwepo kwenye muungano wao sasa ameongeza nguvu.
 
Kete angepewa Mudavadi na mgombea mwenza Kalonzo hao wangeuzika kiasi fulani...Raila bana haaminiki huyu..naona the Armenia ninjas wakirudi Kenya
hahaha, kama kina uhuru si wa kutoka wasinge toka tu.
by the way who brings large group of voters!!?
 
aaaahhhhh!!!mkuu umekoleza sana..ila taifa lenyewe safi tu..kuna mengi yakujifunza kweli
 
Technically Ruto from the rich with voters Rify Valley..
teh teh
technically ndio kivipi
nadhani anaye leta kura nyingi awe flag bearer.
wao wamesema watakuwa wakiamua wote kama group, so naamini kama wakenya hawamtaki Uhuru they will rejwct him ila kama wana mtaka hakuna kusingizia eti oo RAO is this, so ngoja tuone uchaguzi utakuwaje
 
Shida ya Kenya ni makabila. Raila ana nafasi kwa sababu mwaka uliopita mudavadi hakuwepo kwenye muungano wao sasa ameongeza nguvu.
mudavadi hana lolote..ni kawaida yake kuotea hivyo..yani hajatoka siku akafanya kampeni ila hujishirikisha kwa kiongozi anayefikiri ataibuka ili apate kufaidi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…