Muungano Wa NASA wamtangaza Raila Odinga kugombea Urais na Musyoka Makamu wa Rais



Leo Lowasa kasema anamsapoti Uhuru
 
Kwa vile Rift Valley ndio nyumbani kwa Ruto na amejijenga kisiasa kwa muda mrefu kunakipa chama cha Jubilee nafasi na pia Raisi Mstaafu Moi anatokea huko na amemwidhinisha Uhuru kwa mara nyingine,yeye pia ana ushawishi, Kikuyu + Kalenjins ni bonge la support kwa Uhuruto na pia uchaguzi ujao mpango ni Uhuru amwachie Ruto awe raisi so kwa kifupi pia Ruto ni president in waiting...so indicators za kuwa favour hawa wawili ni nyingi, wakipata kura za Rift Valley na Central aafu wadokoe kwa Waluhya hapo watakua wamejipa nafasi zaidi, ICC walishdwa kuwazima uchaguzi uliopita na wakenye wakaona ni bora wao waedeshe nchi kwa Skyp kuliko CORD...so pia awamu hii watakua na mbinu mbadala...kazi ipo
 
why you guys mna siasa za identity!? it sucks kwa kweli
ndio maana nikasema kuwa kama Uhuru si wa kuwa defeated hata wangemueka Gov Ruto kuwa ndio flag bearer wasinge shinda
so kama wakenya wamemchoka uhuru they could oust him ila kama bado ka ji group vizuri naona ata shinda kwa namba yyte ile

ila Ruto awe makini 2022 anaweza kuta hakioni kiti pia
 
Kasema yupo kwa uhuru wewe acha kusikiliza huku wakimbia ww
 

Mcheza Ngoma uvuta kwake! Mrandi wewe ni jubilee povu utatoa tu! Kazi ya elimu ipo
 
Shida ya Kenya ni makabila. Raila ana nafasi kwa sababu mwaka uliopita mudavadi hakuwepo kwenye muungano wao sasa ameongeza nguvu.
Upo sahihi
na hili ndio miongoni mwa mambo yanayo mtisha Uhuru,
Lakini naona bado Jamaa Yupo sawa
 
Mcheza Ngoma uvuta kwake! Mrandi wewe ni jubilee povu utatoa tu! Kazi ya elimu ipo
Happ ulipaswa kumpa hiyo elimu
NASA Wana Hoja zipi Kupelekea kuchagulia
Naona hata wewe umetokwa na Povu
 
mudavadi hana lolote..ni kawaida yake kuotea hivyo..yani hajatoka siku akafanya kampeni ila hujishirikisha kwa kiongozi anayefikiri ataibuka ili apate kufaidi...
Ana watu wa kabila lake (luhya) so never underestimated him.
 
Bahati haiji mara mbili. Yeye Raila 2007 angekomaa tu na asingekubali mapatano ya kumwachia Kibaki.
 

Hujui kuhusu siasa za Kenya wewe, hatuna cha kujifunza kutoka kwao.
 
Happ ulipaswa kumpa hiyo elimu
NASA Wana Hoja zipi Kupelekea kuchagulia
Naona hata wewe umetokwa na Povu

BWANA wee, jipe shughuli na imaya ya mfalme magufuli na CCM. siku hizi hamna anayepumua tanyanyika chini ya mamlaka ya mfalme!!!
 
Kwa maoni yangu Raila angepumzika tu amuachie Steven Kalonzo Musyoka. Amegombea sana kwa miaka mingi bila mafanikio. Mwishowe sasa anataka kuwa kama Lipumba wa Tanzania.
Raila Odinga mwaka 2007 aliibiwa wazi kabisa, na hata 2013 kulikuwa na figisu figisu,, Odinga ni namba nyingine,,ni mtu pekee aliyeweza kuwaunganisha watu wa makabila mbalimbali kenya kwenye uchaguzi na kuwa pamoja. Mwaka huu pia ameweza kuwaunganisha hao watano, Raila, musalia,Kalonzo, Ruto na Wetangula. Hakuna mwanasiasa mwenye upeo mkubwa kama Odinga katika eneo zima la Kusini mwa Jangwa la sahara na kuvuka mto Limpopo. Usifananishe Raila na Zepumba.
 
Lowassa amesema yuko upande wa Kenyatta. Magu yuko upande wa odinga
 
NASA WATASHINDA 63%
 
inawezekana ikawa haisumbui katiba
lazima wali consult legal officers kabla ya kutangazana hivo
sema tu inawaonesha kama they are there for vyeo kiaina
Wanaridhishana kikabila yaani kila kabila na eneo lipate muwakilishi
 
labda watafanya mabadiliko maana nimeshangaa walivyo jipa vyeo kama wamechanganyikiwa vile hahahaha
 
Raila Odinga - Mgombea urais
Kalonzo Musyoka - Mgombea mwenza
Musalia Mudavadi - Waziri Mkuu
Moses Wetangula - Naibu Waziri Mkuu
Isaac Ruto - Naibu Waziri Mkuu
hahahahaha vituko tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…