yule sio mtaalamu wa mafuta na ninabisha kwa yeyote aliyetayari kwani aliletwa kufanya uchmbuzi yakinifu juu ya mgao, na tusubiri tuone kama kuna mtu alete CV za huyo mtaalamu
 
yule sio mtaalamu wa mafuta na ninabisha kwa yeyote aliyetayari kwani aliletwa kufanya uchmbuzi yakinifu juu ya mgao, na tusubiri tuone kama kuna mtu alete CV za huyo mtaalamu

heee!!!.........whats wrong with you.......wewe unayedai kuwa si mtaalam ndio wastahili kutuonyesha kwanini wasema hivyo...........
 

Pakacha,

We naona unatakiwa uchukue maji na kuweka kwenye pakacha upeleke home.

Kama huelewi kuwa Mkoa wa Zanzibar ni mdogo kuliko Wilaya ya Ilala ambao una wabunge watatu wakati mkoa wako una wabunge sijui wangapi na mawaziri na makatibu wakuu etc. Gharama za uendeshaji ni kubwa na hamlioni hilo na bado UNAWAITA KUWA SIO WAJINGA!
 
Zanzibar ni Nchi bibie...
 
Basi hata Pangani tunaweza kuiita nchi. Kwa taarifa yako tu Wilaya ya Handeni Tanga ina ardhi kubwa kuliko Kata ya Zanzibar na Pemba!.

Una miss a big picture hapo mzee. Ninachoongelea ni kuwa angalia IDADI ya viongozi Zanzibar, linganisha na eneo, idadi yake ya watu, uchumi wake etc, Kweli wana justify kuwepo?. Kisha linganisha hivyo nilivyovitaja na Wilaya ya TARIME au KAHAMA.

Usiangalie mambo kama hao "viongozi" wanaopingana na Mtaalamu....
 
kipanya na mafuta ya zenji
 

Attachments

  • kpleo-mafuta zenji.jpg
    13.9 KB · Views: 36

Ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi... Zanzibar ni nchi
 

Naona unakaribia kulielewa tatizo lilipo. Hivyo vyombo vyote unavyotaja, kwa mfumo wa sasa na mazingira ya sasa havina ubavu wa kuvunja huo Muungano. Vinaambiwa kuwa ndio mamlaka ya Zanzibar na Wazanzibari, lakini kwa kweli havina mamlaka hayo (kwa maana yake kamili). Hivyo ni kurekebisha Muungano na kuwa na vyombo ambayo kweli vitakuwa na Mamlaka kwa kutetea maslahi ya Wazanzibari. Siyo vyombo ambavyo vimekunyatwa katika himaya ya Tanganyika.Unaweza kuwa na Serikali moja ukipenda. Au hata tatu ukipenda. Lakini la muhimu ni kuwa na vyombo na utaratibu utakaolinda (Nchi) ya Zanzibar na watu wake na himaya yake ndani ya Muungano. Hakuna atakaye kuuvunja Muungano. Waliozaliwa 64 wama wajukuu sasa. Wacheni wakue ndani ya United Republic of Tanzania.(Lakini usanii La.)
 
Last edited:
wametumia umeme bure toka bara miaka nenda rudi sasa wanatuletea sera za "chako ni chetu na changu ni changu" Ama kweli shukrani za punda........
 
wametumia umeme bure toka bara miaka nenda rudi sasa wanatuletea sera za "chako ni chetu na changu ni changu" Ama kweli shukrani za punda........
Nenda TANESCO na cheki mteja namba moja ni nchi gani... Na nchi gani unaingiza mapato kwa wingi kwa mwezi katika Shirika hilo..
 
Last edited:
its wrong ,its not fair pia its painful kuifananisha zanzibar na wilaya ya ilala. kama tatizo ni ukubwa wa eneo au population .why did u bother urself kuungana na kajisehemu ambako kanaonekana kama wilaya tu. kasome historia kisha njoo tena na naamini utarekebisha bandiko lako. kama ukubwa wa eneo ni big deal nadhani japan lisingekuwa taifa la pili kwa uchumi duniani.
 

Umeolewa au umeoa. Mwenzako humpendi. Anakunyanyasa. Hataki kukushirikisha katika maamuzi ya nyumba yenu. Hapendi ndugu zako (OIC). Badala ya kuchukua chako ujiondokee, unangoja akupe talaka? Kama ni yeye anafaidika na ndoa hiyo unadhani kweli atakuachia?

Zanzibar kila siku tunaambiwa jinsi wananchi wake WOTE wasivyopenda Muungano. Jinsi wanavyonyimwa haki yao hata ya kujiamulia wenyewe. Jinsi hata mambo yenye manufaa kwao yanavyozibwa na serikali ya Muungano. Jinsi ambavyo muungano mzima usivyo na faida kwao. Kitu gani kinachowazuia kutangaza rasmi kuwa wanajitoa katika hii ndoa isiyo na maslahi kwao? Si CUF wala CCM/Zanzibar walio na ujasiri wa kusema enough is enough, sisi tunajiendea zetu. Wanachodai ni kuweka plasta kwenye kidonda ambacho wenyewe wameishasema ni kidonda ndugu! Kama hawana ubavu wa kusema hivyo wanyamaze kwani ubavu huo hata siku moja hawawezi kupewa na serikali ya Muungano. Kama ni true patriots wa nchi ya Zanzibar, wasimame watamke hadharani kuwa hii ndoa haina maslahi basi ivunjwe. Nje ya hiyo ni unafik!

Hakuna Federation ( kuanzia US, Canada, Great Britain, Spain, Belgium, Switzerland, Nigeria etc) yenye Nchi tofauti ndani yake. Ukikubali muungano(kama ilivyo katika ndoa) ni lazima ukubali kuachia baadhi ya haki zako. Hauwezi ukataka muungano na serikali sovereign ya Zanzibar. Haiwezekani. Ni ndoto za Alinacha. Ukitaka kumiliki kikamilifu rasilimali zote zilizo ndani ya nchi yako, jawabu ni kujitoa. Si vinginevyo.
 
Nenda TANESCO na cheki mteja namba moja ni nchi gani... Na nchi gani unaingiza mapato kwa wingi kwa mwezi katika Shirika hilo..

Zanzibar wanaingiza kuliko Tanganyika? Hard to believe. Au unalinganisha Zanzibar na Wazo hill?
 
Ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi... Zanzibar ni nchi

Zanzibar wanaingiza kuliko Tanganyika? Hard to believe. Au unalinganisha Zanzibar na Wazo hill?

Unapotaka kuelimisha angalia MAANDIKO ya unayemuelimisha kisha uamue.

Saa nyingine inawezekana unamuelimisha mtoto wa form four alie likizo home. Huyo kuna namna yake kama atakiri hajui.

Hilo dogo tu la umeme linaonyesha uelewa wake.
 

Kwa sababu tumewaambia, kupitia Mkuu wetu wa Jeshi la polisi, kwamba Mzanzibar atakaethubutu kufanya hivyo ni mhaini.
 
Kwa sababu tumewaambia, kupitia Mkuu wetu wa Jeshi la polisi, kwamba Mzanzibar atakaethubutu kufanya hivyo ni mhaini.

Ndiyo maana nikasema, kama kweli ni patriots hii isingewatisha. Si mantra ya patriots inasema " Give me death or give me freedom!" Hiyo patriotism iko wapi kama wanatishwa na Mkuu wa Polisi? Wadai, wapelekwe mahakamani na huko ndipo watakuwa wamepewa platform ya bure ya kutangaza agenda yao! Mbona mwenzao mtikila anasema bila kuogopa pamoja na kwamba keshawahi kuingiajela. Wao wanashindwa nini? huo ujasiri ni kwenye mikahawa tuu na ndani ya vikao vya siri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…