Sonara
JF-Expert Member
- Oct 2, 2008
- 726
- 70
Wee Kibunago,
Toka lini Wanyamwezi wakawa Wakwezi? Wa miembe sawa ila siyo Minazi. Jambo moja labda tu kukubali ni kuwa kuna Wanyamwezi wengi walilowea mikoa ya Pwani na Zanzibar. Wengine walibakia wakati wa biashara ya utumwa na leo hii ndugu zangu hao wanajiita Waarabu.
Wengine hata Zanzibar hawakufika, wakaishia mkoa wa Pwani/maeneo ya Bagamoyo na wakabadili jina la kabila na kujiita Wakwere. Ndiyo maana hawa ni watu pekee wa Pwani hatuna utani nao, maana ni WANETU.
Wazaramo ni Wagogo walioZARAMIA Pwani. Kwa maana hiyo, sijui hadi leo wenyeji hasa wa Dar es Salaam.
Sio Muda mrefu uliobaki kutoka sasa utawajuwa ni nani wenyeji wa DAR