Hakuna mafuta ZNZ, na hata kama yapo si sababu tosha kuvunja muungano nafikiri ndiyo sababu hasa ya kuungana??? who told you kwamba ZNZ kukiwa na mafuta Mainland hayatapatikana??? si ndo yatakuwa mengi zaidi nduguSula la kuwapo mafuta Zanzibar si ndoto tena hivi sasa ni ukweli kabisa, anayekataa na akataye.
Mimi sijazungumzia habari za kuvunja muungano wala hiyo hotuba ya Waziri wa MUNA katika BLW, Bw. Mansour Y. Himid, haijazungumzia habari hizo. Sikusema wala haijasemwa kuwa kukiwa na mafuta Zanzibar basi Mainland hayatopatikana,hayo nasikia kutoka kwako, naomba uisome vizuri hiyo habari pengine hujaielewa vizuri....si sababu tosha kuvunja muungano nafikiri ndiyo sababu hasa ya kuungana??? who told you kwamba ZNZ kukiwa na mafuta Mainland hayatapatikana??? si ndo yatakuwa mengi zaidi ndugu
Tuoembeane dua ya kuku basi!Eee mungu hebu wanyime mafuta hawa wasipate hata kwenye "kisoda", hapa hawajapata wanabwabwaja je yakipatikana si ... yatalia mbwata!
Tuoembeane dua ya kuku basi!
Bismillahi.
Eeeee Mungu we!!! mafisadi papa kumi na nyangumi mmoja hawatoshi kule bara, hebu jaalia wazaliwe wengine mara kumi na moja.
Amin.
Kumbe nini? nchi imejaa marasilimali ya kufa mtu bado wanafunzi Kigoma kule wanakalia magogo na mifuko ya plastiki, hamna maana,si bora mngeuzwa nyote na nchi yenu kule Marekani mkawa watumwa!yaani kinachofanya muanze kukataa muungano mnaogopa mafisadi wa bara?. Kwa style hii basi hayo mafuta hayatapatikana na cloves zimeshuka bei kinoma, labla mjiunge OIC waarabu wajenge bomba la mfuta kuja Zanzibar ili na Zanzibar muanze kuchimba na kuuza.
Tatizo la zanzibar kumejaa watu wenye hasira ya kunyimwa vyeo katika serikali ya muungano na hivyo kuona kama wanaonewa vile!. Huu nao ni ufisadi
Point noted and taken cheers!Mimi sijazungumzia habari za kuvunja muungano wala hiyo hotuba ya Waziri wa MUNA katika BLW, Bw. Mansour Y. Himid, haijazungumzia habari hizo. Sikusema wala haijasemwa kuwa kukiwa na mafuta Zanzibar basi Mainland hayatopatikana,hayo nasikia kutoka kwako, naomba uisome vizuri hiyo habari pengine hujaielewa vizuri.
Kwani mafuta yapo huko kwenu. Hivi nani ameshathibitisha kuwa ameyaona? Kazeni kamba kupalilia mikarafuu yenu, piganeni utalii ukunemeesheni badala ya kuwatononoa wawekezaji tu, limeni mpunga mjitosheleze kwa mtee. Acheni kuota mchana.
Kwani mafuta yapo huko kwenu. Hivi nani ameshathibitisha kuwa ameyaona? Kazeni kamba kupalilia mikarafuu yenu, piganeni utalii ukunemeesheni badala ya kuwatononoa wawekezaji tu, limeni mpunga mjitosheleze kwa mtee. Acheni kuota mchana.
Waziri(SMZ) DR. Asha Abdallah Juma anasema hata kama yakipatikana kidogo japo saizi ya kigeleni, yatatosha hayo hayo kwa akina mama wa zanzibar kujipaka walau wapendeze, wan'gare babu we khah!